masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #121
Tatizo lako nini, si unapata ajira na kodi zinalipwa!Correction;
Samia hakubaliki kwa wananchi.
Yaani hawataki hata kumsikia.
Anakubalika kwa wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa waliopo karibu nae.
Leta taarifa yenyewe sasa tuione
Leta taarifa yenyewe sasa tuione
Ni kweli kama kapotea hivi ila usidanganye kuwa eti mama anakubalika labda kwenu ,mm sio ccm Wala chadema ila ukiweka ccm na andazi nachagua andazi....
Masikini Tundu Lissu, amerudi toka ughaibuni sasa.
Lakini si kishujaa!
Lalamiko lake la kwanza alipoonana na Mama Samia huko Ubelgiji, ilikuwa pesayake, mafao.
Ni kweli mlo hata kwa mwanasiasa ni muhimu, ataishije?
Mambo ya siasa yakawa secondary, hayakuwa na umuhimu sana kwake.
Mama Samia kaondoa fitna za kisiasa zilizoachwa na mtangulizi wake, Magufuli.
Sasa Mbowe yuko huru, Lissu karudi Bongo.
Lakini mapokezi ya Lissu yamekuwa ile wazungu wanasema , lukewarm, vuguvugu, na si motomoto.
Hilo Lissu hajui, nimatokeo ya mama Samia kukubalika kwa wananchi walio wengi, ukilinganisha na mwendazake.
Hivyo hata sababu za kumpinga mama wazi wazi hzionekani kuwa na maana sana.
Lissu( na CHADEMA) akubali asikubali, playing field imebadilika sana.
Sasa Lissu anazunguka mikoani akilia kama Yohana Mbatizaji.
Lakini yeye hana njia yoyote ya kuonyesha, njia nzuri kuliko ya CCM na mama Samia.
Na hilo ndo paradox.
Lissu kadoda, hana jipya.
Ile confrontational style yake haina tija kwake wala kwa siasa za Tanzania.
Namshauri akubali tu kuwa a political backbencher, asuburi aone upepo kwanza.
Kwa sasa hivi Lissu is irrelevant.
Nilikosea kudhani kuwa una akili.Tatizo lako nini, si unapata ajira na kodi zinalipwa!
Au uko lile kundi la "wanyonge" hewa?
Sasa wewe huna kazi, huna kisomo, huna akili ya biashara, huna pesa mfukoni.Nilikosea kudhani kuwa una akili.
Mjinga mmoja hivi mwenye simu ya android yenye bundle.Sasa wewe huna kazi, huna kisomo, huna akili ya biashara, huna pesa mfukoni.
Huna hata akili ya kulima na kujitegemea.
Nakushauri Tz hapakufai, kajiunge na M23 au Renamo ili tukuswage.
Pambana na hali yako!Mjinga mmoja hivi mwenye simu ya android yenye bundle.
Hata Nyerere hakukosana na wazungu. Aliwapa akina Manning na Bryson uwaziri. Na mashaba Wazungu kule Mufindi, Ludewa, Njombe na Amani yapo mpaka leo. Acha Diamond Williamson kule Mwadui nk.True son of Africa anawahusudu wazungu
Mkuu Jaji Julie Manning na ukoo wake ni half caste.Hata Nyerere hakukosana na wazungu. Aliwapa akina Manning na Bryson uwaziri. Na mashaba Wazungu kule Mufindi, Ludewa, Njombe na Amani yapo mpaka leo. Acha Diamond Williamson kule Mwadui nk.