Tundu Lissu, too late a hero!

Tundu Lissu, too late a hero!

OIP.3_5yolqYLIYvqZw-oF5O_gHaE8

Masikini Tundu Lissu, amerudi toka ughaibuni sasa.
Lakini si kishujaa!

Lalamiko lake la kwanza alipoonana na Mama Samia huko Ubelgiji, ilikuwa pesayake, mafao.
Ni kweli mlo hata kwa mwanasiasa ni muhimu, ataishije?
Mambo ya siasa yakawa secondary, hayakuwa na umuhimu sana kwake.

Mama Samia kaondoa fitna za kisiasa zilizoachwa na mtangulizi wake, Magufuli.
Sasa Mbowe yuko huru, Lissu karudi Bongo.

Lakini mapokezi ya Lissu yamekuwa ile wazungu wanasema , lukewarm, vuguvugu, na si motomoto.

Hilo Lissu hajui, nimatokeo ya mama Samia kukubalika kwa wananchi walio wengi, ukilinganisha na mwendazake.
Hivyo hata sababu za kumpinga mama wazi wazi hzionekani kuwa na maana sana.

Lissu( na CHADEMA) akubali asikubali, playing field imebadilika sana.

Sasa Lissu anazunguka mikoani akilia kama Yohana Mbatizaji.
Lakini yeye hana njia yoyote ya kuonyesha, njia nzuri kuliko ya CCM na mama Samia.

Na hilo ndo paradox.
Lissu kadoda, hana jipya.
Ile confrontational style yake haina tija kwake wala kwa siasa za Tanzania.
Namshauri akubali tu kuwa a political backbencher, asuburi aone upepo kwanza.

Kwa sasa hivi Lissu is irrelevant.
Kuna haja kwa rasimu mpya ya mtaala elimu uongeze somo la vipi tuishi na kufikiri kitajiri tukiwa masikini.

Kuna huu ugonjwa kwa waafika. Watu kufikiri kama watumwa.

Ni laana kwa jamii kuwa na watu wenye fikra za kimasikini. Wenye kufikiri kama watumwa
 
Wanasiasa hawajakubali Hali halisi , inavyotakiwa wafanye tuu siasa na sio kumtaja taja Maghufuli na kumsema , hyo inawafanya wadharaulike Kwa wananchi , ni aheri waliache tuu jina la Maghufuli wapambane na changamoto zilizopo , unapomnanga JPM hakikisha Una backup ya nguvu ya Dola bila hvyo utachina tuu
Hakuna hiyo.
Mshaanza kuomba po eti tusilitajetaje hilo shetani lenu la Chato.
Tutaendelea kulinanga sana tu.
Lisu shikilia hapo hapo.
Nyie Sukuma Gang hamuwezi kujua magumu alopitia Lisu kipindi cha mshenzi yule.
 
Lisu anamalizwa na mambo mawili

1. Maridhiano
2. Kivuli cha Magufuli

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kivuli.
Mshenzi yule alishaondoka na shari zake ss nchi imetulia.
Ni lazima Lisu amnange sana Marehemu wenu haijalishi.
After all wapiga kura wetu sio sukuma gang, hata tuwabembeleze vp nyie hamtatuunga mkono. Bora tulinange tu shetani lenu la Chato
 
He's too obsessed with Magufuli. Teetering against Magufuli equates to political suicide.
Wajinga nyie tafuteni chama chenu mana ht Samia haishi kuliumbua hilo shetani lenu.
Sasa sijui mtaenda kulipigia kura shetani lenu huko Chato!!
 
Akili zake ni ukoo wenu wote combined. Pole sana maana hata akijiunga CCM atapewa uanasheria mkuu huku wewe unabaki kulialia mtandaoni.

Mlitukana wapinzani wangapi? Leo wote walioenda CCM wakazawadiwa uwaziri na ubunge nyie mmebaki kutukana tu.

Mnatia huruma sana
Lisu ni debe tupu
 
Wafungwa wa kisiasa wametolewa zaidi ya 400 mpaka Sasa na Mama Samia Sasa unapoleta ujuaji wakati makamu wa huyo shetani wenu amekiri ni wafungwa wa kisiasa basi utakua hujitambui.
Makamu wa shetani ni shetani!

Machadema mna stress sana
 
Lissu is and will still be a hero of this nation, whether sung or unsung. A man with his balls of steel.
But he carries a bitter resentment against Pres Magufuli, which is understandable. But he needs to let it go and grow!
 
47580.jpg
na wote wanaofikiri Magufuli alikuwa mtu mzuri. Muuaji mkubwa na wote wanaoamini alikuwa mzuri na kumtetea ni washenzi wakubwa! Msitoneshe vidonda vyetu, watu tumeteseka na kupoteza mengi kwasababu ya ushenzi wa huyo mtu halafu mnafanya masihara hapa, washenzi wakubwa!
Watu kama nyie katika jumuia huwa hamkosekani. Pumzika kwa amani
 
Kila mtu ashinde mechi zake,CCM fanyeni siasa kwa staili yenu waacheni na Chadema wafanye kivyao mkutane fainali 2025. Huu ujuaji kila wanachofanya Chadema nyie midomo juu ni kupoteza muda wenu. Tuwe na mijadala ya kukemea na kushinikiza wabadhirifu wa kodi zetu kama ilivyoanishwa kwenye ripoti ya CAG wawajibishwe.
 
OIP.3_5yolqYLIYvqZw-oF5O_gHaE8

Masikini Tundu Lissu, amerudi toka ughaibuni sasa.
Lakini si kishujaa!

Lalamiko lake la kwanza alipoonana na Mama Samia huko Ubelgiji, ilikuwa pesayake, mafao.
Ni kweli mlo hata kwa mwanasiasa ni muhimu, ataish
Nani alikwambia lilikuwa lalamiko lake la kwanza na si miongoni mwa mengi waliyo zungumza?
 
Makamu wa shetani ni shetani!

Machadema mna stress sana
Moyo wa Mama Samia hauwezi kuwa sawa na huyo ibilisi wenu. Mbona hakuna aliyetishiwa bunduki ila Mapato yameongezeka kuliko hata enzi za JPM.

Mnatia sana huruma sukuma gang maana nyie ndio mna stress sisi tuzitoe wapi? Sahivi tunajimwaga tu Mitandaoni bila hofu ya kupewa kesi ya uhujumu uchumi.
 
Lisu ni debe tupu
Unfortunately you are irrelevant so your opinion is utter BS. Rais wako alienda Hadi kumpigia magoti wayamalize kule Belgium ndio sembuse wewe muuza dagaa hapo Kigongo?
 
Unfortunately you are irrelevant so your opinion is utter BS. Rais wako alienda Hadi kumpigia magoti wayamalize kule Belgium ndio sembuse wewe muuza dagaa hapo Kigongo?
Stupid!
Kwa hiyo Rais alienda na gerezani Segerea kumpigia magoti Mbowe ili wayamalize.
Soma 4 Rs za mama Samia uzielewe.
Thats a bird brained comment.
 
Wewe utakuwa na hela ya mboga tu ndiyo maana unapata muda wa kupiga umbea. Ongeza bidii ya kutafuta hela.
Achana kujibishania na non issues, eleza sera za Lissu ili tujue kama una kitu kichwani.
 
Correction;

Samia hakubaliki kwa wananchi.

Yaani hawataki hata kumsikia.

Anakubalika kwa wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa waliopo karibu nae.
 
Back
Top Bottom