Kazi kweli kweliTL asema uhusiano wake na Mbowe ni Civil akiimanisha kwamba wote wana jakamoyo ingawa bado waweza kuwasiliana na kuongea haya na yale kama kawaida.
Kwa kiingereza amaanisha kwamba "polite and formal meaning civil to each other but they both still angry".
Hayo kaongea jana. Kuna kikundi chake na Dr. Slaa ambaye ni mwana CCM, wanajirekodi kila siku. Kesho watatoa rekodi nyingineMtu akiongea once halafu watu wakatumia wiki waki nzima kila siku wanatoa kipande cha aliyoongea ndiyo kuongea sana?
Mpangaji anamtesa mwenye nyumba 😂😂Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.
View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7
MBOWE, sema unataka nafasi ya mwenyekiti uifanyie Nini kipya ambacho hujakifanya kwa miaka yako 20 madarakani?Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.
View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7
Akipatikana nampandisha hapa jukwaani.Hajakusikia endelea kumtafuta mkuu
Hivi ukiwa unahojiwa hutakiwi kusema ukweli ulivyo?Kwahiyo anataka tumsaidie nini kama hawana mahusiano alfu mambo yao ya kibinafsi sisi yatuhusu nini ahache unafiki hautamsaidia kitu
Usichoke kumtafuta mkuu!!Akipatikana nampandisha hapa jukwaani.
Baada ya masaii mingi miiingi sioYaani ninyi Chadema ndio mnaogombana halafu unasema mimi CCM dawa iniingie? Kwa lipi? CCM na Serikali yake HAJAWAHI kumuogopa LISSU, lakini Lissu ndio anaiogopa CCM na Serikali yake hadi akahamisha familia yake na kuipeleka Ubeleji. Ahahahahaha!!!
Inaweza ikawa kweli kabisa. Imagine lema kaona usoro mtupu kapita zake. Kuna someting fishMakamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.
View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7
Pamoja mkuu.Hahaha
Huyu jamaa ana shida kubwa sana.Ni mnafiki na ni mtu wa vuruguMakamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.
View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7
Kwenye kazi mahusiano ni ya kikazi zaidi sio kwendq kula nyumbani kwa mtu kuwe Kwa Mbowe au kokoteMakamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.
View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7
Lakini zamani alikuwa akiwaita na kuwapikia. Kosa Lao ni kugombea uenyekiti??Kwenye kazi mahusiano ni ya kikazi zaidi sio kwendq kula nyumbani kwa mtu kuwe Kwa Mbowe au kokote
Lisu aache utoto
Mbowe linapokuja swala la kazi za chama hapendi utoto na kuendekeza mambo ya uhusiano binafsi kama kigezo cha uhusiano kazini
Ndio maana hajali awe Godbless Lema nduguye au yeyote.Ni hapa kazi tu ndio maana hadi Lema katorokea. Canada akijua angegombea uenyekiti wa kanda asingepata
Mbowe ni mtu wa vitendo sio maneno maneno na makelele kila siku vyombo vya habari kama Lisu na Lema
Lisu kama anataka chakula aende kwa mkewe amwambie ampikie sio Mbowe
Usiishi kwa mazoea kwenye maishaLakini zamani alikuwa akiwaita na kuwapikia. Kosa Lao ni kugombea uenyekiti??