Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Wakati akiwa anahitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Tundu Lissu ametoa yake ya moyoni.

Ameseme kuwa bila vyombo vya Usalama na Wakurugenzi CCM isingekuwepo madarakani na kwamba CCM inatumia nguvu za kijeshi kubaki madarakani

"CCM wapo kwenye uchaguzi huu kwasababu moja tu ya Mkurugenzi na watumishi wake na mapolisi hawa. CCM ipo tu kwa sababu ya Wakurugenzi na hawa wanaoitwa wasimamizi wa Uchaguzi na DC na mapolisi. Ukiondoa hawa CCM hakuna"

Hivi ndio kusema kwamba CCM imeishiwa kabisa sera?
 
Wakuu,

Wakati akiwa anahitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Tundu Lissu ametoa yake ya moyoni.

Ameseme kuwa bila vyombo vya Usalama na Wakurugenzi CCM isingekuwepo madarakani na kwamba CCM inatumia nguvu za kijeshi kubaki madarakani

"CCM wapo kwenye uchaguzi huu kwasababu moja tu ya Mkurugenzi na watumishi wake na mapolisi hawa. CCM ipo tu kwa sababu ya Wakurugenzi na hawa wanaoitwa wasimamizi wa Uchaguzi na DC na mapolisi. Ukiondoa hawa CCM hakuna"

Hivi ndio kusema kwamba CCM imeishiwa kabisa sera?
kama taifa hatuta kubali hadaa za kibaraka yoyote wa mabwenyenye ya magharibi ambae mwili uko Tanzania akili iko ulaya kwa familia yake,

hakuna wa kubabaika na upotoshaji huo wa kibaraka, bali kama taifa tunasonga mbele na kesho tunafanya uchaguzi kwa amani:pulpTRAVOLTA:
 
Wakuu,

Wakati akiwa anahitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Tundu Lissu ametoa yake ya moyoni.

Ameseme kuwa bila vyombo vya Usalama na Wakurugenzi CCM isingekuwepo madarakani na kwamba CCM inatumia nguvu za kijeshi kubaki madarakani

"CCM wapo kwenye uchaguzi huu kwasababu moja tu ya Mkurugenzi na watumishi wake na mapolisi hawa. CCM ipo tu kwa sababu ya Wakurugenzi na hawa wanaoitwa wasimamizi wa Uchaguzi na DC na mapolisi. Ukiondoa hawa CCM hakuna"

Hivi ndio kusema kwamba CCM imeishiwa kabisa sera?
Ukweli mtupu huu
 
Wakuu,

Wakati akiwa anahitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Tundu Lissu ametoa yake ya moyoni.

Ameseme kuwa bila vyombo vya Usalama na Wakurugenzi CCM isingekuwepo madarakani na kwamba CCM inatumia nguvu za kijeshi kubaki madarakani

"CCM wapo kwenye uchaguzi huu kwasababu moja tu ya Mkurugenzi na watumishi wake na mapolisi hawa. CCM ipo tu kwa sababu ya Wakurugenzi na hawa wanaoitwa wasimamizi wa Uchaguzi na DC na mapolisi. Ukiondoa hawa CCM hakuna"

Hivi ndio kusema kwamba CCM imeishiwa kabisa sera?
Kama DC, mkurugenzi na maofisa wa ngazi za juu za polisi wanateuliwa na Rais Kwa akili Yako ndogo ulitaka watii agizo la nani? CCM ni Taasisi na sio kikoba kama chenu, ukiona nchi ngumu hamia Burundi
 
kama taifa hatuta kubali hadaa za kubaraka yoyote wa mabwenyenye ya magharibi ambae mwili uko Tanzania akili iko ulaya kwa famila,

hakuna wa kubabaika na upotoshaji huo wa kibaraka bali kama taifa tunasonga mbele na kesho tunafanya uchaguzi kwa amani:pulpTRAVOLTA:
Gentleman 🐒 ulishawahi tembelea nchi gani??
 
Kama DC, mkurugenzi na maofisa wa ngazi za juu za polisi wanateuliwa na Rais Kwa akili Yako ndogo ulitaka watii agizo la nani? CCM ni Taasisi na sio kikoba kama chenu, ukiona nchi hamia Burundi

Sasa unapanic nini mkuu? Inachoma?

Au leo hamjapewa posho yenu ya 20k?
 
kusema au kukaa kimya ni hiyari yako, uhuru, haki na uamuzi wako gentleman..

ni vigumu mno mimi kubabaika na hilo 🐒
Mkuu natamani siku moja useme kuhusu akili kwa sababu wewe una akili ila tu chama kinakuponza🤣🤣🤣
 
Mkuu natamani siku moja useme kuhusu akili kwa sababu wewe una akili ila tu chama kinakuponza🤣🤣🤣
leo ndio nimeamini kweli dunia haijulikani ni duara au mviringo...

ati akili zimefanya nini gentleman?🤣

una bahati sana wananchi wako kwenye maandalizi ya mwisho ya uchaguzi wa wa maana sana kesho 🐒
 
leo ndio nimeamini kweli dunia haijulikani ni duara au mviringo...

ati akili zimefanya nini gentleman?🤣

una bahati sana wananchi wako kwenye maandalizi ya mwisho ya uchaguzi wa wa maana sana kesho 🐒
Mkuu mimi najua wewe kuna advantages unazitumia 😂😂😂
 
kama taifa hatuta kubali hadaa za kubaraka yoyote wa mabwenyenye ya magharibi ambae mwili uko Tanzania akili iko ulaya kwa famila,

hakuna wa kubabaika na upotoshaji huo wa kibaraka bali kama taifa tunasonga mbele na kesho tunafanya uchaguzi kwa amani:pulpTRAVOLTA:
Unakataa ukweli ila hakuna ccm bila ya ya hayo aliyoyataja na kama huamini jaribuni tu kutokutegemea vyombo vya dola.
 
Mkuu mimi najua wewe kuna advantages unazitumia 😂😂😂
No Gentleman,
huwa situmiagi advantages,
napendaga zaidi kutumia opportunities to the maximum...
wananchi wangu jimboni pangu ndiyo nguvu yangu,

simple like that na ninasonga mbele mwendo wa ngiri bila mbambamba yoyote yaani 🐒
 
Back
Top Bottom