Mikopo ni zaidi bangiUkikopa Sharti Ulipe Usipende Vya Bure Bure Mkuu Kuna Jela na Gesti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikopo ni zaidi bangiUkikopa Sharti Ulipe Usipende Vya Bure Bure Mkuu Kuna Jela na Gesti
Wasome kwanza vigezo na masharti kabla ya kuja kulalamika hukuEzekiel mmbaga kuwa na huruma na watanzania wenzako.
Usidanganyike benki zinakopesha yoyote mwenye dhamana ya vituUkienda benki hukopesheki .Unajiweka kwenye risk Bila sababu ujanja mwingi mwisho kilio
Sio kweli Sasa hivi wanajikita kwenye kitu kinachoingiza pesa zaidi kama nyumba iwe ya kupangisha nk hawatumii majumba ya kulala na kuamkaUsidanganyike benki zinakopesha yoyote mwenye dhamana ya vitu
Naomba kujua zilipo ofisi za swift fund au zamani wakijiita m pesa financial, kama utazipata nijulishe1. Soma vigezo na masharti kabla ya kukopa.
2. Ukiamua kukopa,hakikisha unalipa kiwango chote ulichokopa na kwa wakati mwafaka.
3. Ukipuuza mambo hayo, acha tu wakudhalilishe.
Mswahili anataka akope halafu muda wa kulipa uanze kumbembeleza na kutia huruma.