Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

Umeitoa wapi hii? Maana ni kama amerekodiwa sehemu akiwa mwenyewe. Au ni huu ujinga wa AI mnaleta humu mitandaoni kuchafua watu?
 
Kung'ang'ania madaraka kwa mbowe ndio kumemletea yote hayo, angeachia mtu mwingine yeyote astaafu kwa heshima historia ingemkumbuka.
 
Uhusiano uliharibika mara tu Lisu alipostukia yale mabilioni ya rushwa toka Abdul kwenda kwa mbowe
 
Heri ya Christmas Wanajamvi.
Mjadala wa CHADEMA, kwa sasa ndio habari ya mjini, hata kwa wasiofuatilia Siasa.

Imefikia hatua hata uteuzi na uapisho uliofanyika Ikulu ndogo ya TUNGUU uliofanyika majuma kadhaa yaliopita ,kutopata coverage ya kutosha kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyo Habari ya umwenyekiti wa CHADEMA.

Ushauri wangu, mteue KINGWENDU kuwa Mbunge, na BAMBO kuwa mjumbe wa bodi Mojawapo kama vile bodi ya utalii,kupitia waziri mwenye dhamana.

Baada ya uteuzi huo kwa muda Mjadala wa CHADEMA utaenda likizo na watu watajadili uteuzi wa BAMBO na KINGWENDU.

Ukilifanya hilo mheshimiwa Rais, utakuja kunishukuru.

Nimetumia BAMBO na KINGWENDU kama mfano, inawezekana pia ukawateua Ndugu wengine tofauti, kama ndugu yangu MADEBE LIDAI na na mtaani wangu Muhogo mchungu.

Ushauri sio shururuti, unaweza kukataa pia sio Lazima kuafiki.

Ni hayo tu mh Rais, Nikutakie Christmas njema.
 
Endelea kuropoka Lissu. Sasa tunataka utwambie ukiwa kitandani na mkeo huwa mnafanyaje mambo yenu. Na yenyewe ni muhimu sana kwenye kupata kura za uwenyekiti wa Chadema. Ahahahahaha!!!
 
Sema Lissu nae anaongea sana tatizo mimi ndio maana nashindwa kumuamini 100% ., mbowe simkubali ila lissu ananipa mashaka pia
Fikra zangu, Lissu ameamua kutumia mbinu ya kujihami mapema kabla. Likimpata jambo mnakuwa na taarifa. 2017 alishasema pia anafuatiliwa na watu kabla hakapigwa risasi.
 
Tulieni dawa iwaingie
Endelea kuropoka Lissu. Sasa tunataka utwambie ukiwa kitandani na mkeo huwa mnafanyaje mambo yenu. Na yenyewe ni muhimu sana kwenye kupata kura za uwenyekiti wa Chadema. Ahahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…