Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

Wakopaji wakubwa mitandaoni sio maskini ni watu wenye kipato

Maskini Hana uwezo wa kumiliki simu janja yenye internet

Mtu anamiliki simu janja yenye internet utamwita maskini? Maskini simu zake Nokia torch Tena hata button unakuta zimefutika yeye tu ndie ajua
Hapana mkuu. Watu wengi wana smartphone lkn hali zao za kimaisha ni chokambaya (chokest). Kwahiyo usitumie umiliki wa smartphone kama kigezo cha mtu kutoboa kimaisha.
 
Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.

Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.

Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.

Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.

Sikilza hii clip:

Hapo umechemka mkuu, lisu ataishia kuongea tu bas, mwenye mamlaka ni wazir wa fedha , hz taasis sina hakika kama zimesajiliwa kisheria maana hata hazifuati miongozo ya BOT
 
Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.

Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.

Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.

Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.

Sikilza hii clip:

Ujinga tupu nani alishakamatwa kwa kukopa mtandaoni wananchi waachwe wajipatie pesa za bure ,mengine ni upuuzi tu ,ukishajipatia pesa kula na endelea na maisha
 
Hapo umechemka mkuu, lisu ataishia kuongea tu bas, mwenye mamlaka ni wazir wa fedha , hz taasis sina hakika kama zimesajiliwa kisheria maana hata hazifuati miongozo ya BOT
Basi hii nchi sio salama kabisa!!
 
Mtu anakopa halafu anajikausha,simu hapokei,akiitwa tapeli anaanza kulia lia eti anadhalilishwa.
Asee kuna line yangu nimeisajili specifically kwa ajili ya kuwapiga hao watoa mikopo..mpaka sasa nishakula kama laki 8 hivi..unamkopesha mtu usiemjua tena mbongo?
 
Asee kuna line yangu nimeisajili specifically kwa ajili ya kuwapiga hao watoa mikopo..mpaka sasa nishakula kama laki 8 hivi..unamkopesha mtu usiemjua tena mbongo?
Ukienda benki hukopesheki .Unajiweka kwenye risk Bila sababu ujanja mwingi mwisho kilio
 
Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.

Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.

Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.

Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.

Sikilza hii clip:

Sasa Lissu anaingilia kama nani?
 
Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.

Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.

Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.

Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.

Sikilza hii clip:

Sio mtandaoni pekee hata kwenye riba za Benki sio rafiki,pesa zenyewe no Kodi zetu na mikopo ya nje kwahiyo sisi ndo tulipe mikopo ya Wana siasa
 
Mi nafikiri ungewaita na kuwalaumu shirika la kutetea haki za kibinadamu (LHRC ) badala ya kumuita tundu lissu na kuilaumu serikali ya mama Samia .
lhrc wanaingiliaje mkataba binafsi wa watu wawili waliokubaliana ulikopa kwa hiari lipa
 
Sio mtandaoni pekee hata kwenye riba za Benki sio rafiki,pesa zenyewe no Kodi zetu na mikopo ya nje kwahiyo sisi ndo tulipe mikopo ya Wana siasa
mkopo ni biashara ya mwenye nacho kumpokonya masikini,watumishi wana maisha magumu sababu ya mabenki
 
Watu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.
Ukikopa Sharti Ulipe Usipende Vya Bure Bure Mkuu Kuna Jela na Gesti
 
Ukienda benki hukopesheki .Unajiweka kwenye risk Bila sababu ujanja mwingi mwisho kilio
Maskini wengi hufanya upuuzi wakidhani ni ujanja na kujuta baadae. Yaani kama hukopesheki unakuwa kama maiti inayotembea
 
Back
Top Bottom