Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Haya ya Marcus unaweza kutuwekea ushahidi wowoteHata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.
Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.
Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.
Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Ziko site zinasambaza moto wa katiba mpyaHivi hizi ndinga ziliendaga wapi?View attachment 2496445
Hakuna mzalendo ndugu yangu, mtakumbuka Mama, inaweza hali ikawa mbaya zaidi kwa ao jamaa. Wamesota mda mrefu wakiingia ni kuiba kwanzaSasa bwashee kama nyie ni mijizi simpishe wenye uzalendo waongoze nchi.
Weeee !!! sema Thuuuu !!Hiki chama hopeless kabisa.
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.
Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.
Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.
Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Mbowe kishasema kwamba Yeye ataendelea na Mazungumzo , na hata Lissu kalisema hilo jana , lakini mazungumzo ya maridhiano hayazuii Chadema kusema Ukweli , wala hayazuii Chadema kudai Katiba MpyaHii sauti ya Lissu, sijui kama ndiyo sauti ya Mwenyekiti wake.
Hebu vuta subira kidogo mkuu 'Erythro', tuone mambo yanakoelekea.
Sasa hivi bado kuna ukungu mwingi unaozuia kuiona sura halisi ya chama ilipo. Nina hakika haitachukua muda kujua sura yenyewe halisi ni ipi, na jinsi Lissu alivyo.....Aaaah, sijui tena!
Ni kama nilivyosema, mimi navuta subira tu.Mbowe kishasema kwamba Yeye ataendelea na Mazungumzo , na hata Lissu kalisema hilo jana , lakini mazungumzo ya maridhiano hayazuii Chadema kusema Ukweli , wala hayazuii Chadema kudai Katiba Mpya
Hili swala lipo wazi kama vazi la kahaba.
Na kazia sio wezi ni majambazi . hapana neno dogo kuna mmoja alikuwa gaidi kabisa
Hata yeye aliwapuuza,kila mwizi wa siku hizi hukimbilia kuuliza ushahidi na kisha atakwambia nipeleke mahakamani.Haya ya Marcus unaweza kutuwekea ushahidi wowote
Nina maana hata Chadema hakuna msafi,wote ni wasakaaisha tu.Kwa hiyo una maana ngoma droo? Au ulikuwa na maana gani ndugu?
kumbe huna ushahidi , endelea kutunga uongoHata yeye aliwapuuza,kila mwizi wa siku hizi hukimbilia kuuliza ushahidi na kisha atakwambia nipeleke mahakamani.
Sababu anajua pesa itamuokoa!
Ushahidi ni Marcus Albanie,na imo humu thread yake na inasomeka!
Pia hata pesa za Sabodo,magazeti yaliandika sana.
Pesa za michango ya lazima toka Mishahara ya wabunge na Madiwani pia ushahidi upo humu na Media zote ziliandika!
Chadema hakuna msafi.
Mlinfilisi Lowassa na kisha mkamtupa,mkamuacha akidhalilishwa na kina Lema!
Toweni kibanzi kwenye macho yenu,kabla hamjaziona boriti kwenye macho ya wenzenu!
Mwendazake na genge lake waliiba 1.5TAkizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Hivi zile sadaka tulizochangishwa kipondile Cha kuzindua kampeni kwenye uwanja wa mbagala zakem mapato yake na matumizi yake yako wapiii jamaaaniii??Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
swali lako ni la kijingaHivi zile sadaka tulizochangishwa kipondile Cha kuzindua kampeni kwenye uwanja wa mbagala zakem mapato yake na matumizi yake yako wapiii jamaaaniii??
Pesa za kuchimba visima zilizotolewa Mzee Jaffar Sabodo kwa Chadema zilienda wapi?Kazi imeanza