Ukiondoa mwalimu jk waliobaki wote ni majizi na ushahidi upo waziAkizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.
Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,
Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
Huo ni mjadala mpana,Kwanini tusiwe na katiba inayomtaka rais kulishirikisha bunge kuhusu maamuzi fulani kuhusu ardhi kuliko rais kuamua kwa utashi wake mwenyewe?
Nchi ya wagagagigikokoUnashangaa Wizi Tanganyika?
CCM haitetei mafisadi? Halafu kumbuka rais akiiba anaibia nchi nzimaHata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.
Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.
Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.
Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Tukisema wewe ni mwizi na wakati ni mwizi kweli tunakuwa tumetumia lugha chafu!!??Keshaanza lugha chafu
CCM wamewatapeli wastaafu wa "Mazimbu" hela waliyolipwa na ANC.Hata sisi wavuvi tayari tumetapeliwa hizi pesa, CCM hawafai kabisa
View attachment 2496698
View attachment 2496699
Aiseeee !!!CCM wamewatapeli wastaafu wa "Mazimbu" hela waliyolipwa na ANC.
CCM ni shetani.
Chadema walimfilisi Lowassa mpaka akawakimbia!CHADEMA hamchimbi visima
Kwa hiyo mlichofanya mlim bamboozle Sabodo mkapokea hela ya visima mkijua fika nyinyi si wachimba visima !
Chadema walimfilisi Lowassa mpaka akawakimbia!
mbonaa yeye kakimbia mume wake hajasemaAkizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
cheza na mchaga weweeee???Chadema walimfilisi Lowassa mpaka akawakimbia!
[emoji38][emoji38][emoji38]..Na Sukuma Gang mlivyokuwa mnamtukana Lowassa kuwa ni mgonjwa, hamkujua kwamba " mungu mtu wenu " afya yake ni spana mkononi?
mbonaa yeye kakimbia mume wake hajasema
SawasawaKweli KATIBA mpya ni lazima,
Bt Kwa maoni yangu Binafsi,
Rais apunguziwe mamlaka ktk mengi mfano, aondolewe Kinga ya kutoshtakiwa,
Bt ARDHI iachwe Kwa Rais Ili iwe salama!!!
Kwanini tusiwe na katiba inayomtaka rais kulishirikisha bunge kuhusu maamuzi fulani kuhusu ardhi kuliko rais kuamua kwa utashi wake mwenyewe?
Hata yeye ni mwizi. Anadai stahili ambazo hakuzifanyia kazi.Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
unaweza kujenga hoja bila kulia na ukaelewekaHata yeye ni mwizi. Anadai stahili ambazo hakuzifanyia kazi.
Halafu alitutisha kushtakiwa MIGA baada ya kulipwa na wale alioenda kujificha kwao. Hii ni baada ya kulipwa pesa nyingi akaenda bungeni kupinga kukamata makinikia. Nani mjinga na mpumbavu anabisha hili kuwa Tundu Lissu ni mwizi
Pesa wanatoa wapi??