Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

Usidanganyike benki zinakopesha yoyote mwenye dhamana ya vitu
Sio kweli Sasa hivi wanajikita kwenye kitu kinachoingiza pesa zaidi kama nyumba iwe ya kupangisha nk hawatumii majumba ya kulala na kuamka
 
Naomba kujua zilipo ofisi za swift fund au zamani wakijiita m pesa financial, kama utazipata nijulishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…