Hapana mkuu. Watu wengi wana smartphone lkn hali zao za kimaisha ni chokambaya (chokest). Kwahiyo usitumie umiliki wa smartphone kama kigezo cha mtu kutoboa kimaisha.Wakopaji wakubwa mitandaoni sio maskini ni watu wenye kipato
Maskini Hana uwezo wa kumiliki simu janja yenye internet
Mtu anamiliki simu janja yenye internet utamwita maskini? Maskini simu zake Nokia torch Tena hata button unakuta zimefutika yeye tu ndie ajua
Hapo umechemka mkuu, lisu ataishia kuongea tu bas, mwenye mamlaka ni wazir wa fedha , hz taasis sina hakika kama zimesajiliwa kisheria maana hata hazifuati miongozo ya BOTNchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.
Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.
Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.
Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.
Sikilza hii clip:
Ujinga tupu nani alishakamatwa kwa kukopa mtandaoni wananchi waachwe wajipatie pesa za bure ,mengine ni upuuzi tu ,ukishajipatia pesa kula na endelea na maishaNchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.
Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.
Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.
Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.
Sikilza hii clip:
Basi hii nchi sio salama kabisa!!Hapo umechemka mkuu, lisu ataishia kuongea tu bas, mwenye mamlaka ni wazir wa fedha , hz taasis sina hakika kama zimesajiliwa kisheria maana hata hazifuati miongozo ya BOT
Asee kuna line yangu nimeisajili specifically kwa ajili ya kuwapiga hao watoa mikopo..mpaka sasa nishakula kama laki 8 hivi..unamkopesha mtu usiemjua tena mbongo?Mtu anakopa halafu anajikausha,simu hapokei,akiitwa tapeli anaanza kulia lia eti anadhalilishwa.
Hata watoa mikopo nao ni raia wa nchi hii wanaojitafuta. Ukichukua cha mtu LIPAUmasikini mbaya lakini isiwe sababu ya kuendelea kuwanyonya masikini wa nchi hii. Serikali ina wajibu wa kulinda raia wake. Acha bangi!
Ukienda benki hukopesheki .Unajiweka kwenye risk Bila sababu ujanja mwingi mwisho kilioAsee kuna line yangu nimeisajili specifically kwa ajili ya kuwapiga hao watoa mikopo..mpaka sasa nishakula kama laki 8 hivi..unamkopesha mtu usiemjua tena mbongo?
Hujakutana na wakopeshaji wababe Wewe utatamani Dunia ipasuke ikumezeUkinikopesha ukanidhalilisha Silipi.
Watanipata wapi?!Hujakutana na wakopeshaji wababe Wewe utatamani Dunia ipasuke ikumeze
Sasa Lissu anaingilia kama nani?Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.
Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.
Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.
Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.
Sikilza hii clip:
Ezekiel mmbaga kuwa na huruma na watanzania wenzako.Hawa watu wanahitaji kufanyiwa Chek up ya utimamu wa akili.
acheni kukopaWatu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.
HahahaNaona ma jobless mnapigana 😅😂 hizi nguvu mngewekeza ktk kutia mimba na kubeba mimba, taifa lingekuwa na nguvu kazi mashambani na viwandan...
Sio mtandaoni pekee hata kwenye riba za Benki sio rafiki,pesa zenyewe no Kodi zetu na mikopo ya nje kwahiyo sisi ndo tulipe mikopo ya Wana siasaNchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi.
Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea.
Hili kwa sasa ni tatizo kama ilivyo bangi na madawa ya kulevya.
Lissu na wapinzani kwa ujumla, tunaomba swala hili liwe agenda kwenye mikutano yenu ya hadhara.
Sikilza hii clip:
lhrc wanaingiliaje mkataba binafsi wa watu wawili waliokubaliana ulikopa kwa hiari lipaMi nafikiri ungewaita na kuwalaumu shirika la kutetea haki za kibinadamu (LHRC ) badala ya kumuita tundu lissu na kuilaumu serikali ya mama Samia .
mkopo ni biashara ya mwenye nacho kumpokonya masikini,watumishi wana maisha magumu sababu ya mabenkiSio mtandaoni pekee hata kwenye riba za Benki sio rafiki,pesa zenyewe no Kodi zetu na mikopo ya nje kwahiyo sisi ndo tulipe mikopo ya Wana siasa
Ukikopa Sharti Ulipe Usipende Vya Bure Bure Mkuu Kuna Jela na GestiWatu wanadhalilika sana mpaka huruma.Ni wajibu wa serikali kulinda raia wake, vinginevyo hata madawa ya kulevya ikkiwemo bangi yangeachwa tu watu wayatumie.
Maskini wengi hufanya upuuzi wakidhani ni ujanja na kujuta baadae. Yaani kama hukopesheki unakuwa kama maiti inayotembeaUkienda benki hukopesheki .Unajiweka kwenye risk Bila sababu ujanja mwingi mwisho kilio