Tundu Lissu: Tutamkabili Dr Samia kama tulivyomkabili Hayati Dr Magufuli kwenye Uchaguzi Ujao, tumejipanga

kauli hiyo ya Lissu anaonesha kuwa kishashindwa.

Simshangai, nafahamu anaelewa kuwa Tanzania ni Republic siyo democracy, Rais haamuliwi na masanduku ya kura. Anateuliwa, kura ni za kupatia takwimu za uongozi tu.
LOoooh! Yamekuwa haya tena?

Imenilazimu ninakili haya maneno yako niyaweke kwenye kumbukumbu, maana sijawahi kukusoma ukiwa katika hali hii!

Hata hivyo itabidi uweke maelezo ya ziada, kwani huyo "rais atakaye teuliwa", ni lazima awe ni 'Chura Kiziwi'?
Safari hii kazi mnayo kwelikweli!
 
Upinzani kwenye uchaguzi muhimu ili Ile hazina yao waliyoficha wajitoe tuifaidi wananchi na zile hela Toka arabuni tunazitaka zije ukisusa unawapa faida maccm
 
Huyu ni mdini kichwa yake imejaa juzuu huwezi jadili naye mambo ya akili akakuelewa
 
Kalamu sentensu ya kwanza sehemu ya pili sijakueleea huko nilikotoka ni wapi?

Umeusema ukweli kuwa Mpinzani wa kweli mwenye maono na nguvu kwa sasa ni Tundu Lissu na uwezo wa kuongoza nchi anao. Deep state waache uwanja huru. Tundu hahitaji Upendeleo ili kufanikiwa jambo hili. He is by Meritocracy
 
Ndiyo protokoli ilivyo kwa sasa. Kuna "factors" nyingi za kuamuwa Rais awe nani ndiyo maana walipata tabu kutangaza kifo cha Magufuli. Jenerali alishindwa kuusema ukweli kuwa waliamrishwa wasubiri mpaka ije amri.

Mpaka sasa Mama Samia anakidhi vigezo vyote. Kumbuka uamuzi wa nani atawale hautegemei Watanzania pekee.
 
Huyu ni mdini kichwa yake imejaa juzuu huwezi jadili naye mambo ya akili akakuelewa
Faza Foxy hawezi kujadili jambo lolote beyond Religious Doctrin, ni mtu aliyeathirika kwa Udini na anautumia wazi wazi kubagua watu.

Hatufai.
 
Ana kidhi vigezo? Vipi? Hapo alipofika ni kwa kubebwa tu na mfumo na hawezi ushindani. Ataangukia pua hili hata CCya ccm inajua na NEC inajua.
 
kauli hiyo ya Lissu anaonesha kuwa kishashindwa.

Simshangai, nafahamu anaelewa kuwa Tanzania ni Republic siyo democracy, Rais haamuliwi na masanduku ya kura. Anateuliwa, kura ni za kupatia takwimu za uongozi tu.
Majambazi mwaka huu mtatoa siri zote cc Nape
 
Majambazi mwaka huu mtatoa siri zote cc Nape
Elewa tu kwenye republic haiamui sanduku la kuru, hayo ni mambo ya democracy.

Mifano ipo mingi lakini hamuioni, nafahamu kuwa shule mlienda kusomea ujinga. Lakini naona huu wa kusomea umechanganyika na wa asili kwa wengine.

Kama hamuelewi au wengine mlikuwa hamjazaliwa; wakati tunaondoka chama kimoja kuelekea vyama vingi, waliotaka tuingie kwenye vyama vingi ni kidogo kuliko waliotaka kibaki chama kimoja.

Kwanini wengi wasipewe (democracy)?

Ukipata jibu utaelewa maana ya "republic".
 
Huyu ni mdini kichwa yake imejaa juzuu huwezi jadili naye mambo ya akili akakuelewa
Hakuna dini kama hiyo. Huyo ni mlevi tu kama walivyo walevi wengine wote, iwe ulevi wa kinywaji, madawa, au hizi imani. Ulevi wa aina yoyote ile unaharibu akili; na huyo akili yake ilisha athirika siku nyingi.
 
Sitapenda kuweka maneno ya kuvuruga mtiririko huu wa mawazo yako haya kama ulivyo yaweka hapa. Ngoja niyaache yalivyo; na kuyajumuisha na yale mengine niliyojiwekea kwenye kumbukumbu.
 
Sitapenda kuweka maneno ya kuvuruga mtiririko huu wa mawazo yako haya kama ulivyo yaweka hapa. Ngoja niyaache yalivyo; na kuyajumuisha na yale mengine niliyojiwekea kwenye kumbukumbu.
Usichoke tu.
 
Utaniwia radhi sana kama nimekuchanganya na mnyarwanda mmoja humu aliyeleta tabia za huko kwao na kubandika lugha yao kwenye jukwaa hili wiki chache zilizo pita akijibishana na mkuu 'imhotep'.

Kitu pekee kinachoweza kumvurugia Tundu Lissu kwa sasa hivi ni CHADEMA tu basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…