Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani atumwe kwa sokwemtu agomboe mbaazi za tumbili zilizokamatwa na ngedere. Kama ni tundulissu wangu nimayemjua akishaigomboa tu ataanza kuila by the time mnagutu keshaimaliza sana sana kamkabizi fatmakarume for safekeeping in India.Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Tukuulize weweKwani Kabudi sasa hivi amekufa kama yule dhalim wenu?
Inaumiza sana kusomesha mtu alafu aje awasaliti kwa mabeberuLisu anachokijua ni kutumikia mabeberu tu
Huna akiliTukuulize wewe
Inaachiwa kwa agreement! C mumtume nguli wa negotiation Mr kabudi!!!Siyo mara kwanza ndege kukamatwa na kuachiwa, kwa nini hii haiachiwi?
Hivi unajua sheria kweli?Tundu Lissu sio Wakili wa Serikali.
Lissu ni loud speaker tu.Mbona aliandika kitabu juu ya masuala ya sheria zinazosimamia mikataba ya madini hasa eneo la Kodi. Unaweza kweli kuchambua makampuni na sheria zinazowalinda bila kujua sheria yenyewe?!
Najua hii mada ni sarcastic lakini kusema Lissu hajui company law ambayo hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza anajua is purely underrating a lawyer from University of Warwick.
Prof.Wajackoyah mwenyewe anakiri Lissu alikua one of the best pale chuoni then a nobody humu JF unajifanya unaelewa academic brilliance ya Lissu?!
Kosa lako topic yako imejaa kashfa , unoko, roho mbaya,kejeli na dharau kuonyesha una mtu unaona alitumbuliwa kimakosa, na lau si kumtumbua hii shida ingelikwisha kitambo hivyo basi wacheni mkome, (sukuma gangs), Bali pia akina Tundu Lissu kwa sababu wamemkukubali MAMA kwa UCHAPAKAZI wake na UADILIFU WAKE ktk kutetea HAQI za watu na mali zao ,na wakati wote wa DICTOTOR walipiga kelele mwanzo mwisho kukataa mateso, ubabe, wizi, ubadhirifu,na dhulma kwa nafsi za watu na mali zao, kwa akili za kijiko ulizoonayo unaona wanalamba ASALI !, ambayo ilikuwa SERA ya sukuma gangs,kwa muktadha huo RAIS wetu MAMA SAMIA hakushindwa kumtuma TUNDU LISSU KABUDI (unayemtengenezea uadui na RAIS) au mwengine yeyote hata kusubiri umshauri wewe SUU NAFSI WARUUH QABIH ( SUKUMA GANGS ) bal yadhihirisha hata macho yalivyo mekundu kuonyesha na roho zenu ni nyeusi tiii.Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Hujasoma ripoti ya CAG ? ni haki ipi unayoizungumzia au ndiyo kazi ya nyumbu kushangilia tuKosa lako topic yako imejaa kashfa , unoko, roho mbaya,kejeli na dharau kuonyesha una mtu unaona alitumbuliwa kimakosa, na lau si kumtumbua hii shida ingelikwisha kitambo hivyo basi wacheni mkome, (sukuma gangs), Bali pia akina Tundu Lissu kwa sababu wamemkukubali MAMA kwa UCHAPAKAZI wake na UADILIFU WAKE ktk kutetea HAQI za watu na mali zao ,na wakati wote wa DICTOTOR walipiga kelele mwanzo mwisho kukataa mateso, ubabe, wizi, ubadhirifu,na dhulma kwa nafsi za watu na mali zao, kwa akili za kijiko ulizoonayo unaona wanalamba ASALI !, ambayo ilikuwa SERA ya sukuma gangs,kwa muktadha huo RAIS wetu MAMA SAMIA hakushindwa kumtuma TUNDU LISSU KABUDI (unayemtengenezea uadui na RAIS) au mwengine yeyote hata kusubiri umshauri wewe SUU NAFSI WARUUH QABIH ( SUKUMA GANGS ) bal yadhihirisha hata macho yalivyo mekundu kuonyesha na roho zenu ni nyeusi tiii.
Wewe itakuwa ni shoga la kiume bi dada wa kiume .walah..tena..wanaume hawawi hivi walahSukuma Gang nendeni mkairudishe kwani marehemu wenu ndiye aliyeiponza kwa upumbavu wake wa kihutu.
- Sijui, wewe unajua?Hivi unajua sheria kweli?
Yaps- Sijui, wewe unajua?
Unajua sheria gani hizo?Yaps
Wanasheria wa serikali wanalipwa mishahara, kazi yao ni ipi ikiwa mnataka Tundu Lissu aitetee serikali kwanza kubalini wanasheria wenu hawana uwezo ndipo Lissu aingie kazini.Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Nenda wewe na mamako, au tatizo nauli?Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Sasa kama hayamhusu tueleze kina kabudi walikuwa wanaenda kukomboa kitu gani na kwa sababu gani? Ukiwa mpumbavu jaribu kuwa na kaujinga flani hivi ka kubishana na werevu!Hayo madeni marehemu wala hayamuhusu. Ingekuwa Sukuma gang wapo madarakani usingesikia huo ujinga. Mbona walijaribu wakashindwa.
Nenda basi wewe kachochee ziachiwe.Huyo ndio anachongea ndege zikamatwe au tushitakiwe, Sasa atatutetea vipi tena?
Kula ugali pumzika
Yaani ukope afu usilipe? Labda kama unatoa jicho poriTundu Lisu hana ujuzi wa kisheria kutuzuia tusilipe?