Tundu Lissu, too late a hero!

Tundu Lissu, too late a hero!

Correction;

Samia hakubaliki kwa wananchi.

Yaani hawataki hata kumsikia.

Anakubalika kwa wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa waliopo karibu nae.
Tatizo lako nini, si unapata ajira na kodi zinalipwa!
Au uko lile kundi la "wanyonge" hewa?
 
OIP.3_5yolqYLIYvqZw-oF5O_gHaE8

Masikini Tundu Lissu, amerudi toka ughaibuni sasa.
Lakini si kishujaa!

Lalamiko lake la kwanza alipoonana na Mama Samia huko Ubelgiji, ilikuwa pesayake, mafao.
Ni kweli mlo hata kwa mwanasiasa ni muhimu, ataishije?
Mambo ya siasa yakawa secondary, hayakuwa na umuhimu sana kwake.

Mama Samia kaondoa fitna za kisiasa zilizoachwa na mtangulizi wake, Magufuli.
Sasa Mbowe yuko huru, Lissu karudi Bongo.

Lakini mapokezi ya Lissu yamekuwa ile wazungu wanasema , lukewarm, vuguvugu, na si motomoto.

Hilo Lissu hajui, nimatokeo ya mama Samia kukubalika kwa wananchi walio wengi, ukilinganisha na mwendazake.
Hivyo hata sababu za kumpinga mama wazi wazi hzionekani kuwa na maana sana.

Lissu( na CHADEMA) akubali asikubali, playing field imebadilika sana.

Sasa Lissu anazunguka mikoani akilia kama Yohana Mbatizaji.
Lakini yeye hana njia yoyote ya kuonyesha, njia nzuri kuliko ya CCM na mama Samia.

Na hilo ndo paradox.
Lissu kadoda, hana jipya.
Ile confrontational style yake haina tija kwake wala kwa siasa za Tanzania.
Namshauri akubali tu kuwa a political backbencher, asuburi aone upepo kwanza.

Kwa sasa hivi Lissu is irrelevant.
Ni kweli kama kapotea hivi ila usidanganye kuwa eti mama anakubalika labda kwenu ,mm sio ccm Wala chadema ila ukiweka ccm na andazi nachagua andazi....
 
Hivi!! Alipotua uwanjani kutoka ugaibuni hakupokewa na Mbowe ila Lema aliporudi kutoka Canada alipokewa na Mbowe, kulikoni?
 
Nilikosea kudhani kuwa una akili.
Sasa wewe huna kazi, huna kisomo, huna akili ya biashara, huna pesa mfukoni.
Huna hata akili ya kulima na kujitegemea.
Nakushauri Tz hapakufai, kajiunge na M23 au Renamo ili tukuswage.
 
Sasa wewe huna kazi, huna kisomo, huna akili ya biashara, huna pesa mfukoni.
Huna hata akili ya kulima na kujitegemea.
Nakushauri Tz hapakufai, kajiunge na M23 au Renamo ili tukuswage.
Mjinga mmoja hivi mwenye simu ya android yenye bundle.
 
True son of Africa anawahusudu wazungu
Hata Nyerere hakukosana na wazungu. Aliwapa akina Manning na Bryson uwaziri. Na mashaba Wazungu kule Mufindi, Ludewa, Njombe na Amani yapo mpaka leo. Acha Diamond Williamson kule Mwadui nk.
 
Hata Nyerere hakukosana na wazungu. Aliwapa akina Manning na Bryson uwaziri. Na mashaba Wazungu kule Mufindi, Ludewa, Njombe na Amani yapo mpaka leo. Acha Diamond Williamson kule Mwadui nk.
Mkuu Jaji Julie Manning na ukoo wake ni half caste.
Na wapo pale Ghana Mbeya.
 
Back
Top Bottom