Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaAkija na Agenda yenye maono yanayoeleweka ni zaidi ya kutengeneza chawa
Chawa kama wa Samia Wana msaada gani Sasa? Watu wasioweza kusimamia hoja hata ya Kwa nini mbolea imechelewa kuwafikia Wakulima Wana faida gani hao?Kwa Tanzania ya leo kisiasa ni Uchawa tuu. Hakuna jipya! Usitegemee chawa wa mwenzako, tengeneza wako.
Ukilielewa hilo, 2025 haitakupa shida!
Agenda yenye maono aitoe wapi? Mtu mwenyewe #dishlimetilt kiasi hicho, na think tank ya chadema ilikufa baada ya Dr Mkumbo na Dr Slaa kuondoka, unategemea agenda yenye maono aitoe wapi?Akija na Agenda yenye maono yanayoeleweka ni zaidi ya kutengeneza chawa
Hao Dr.Slaa na Mkumbo wengekuwa na akili hizo wasingetegemea kuajiriwa hadi leo.Agenda yenye maono aitoe wapi? Mtu mwenyewe #dishlimetilt kiasi hicho, na think tank ya chadema ilikufa baada ya Dr Mkumbo na Dr Slaa kuondoka, unategemea agenda yenye maono aitoe wapi?
Uchawa unatokana na mtu mwenyewe kuwa mvivu wa kufikiri pia mtu anayependa kuwa na machawa huyo hatufai.Kwa Tanzania ya leo kisiasa ni Uchawa tuu. Hakuna jipya! Usitegemee chawa wa mwenzako, tengeneza wako.
Ukilielewa hilo, 2025 haitakupa shida!
Kweli kabisaDuh kuwa chawa ni kudhalilisha utu wako
Kwa hiyo waliojiajiri ndio wenye akili siyo?Hao Dr.Slaa na Mkumbo wengekuwa na akili hizo wasingetegemea kuajiriwa hadi leo.
Unauliza au unapigia jibu mstari?Kwa hiyo waliojiajiri ndio wenye akili siyo?
Mkumbo na Slaa ni wachumia tumbo wasiojielewa, ni aibu kuwatumia kama reference.Agenda yenye maono aitoe wapi? Mtu mwenyewe #dishlimetilt kiasi hicho, na think tank ya chadema ilikufa baada ya Dr Mkumbo na Dr Slaa kuondoka, unategemea agenda yenye maono aitoe wapi?
Nakomelea na mimi msumali.Akija na Agenda yenye maono yanayoeleweka ni zaidi ya kutengeneza chawa
Kwa Tanzania ya leo kisiasa ni Uchawa tuu. Hakuna jipya! Usitegemee chawa wa mwenzako, tengeneza wako.
Ukilielewa hilo, 2025 haitakupa shida!
Akija na Agenda yenye maono yanayoeleweka ni zaidi ya kutengeneza chawa