Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Watu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.1.soma vigezo na masharti kabla ya kukopa.
2.ukiamua kukopa,hakikisha unalipa kiwango chote ulichokopa na kwa wakati mwafaka.
3.ukipuuza mambo hayo, acha tu wakudhalilishe.
Mswahili anataka akope halafu muda wa kulipa uanze kumbembeleza na kutia huruma.
Umasikini mbaya lakini isiwe sababu ya kuendelea kuwanyonya masikini wa nchi hii. Serikali ina wajibu wa kulinda raia wake. Acha bangi!Hamsomi vigezo afu mnakuja kulialia hapa
Vipi ndio biashara yako nini?Kwendeni zenu kukopa mnapewa Hadi masharti una tick kukubali kisha unaleta kelele humu
Halafu wewe Mleta mada ni mkopaji mno ukikopa hizo pesa huwa unapeleka wapi. Kutwa wewe kukopa madeni na wewe
Unanunua uchawi au?
Kwa mikopo uliyokopa Kila Kona Sasa hivi ulitakuwa ywe umetoka kimaisha kama unaitumia vizuri bwege wewe
Akiongea,serikali nzima itajitokeza kujibu na walau tutaona kuna jitihada za kuidhibiti.Lissu tafadhari toa neno
Ndio nakopesha na masharti unapewa na unakubali Sasa unataka Lisu aingiliahe wakatu masharti ya mkopo kabla kupewa uli acceptVipi ndio biashara yako nini?
Watu wengi wanaichukulia mikopo ya mtandaoni kama hela ya bure kwasababu tu hawaonani live na kampuni inayotoa mikopo.Watu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.
Mpiga dili!!!!!Ndio nakopesha na masharti unapewa na unakubali Sasa unataka Lisu aingiliahe wakatu masharti ya mkopo kabla kupewa uli accept
Nenda hata mahakamani bwege wewe
Unamtishia nyau nani
Bangi siachiUmasikini mbaya lakini isiwe sababu ya kuendelea kuwanyonya masikini wa nchi hii. Serikali ina wajibu wa kulinda raia wake. Acha bangi!
Nenda mahakamani na huyo Lisu wako kuwa umepigwa mikopo ya mitandaoniMpiga dili!!!!!
Ngugu zenu huko remote areas ndio wahanga wakubwaWatu wengi wanaichukulia mikopo ya mtandaoni kama hela ya bure kwasababu tu hawaonani live na kampuni inayotoa mikopo.
Sasa kampuni inapotumia nguvu ili ulipe hela yao ndiposa watu wanaanza kulia lia eti wanadhalilishwa.Wanasahau kuwa suluhisho ni kulipa hela unayodaiwa.
Waswahili acheni kudeka lipeni madeni yenu.
Mtu anakopa halafu anajikausha,simu hapokei,akiitwa tapeli anaanza kulia lia eti anadhalilishwa.Hamsomi vigezo afu mnakuja kulialia hapa
Tapeli na mwiizi ni yule anaechaji riba ya asilimia 50 ndani ya wiki huku hata leseni hana.Mtu anakopa halafu anajikausha,simu hapokei,akiitwa tapeli anaanza kulia lia eti anadhalilishwa.
Hivi wewe jamaa naona bado hujaelewa ila umeamua kucomment ili ufarahishe jamvi1. Soma vigezo na masharti kabla ya kukopa.
2. Ukiamua kukopa,hakikisha unalipa kiwango chote ulichokopa na kwa wakati mwafaka.
3. Ukipuuza mambo hayo, acha tu wakudhalilishe.
Mswahili anataka akope halafu muda wa kulipa uanze kumbembeleza na kutia huruma.
Hawa watu wanahitaji kufanyiwa Chek up ya utimamu wa akili.Mtu anakopa halafu anajikausha,simu hapokei,akiitwa tapeli anaanza kulia lia eti anadhalilishwa.