Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

Kauli ya Lisu haiwezi kubadili chochote kwasbb mzizizi wa tatizo ni umaskini.
Mpk serikali ifanye jitihada za dhati kupunguza umaskini huu ndiyo ukopaji holela utapungua.
 
Mtu anakopa halafu anajikausha,simu hapokei,akiitwa tapeli anaanza kulia lia eti anadhalilishwa.
Wako wale watupa laini wakudhani akitupa laini deni kinakufa anasahau kuwa laini alisajili kwa kitambulisho Cha taifa na dole gumba

Kuwa kwenye mikopo record zake ziko.kwa kitambulisho Cha taifa na dole gumba ushahidi polisi..

Anadhani yeye mjanja haelewi Kuna siku waweza mwibukia wakauza Mali zake kufidia deni lao
 
Kauli ya Lisu haiwezi kubadili chochote kwasbb mzizizi wa tatizo ni umaskini.
Mpk serikali ifanye jitihada za dhati kupunguza umaskini huu ndiyo ukopaji holela utapungua.
Wakopaji wakubwa mitandaoni sio maskini ni watu wenye kipato

Maskini Hana uwezo wa kumiliki simu janja yenye internet

Mtu anamiliki simu janja yenye internet utamwita maskini? Maskini simu zake Nokia torch Tena hata button unakuta zimefutika yeye tu ndie ajua
 
Mi nafikiri ungewaita na kuwalaumu shirika la kutetea haki za kibinadamu (LHRC ) badala ya kumuita tundu lissu na kuilaumu serikali ya mama Samia .
 
Watu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.
Unataka Serikali ilinde wezi3
 
Tapeli na mwiizi ni yule anaechaji riba ya asilimia 50 ndani ya wiki huku hata leseni hana.
Utajijua kilichokupeleka Kwake ukakope Nini? Wale wanachaji riba kubwa Kwa matapeli waliokatalliwa na wakopeshaji wanao chaji riba ndogo

Wakopeshaji riba ndogo mbona wako kibao Kwa Nini huendi huko

Hao wa asilimia 50 wanachukua wale wakorofi kulipa mikopo walioshindikana kwingine kote

Lipa Chao wewe si unawajua ubabe Wao utalipa tu Hela Yao hailali nje
 
Tapeli na mwiizi ni yule anaechaji riba ya asilimia 50 ndani ya wiki huku hata leseni hana.
Kama unajua hana leseni kwanini unaenda kukopa kwake?
Ulivyo MPUMBAVU hata ukinywa sumu kwa makusudi utalaumu serikali.
 
Hawa wapo bize kudai katiba tu badala ya kudeal na issue zinazowatesa raia. Hiyo mikopo na hivi vimicrofinance vinawatesa raia hasa bayport lakini kamwe huwasikii hawa viongoz wetu wakilizungumzia sio bungeni wala hawa wanasiasa wa upinzani ila nadhani Makonda atawavaa ni swala la muda tu.
 
Sipo hapa kumfurahisha yeyote,mimi sio Bwana yako.
Narudia tena waswahili kama mnakopa halafu hamtaki kulipa mdhalilishwe tu hakuna huruma kwa tapeli.
Mnakaa-nyagwa wewe na jao wamikopo wa mtandaoni ila soon mwarobaini wenu unapatikana juju nyie
 
Naona ma jobless mnapigana 😅😂 hizi nguvu mngewekeza ktk kutia mimba na kubeba mimba, taifa lingekuwa na nguvu kazi mashambani na viwandan...
 
Watu wanatamani kusikia Kuna Sheria inasema ukikopa kusiko rasmi (kwa ambaye hajasajiliwa) usilipe! 😜😜😜

Hutakutana na kitu kama hicho. Wewe lipa alafu koma.
 
Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.

Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.

Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.

Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.

Sikilza hii clip:

Ilo ni suala la kipambavu sana Lissu kuliongelea. Soma vigezo na masharti kabla ya kukopa na ukiamua kukopa akikisha mzunguko wako wa hela unaruhusu kulipa deni kwa wakati
 
Siye watanzania watu wa ajabu sana yani unaogopa ndugu na jamaa wakiambiwa unadaiwa aisee kopeni uko na msiogope ili wajifunze sasa wamegundua watanzania waoga imekuwa fimbo ebu acheni kuogopa kuwemi seriously muone kama watatoa hiyo mikopo, wewe kopa ndugu akisema nimettumiwa sms eti unadaiwa wambie ndio matapeli hao nimewakopa elfu 30 wamenipa elfu 24 wwnataka niwalipe elfu hamsini ndani ya siku saba uone

Yani woga wenu ndio mnawapa hawa jamaa mwanya kuwaona watanzania kama shamba wajinga kopa chukua pesa maana mikopo ya kihuni huni hiyo hawawezi kwenda mahakamani wala wapi chukueni pesa hizo mnakwama wapi
 
Kama unajua hana leseni kwanini unaenda kukopa kwake?
Ulivyo MPUMBAVU hata ukinywa sumu kwa makusudi utalaumu serikali.
Soma sheria za ukopeshaji na si kuleta ujinga kwenye mambo ya msingi... Ipo wazi hizi kampuni za kutoa mikopo mitandaoni zimekaa kiutapeli na wanajua sheria zipo lakini hazifanyi kazi kwao ..

Hata hizo kampuni zikitapeleei hawawezi kwenda popote kushtaki kwa sababu wao ndio wanaongoza kuvunja sheria. Kama B.O.T wameweka wazi kuwa kama umepitiliza deni ndani ya siku

Idadi ya siku zilizocheleweshwa Makundi
Siku 0 mpaka 5 Ndani ya muda

Siku 6 mpaka 30 Angalizo

Siku31 mpaka 60 Chini ya kiwango

Siku 61 mpaka 90 Mashaka
Zaidi ya siku 90 Hasara


Sasa ndugu na jamaa wanakopa huko mitandaoni na uduni wa elimu ya wengi wanakopa pale fursa inapojitokeza na bila kusoma wala kujua kumbe kuna gharama zilizofichwa ambazo hazijawekwa kwenye makubaliano na wewe ulivyo wa ajabu badala ya kuangalia mbali unasema dawa ya deni ni kulipa?

Bila shaka na wewe ni mnufaikaji wa hizo taasisi.
 

Attachments

Hawa wapo bize kudai katiba tu badala ya kudeal na issue zinazowatesa raia. Hiyo mikopo na hivi vimicrofinance vinawatesa raia hasa bayport lakini kamwe huwasikii hawa viongoz wetu wakilizungumzia sio bungeni wala hawa wanasiasa wa upinzani ila nadhani Makonda atawavaa ni swala la muda tu.

Kwa ninachoona hili suala @napennauye anahusika na ana mgao mkubwa sana, anaruhusu vipi haya kama hana mgao?!
Mpaka siku Lissu atapoongea, ndio utwaona wanajibaraguza kujibu.
 
Back
Top Bottom