Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

TL asema uhusiano wake na Mbowe ni Civil akiimanisha kwamba wote wana jakamoyo ingawa bado waweza kuwasiliana na kuongea haya na yale kama kawaida.

Kwa kiingereza amaanisha kwamba "polite and formal meaning civil to each other but they both still angry".
Kazi kweli kweli
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Mpangaji anamtesa mwenye nyumba 😂😂
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

MBOWE, sema unataka nafasi ya mwenyekiti uifanyie Nini kipya ambacho hujakifanya kwa miaka yako 20 madarakani?
 
Kwahiyo anataka tumsaidie nini kama hawana mahusiano alfu mambo yao ya kibinafsi sisi yatuhusu nini ahache unafiki hautamsaidia kitu
Hivi ukiwa unahojiwa hutakiwi kusema ukweli ulivyo?
Uchawa unakusumbua Huna jipya
 
Yaani ninyi Chadema ndio mnaogombana halafu unasema mimi CCM dawa iniingie? Kwa lipi? CCM na Serikali yake HAJAWAHI kumuogopa LISSU, lakini Lissu ndio anaiogopa CCM na Serikali yake hadi akahamisha familia yake na kuipeleka Ubeleji. Ahahahahaha!!!
Baada ya masaii mingi miiingi sio
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Inaweza ikawa kweli kabisa. Imagine lema kaona usoro mtupu kapita zake. Kuna someting fish
 
Huyu jamaa ana
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Huyu jamaa ana shida kubwa sana.Ni mnafiki na ni mtu wa vurugu
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Kwenye kazi mahusiano ni ya kikazi zaidi sio kwendq kula nyumbani kwa mtu kuwe Kwa Mbowe au kokote

Lisu aache utoto

Mbowe linapokuja swala la kazi za chama hapendi utoto na kuendekeza mambo ya uhusiano binafsi kama kigezo cha uhusiano kazini
Ndio maana hajali awe Godbless Lema nduguye au yeyote.Ni hapa kazi tu ndio maana hadi Lema katorokea. Canada akijua angegombea uenyekiti wa kanda asingepata

Mbowe ni mtu wa vitendo sio maneno maneno na makelele kila siku vyombo vya habari kama Lisu na Lema

Lisu kama anataka chakula aende kwa mkewe amwambie ampikie sio Mbowe
 
Kwenye kazi mahusiano ni ya kikazi zaidi sio kwendq kula nyumbani kwa mtu kuwe Kwa Mbowe au kokote

Lisu aache utoto

Mbowe linapokuja swala la kazi za chama hapendi utoto na kuendekeza mambo ya uhusiano binafsi kama kigezo cha uhusiano kazini
Ndio maana hajali awe Godbless Lema nduguye au yeyote.Ni hapa kazi tu ndio maana hadi Lema katorokea. Canada akijua angegombea uenyekiti wa kanda asingepata

Mbowe ni mtu wa vitendo sio maneno maneno na makelele kila siku vyombo vya habari kama Lisu na Lema

Lisu kama anataka chakula aende kwa mkewe amwambie ampikie sio Mbowe
Lakini zamani alikuwa akiwaita na kuwapikia. Kosa Lao ni kugombea uenyekiti??
 
Lakini zamani alikuwa akiwaita na kuwapikia. Kosa Lao ni kugombea uenyekiti??
Usiishi kwa mazoea kwenye maisha

Nikikukaribisha kula nyumbani kwangu week end usinizoee tafadhali kuwa kila weekend niwe nakualika

Lisu akili hana
 
Back
Top Bottom