cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hii case ya mchongo na imempinguzia sana Rais credibility, wajifunze kwa kikwete alikuwaga hafungagi watu kwa kuwaoneaLabda wanataka kumfanya Mbowe Mandela au Zuma mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii case ya mchongo na imempinguzia sana Rais credibility, wajifunze kwa kikwete alikuwaga hafungagi watu kwa kuwaoneaLabda wanataka kumfanya Mbowe Mandela au Zuma mwingine.
[emoji1666][emoji1666]..Lissu anafanana zaidi na Mkapa kuliko Magufuli.
..Lissu anapenda kujisomea kama alivyokuwa Mkapa.
..Lissu ni muandishi mzuri kama alivyokuwa Mkapa.
..Anapotofautiana na Mkapa ni kwenye kutetea HAKI. Kwenye masuala ya HAKI huwezi kusikia Lissu amesalimu amri.
..Ndio maana wakati wa kampeni alimgomea IGP, na RPC wa mkoa wa Pwani. Pia alikataa kupiga magoti ili Magufuli na Ndugai wakubali kugharamia matibabu yake.
Ndugu mayalla,mwinjilisti hawezi kuwa mchungajiKama hoja hii ni ukweli, then naomba mnisamehe sana, maana, mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu agombee!.
PUchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...www.jamiiforums.com
Unatumia vigezo gani kusema Lissu siyo material kwenye uongozi? Wengi hamumpendi Lissu coz ni mkweli na hayumbi kimisimamo. Lissu ni mtu wa principle wakati wengi wetu humu tumezoea viongozi wababaishaji.Uko sawa kwa yote, lakini Tundu Lissu siyo material ya Uongozi wa juu wa Taifa. He is worse than Magufuli
Uongozi ni karama siyo msimamo. Unaweza ukawa na msimamo hata kwenye mambo ya HOVYO kama Magufuli alipoamua kuwa Jeshi litasomba korosho badala ya wafanya biasharaUnatumia vigezo gani kusema Lissu siyo material kwenye uongozi? Wengi hamumpendi Lissu coz ni mkweli na hayumbi kimisimamo. Lissu ni mtu wa principle wakati wengi wetu humu tumezoea viongozi wababaishaji.