Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.

Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.

Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.

Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.

Sikilza hii clip:

 
1. Soma vigezo na masharti kabla ya kukopa.

2. Ukiamua kukopa,hakikisha unalipa kiwango chote ulichokopa na kwa wakati mwafaka.

3. Ukipuuza mambo hayo, acha tu wakudhalilishe.

Mswahili anataka akope halafu muda wa kulipa uanze kumbembeleza na kutia huruma.
 
1.soma vigezo na masharti kabla ya kukopa.
2.ukiamua kukopa,hakikisha unalipa kiwango chote ulichokopa na kwa wakati mwafaka.
3.ukipuuza mambo hayo, acha tu wakudhalilishe.
Mswahili anataka akope halafu muda wa kulipa uanze kumbembeleza na kutia huruma.
Watu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.
 
Kwendeni zenu kukopa mnapewa Hadi masharti una tick kukubali kisha unaleta kelele humu ikifikia kulipa kukopa harusi kulipa matanga

Halafu wewe Mleta mada ni mkopaji mno ukikopa hizo pesa huwa unapeleka wapi. Kutwa wewe kukopa madeni na wewe
Unanunua uchawi au?

Kwa mikopo uliyokopa Kila Kona Sasa hivi ulitakuwa uwe umetoka kimaisha kama unaitumia vizuri bwege wewe
 
Kwendeni zenu kukopa mnapewa Hadi masharti una tick kukubali kisha unaleta kelele humu

Halafu wewe Mleta mada ni mkopaji mno ukikopa hizo pesa huwa unapeleka wapi. Kutwa wewe kukopa madeni na wewe
Unanunua uchawi au?

Kwa mikopo uliyokopa Kila Kona Sasa hivi ulitakuwa ywe umetoka kimaisha kama unaitumia vizuri bwege wewe
Vipi ndio biashara yako nini?
 
Watu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.
Watu wengi wanaichukulia mikopo ya mtandaoni kama hela ya bure kwasababu tu hawaonani live na kampuni inayotoa mikopo.
Sasa kampuni inapotumia nguvu ili ulipe hela yao ndiposa watu wanaanza kulia lia eti wanadhalilishwa.Wanasahau kuwa suluhisho ni kulipa hela unayodaiwa.
Waswahili acheni kudeka lipeni madeni yenu.
 
Ndio nakopesha na masharti unapewa na unakubali Sasa unataka Lisu aingiliahe wakatu masharti ya mkopo kabla kupewa uli accept

Nenda hata mahakamani bwege wewe
Unamtishia nyau nani
Mpiga dili!!!!!
 
Watu wengi wanaichukulia mikopo ya mtandaoni kama hela ya bure kwasababu tu hawaonani live na kampuni inayotoa mikopo.
Sasa kampuni inapotumia nguvu ili ulipe hela yao ndiposa watu wanaanza kulia lia eti wanadhalilishwa.Wanasahau kuwa suluhisho ni kulipa hela unayodaiwa.
Waswahili acheni kudeka lipeni madeni yenu.
Ngugu zenu huko remote areas ndio wahanga wakubwa
 
1. Soma vigezo na masharti kabla ya kukopa.

2. Ukiamua kukopa,hakikisha unalipa kiwango chote ulichokopa na kwa wakati mwafaka.

3. Ukipuuza mambo hayo, acha tu wakudhalilishe.

Mswahili anataka akope halafu muda wa kulipa uanze kumbembeleza na kutia huruma.
Hivi wewe jamaa naona bado hujaelewa ila umeamua kucomment ili ufarahishe jamvi
 
Back
Top Bottom