Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

Nasoma mengi ila jamaa hayuko sawa
Kuna mambo unaamua kunyamaza tu
Mtu mzima hapaswi kuongea sana bali hekima na kunyamaza ni bora zaidi
Hizi tabia huwa naziona kwa watu wenye depression 🫄
Mimi sina chama ila kwa wenye chama wamshauri
 
Tulieni dawa iwaingie
Yaani ninyi Chadema ndio mnaogombana halafu unasema mimi CCM dawa iniingie? Kwa lipi? CCM na Serikali yake HAJAWAHI kumuogopa LISSU, lakini Lissu ndio anaiogopa CCM na Serikali yake hadi akahamisha familia yake na kuipeleka Ubeleji. Ahahahahaha!!!
 
Kwahiyo anataka tumsaidie nini kama hawana mahusiano alfu mambo yao ya kibinafsi sisi yatuhusu nini ahache unafiki hautamsaidia kitu
ulipoambiwa hela ni shetani sasa hii ndio maana yake, deal kwenye taasisi na kwenye mashirikiano na wenzako mwishowe hakuna hatima njema, mdhara ya huyo shetani pesa ndo haya
 
Tundu lisu alikosea katika mkakati wake wa kugombania uenyekiti.
Angekuwa mpole akamshawishi mwenyekiti wake kuachia kiti kimya kimya bila hotuba za kutoa shutuma majukwaani na mitandaoni kiti angekichukua kiulaini kwa support ya mbowe .
Lisu ajue wanaopiga kura ni chadema members sio watu wa mitandaoni .
 
naona wengi sasa wameshajua kuwa, mbowe ndio mrudisha maendeleo ya nchi hii namba moja, kwa sababu huwa anawachezea wenzake akili, anavuta mpunga, anaacha wenzie waumizwe, vijana wapigwe, ila yeye huo uwenyekiti anafaidika nao sana na hataondoka. wananchi wa chadema nadhani angalieni wenyewe na mhukumu wenyewe. pia, Lisu anapata shida sana hata kuongea mengi kwa sababu tu ati mbowe ndiye alishika chupa wakati amepigwa risasi. risasi zenyewe alipigwa akipigania hicho chama, mbowe hakuwa na harakati zozote za kuweza kupigwa risasi. lakini kijana aliyekuwa mstari wa mbele ndio umekuwa utumwa sasa, lisu hatakiwi kumbeza saaana kwa sababu tu atasema mimi ndiye nilikuokoa siku ile usife.

napenda kuwaambia watu, mtu akikusaidie mshukuru Mungu, usimpe sifa mwanadamu, Mungu ndiye alimwokoa lisu, iwe kwa kutumia mbowe, msigwa au yeyote, na mbowe pia ajue kuna Mungu mbinguni ambaye hata yeye aweza kupatwa na janga hata leo akasaidiwa na wengine, yeye sio mwokozi wa kushikilia wenzake utumwa kwa sababu tu ati aliwasaidia. kwa hiyo mtu akikusaidia ndio afanye chochote usiseme? na kama lisu anasema hawezi kuwa na ujasiri kula kwa mbowe, ina maana mbowe ana mambo ya siri ya uuaji pia huwa anafanya, yale anayolaumiwa nayo kumbe inawezekana sio ya uongo.
Inasikitisha na kuhuzunisha...So sad.
 

Attachments

  • Screenshot_20241225-215807.jpg
    Screenshot_20241225-215807.jpg
    186.5 KB · Views: 3
Nadhani TAL ameongea Kwa hekima kubwa na ukomavu stahili kisiasa.Migongano ktk vyama haiepukiki na hasa mivutano ya kiuongozi /Maadlli/Utashi inapoibuka.

Pamoja na yote uchaguzi huu wa CHADEMA umeonyesha umuhimu mkubwa wa ustawi wa demokrasia Kwa maendeleo ya Taifa letu..

Siasa safi,Uongozi bora ni tunu ya maendeleo.
 
TUNDU LISSU IS ALL THE RAGE

Front pages and breaking news.

The most intrepid, most fearless, most incorruptible, most convicted, most firebrand, most God-send and most patriotic.

When his country was under siege of a rampaging dictator he stood in his way, head up, chest poked out, took 16 bullets and inexplicably survived.

With valour and honour, he is selflessly carrying the dashed and vanguishing hopes and dreams of countless milions of Tanganyikan men, women and children from across the length and breadth of this country.

The ruling CCM party was founded in 1954. In its 70 year long, high and mighty histor,y, no one man has posed a more potent and credible threat to its vise-grip rule. Or misrule.

It is X'mass Day 2024,. When the priest said this rnorning, close your eyes and pray for the memory and mission of the birth of Jesus Christ of Nazareth, I prayed for the mission of Tundu Lissu of Tanganyika as well, if not exclusively.
 
Back
Top Bottom