Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
 
Tatizo la Lissu ni mkurupukaji na mjuaji sana, huwa hana subira, hana kudigest jambo kabla ya kujibu! Linalomjia hilo hilo analifyatua!! Miaka yote amekaa na Freeman kashindwa kujifunza busara yake! Kuna siku si nyingi atakuja kufanya jambo hawa wanaompigia mapambio humu sijui wataficha wapi nyuso zao
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
[emoji1][emoji1][emoji1]alimjampisha jiwe Hadi akapiga magoti[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Mbowehakustahili kuwa gerezani Hilo Kwanza utambue. Hatuwezi kuhalalisha Hilo kisa Zitto.

Lisu is on the right track. Mbowe anapaswa kuachiwa bila masharti na Samia suruhu pamoja na ccm yake wamuombe msamaha siyo yeye awaombe, kwa kosa gani!!
 
Tatizo la Lissu ni mkurupukaji na mjuaji sana, huwa hana subira, hana kudigest jambo kabla ya kujibu! Linalomjia hilo hilo analifyatua!! Miaka yote amekaa na Freeman kashindwa kujifunza busara yake! Kuna siku si nyingi atakuja kufanya jambo hawa wanaompigia mapambio humu sijui wataficha wapi nyuso zao
Bora yeye anakurupuka, wewe hata kufurukuta huwezi kwa hiyo kaa kimya utetewe na wanaomiliki uume.
 
Andika vizuri ueleweke. Tumia vizuri alama za mkato, nukta, herufi kubwa na aya.
Kama ningemsifia lissu hizo nukta ungeziona lakini kwa kuwa ujumbe huu upo nje ya ubongo wako ndio maana umekuwa kipofu alama huzioni
 
Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
 
Mbowehakustahili kuwa gerezani Hilo Kwanza utambue. Hatuwezi kuhalalisha Hilo kisa Zitto.

Lisu is on the right track. Mbowe anapaswa kuachiwa bila masharti na Samia suruhu pamoja na ccm yake wamuombe msamaha siyo yeye awaombe, kwa kosa gani!!
Hizo haki na maonezi mnayodhani mbowe kaonewa yatakuwa na maana mkiyajadili wakati ambao mbowe yupo nje
 
Tatizo la Lissu ni mkurupukaji na mjuaji sana, huwa hana subira, hana kudigest jambo kabla ya kujibu! Linalomjia hilo hilo analifyatua!! Miaka yote amekaa na Freeman kashindwa kujifunza busara yake! Kuna siku si nyingi atakuja kufanya jambo hawa wanaompigia mapambio humu sijui wataficha wapi nyuso zao
Tatizo la Lissu anaongea UKWELI mchungu ambao hampendi kuusikia ! SPANA.
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Mataga hivi nyie leo hii ya kumuonea huruma Mbowe? Yaani mnakisemea chama CDM.
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Wasubili waje utawasikia.
 
Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi

Jiwe ni tundu lissu aliechangamka
 
Hizo haki na maonezi mnayodhani mbowe kaonewa yatakuwa na maana mkiyajadili wakati ambao mbowe yupo nje
Panua akili yako ndugu. Mbowe anawakilisha watu wengi walioonewa hasa kipindi Cha jpm na waliofungwa kwa kubambikiwa tu bila kosa lolote ilimradi tu jpm hampendi na wengine waliuawa. Kitendo Cha mbowe kusalia huko Ni ujumbe kwa dunia nzima kuwa Tanzania siyo nchi ya kawaida. Serikali unaweza kukupa kesi ya ugaidi mda wowote ilijisikia.

Yule Ni mbowe maarufu Sana. He wewe ukikamatwa Leo kwa makosa Kama hayo ya kubumba Nani atakusemea.

Tunataka hizi impunities ziishe siyo kwa mbowe tu Bali kwa wote. Tenatanzanja tungekuwa na akili nzuri tungeandamana kwa makosa hayo ya kutunga tu ambapo hata jaji hajui afanyeje anatamani kesi iishe Mana anaibeba haibebeki
 
Back
Top Bottom