Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Tundu Lissu: Tanzania sio Jamhuri, tuko chini ya Utawala wa Kijeshi. Ukiondoa Polisi na Wakurugenzi CCM hakuna!

Hilo hata ma CCM yanafahamu. hayawezi kuchagulika, hivyo ni lazima kwayo kutumia nguvu, hila,udanganyifu, wizi, nguvu na kila linalowezekana kuendelea kubaki madarakani.
 
Kama DC, mkurugenzi na maofisa wa ngazi za juu za polisi wanateuliwa na Rais Kwa akili Yako ndogo ulitaka watii agizo la nani? CCM ni Taasisi na sio kikoba kama chenu, ukiona nchi ngumu hamia Burundi
Ko hapo na uexpert wako umeongea pointiiiii 😂
 
Am pure scientist Ina tumia akili yangu na Elimu yangu kupata riziki siyo kama wewe bila kulamba miguu viongizi wa CCM huwezi kuishia Yaani ushirikina ningekuwa naujua mtu wa Kwanza kuondoka ninge dedicate
1.Kwako (Kijana usiye na faida kwenye nchi hii )
2.Faustine Mafwele
3.Paul Makonda
4.Samia na mwanae
5.Waziri Rajabu
6.Na wote waliohusika na kumuua KIBAO na Kumteka SOKA
Makonda tena qe na machadema machoko tu
 
Kweli kabisa, ccm inashinda kwa kutumia mbinu za makaratasi yaani kanuni na hila. Hivi Trump kwa Yale makosa yote ingekuwa Democratic ndio ccm wangemruhusu kugombea kweli!!
 
kama taifa hatuta kubali hadaa za kibaraka yoyote wa mabwenyenye ya magharibi ambae mwili uko Tanzania akili iko ulaya kwa familia yake,

hakuna wa kubabaika na upotoshaji huo wa kibaraka, bali kama taifa tunasonga mbele na kesho tunafanya uchaguzi kwa amani:pulpTRAVOLTA:
Mbona unakubali kuongozwa na msagaji?
 
Gentleman,
vitu vyote, Neema na Baraka za Mungu zilizopo ndani ya Tanzania ni mali ya wananchi na waTanzania wote.

kibaraka na wenzie hawawezi kufanya chochote kuvuruga chochote Tanzania 🐒
Kitaje kilichovurugwa amabcho chanzo kama sio ccm au policcm?
 
Back
Top Bottom