Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Umesema ukweli tupu!
 
Nakubaliana mambo mawili kuhusu Tundu Lissu; (1) Ni mbobezi wa Sheria za raslimali za madini ambaye hana mshindani Tanzania. (2) Alipigwa risasi na kikundi cha WASIOJULIKANA kilichokuwa chini ya Makonda kwa amri ya Magufuli. Na nalaani kittendo hicho kwa nguvu zote.

LAKINI
Tundu Lissu hana busara na haiba ya kuweza kuwa Rais wa Tanzania, hata kama aliibiwa kura na Mwendazake mwaka jana.

Tundu Lissu ni dikteta sawa na Magufuli au kumshinda
Umesema kweli tupu Mkuu!
 
Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
Acha kumfananisha Lissu na viumbe wa ajabu kupata kutokea katika nchi hii.
Hivi unapata wapi ujasiri wa kulinganisha Lissu na muuaji, mtesaji, na mtu mbishi asiye tumia akili?
Unajua wangapi wanalia hadi leo kutokana na mtu huyo kuingia madarakani?
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
NOT EVERYONE IS FOR SALE...

Never trade respect for attention....
 
Hakuna anaemchukia Lisu,, ila ana mapungufu hayo kiasi,, hamna mtu anamchukia hata SSH anampenda Lisu, ndo maana alikwenda kumuona Nairobi hospital..
Kikubwa afanye kucontrol hisia zake tu
Unajua ndugu kila ana approach yake kwenye jambo flan ww kutongoza mpaka uanze kuimbisha unaenda kariakoo kutokea magomen unazungukia Mandela road wakat unapita jangwan unafika chaap! Sasa lisu hanaga kuremba ujumbe!!
 
Hotuba ya Zitto inawakilisha kundi la pili na ndio maana Zitto amesema katika hotuba yake maneno haya:- "-----tunakuomba sana sana kwa mujibu wa sheria na kufuata taratibu zote za kisheria tusaidie mwenzetu tuwe naye----".

Sasa ni wapi hapo Zitto kamuombea msamaha Mbowe??!!--- na atamuombeaje msamaha kwani tayari kakutwa na hatia??!

..hajatamka " tunaomba umsamehe. "

..lakini lugha aliyotumia, body language yake, inatafsiri ya kuomba msamaha.

..Na ndio maana Ssh alipojibu alizungumzia MSAMAHA.

..Kuna upande unaoamini ktk msamaha, na kuna upande unaoamini ktk kufuatilia mbali mashtaka ya uongo. Kila upande una hoja zake.
 
lakini lugha aliyotumia, body language yake, inatafsiri ya kuomba msamaha


Lugha inayo "BODY LANGUAGE" !!?, by the way what is a body language??!.

Ni hatari sana kuchukua body language ya mtu na kuifanya verbal language kwani kila mtu anayotafsiri yake ya "body language" ya mtu, ie my translation of ones body language is different from yours na ndio maana katika law courts hakimu hawezi kumuhukumu mtu kutokana na body language isipokuwa tu kwa kauli atakayoitamka.

Ni makosa kutumia body language kufikia judgements na uache verbal language pembeni.
 
Bado embu eleza vizuri, haambiliki na hatumii busara kivip
Mfano hii issue ya mbowe inahitaji busara na compromising bana, Sasa mwenzao yuko jela huku Wana mu pamp chief hangaya na kauli za ukali unategemea nini?
Au wamesahau mamlaka za Rais wa nchi hii kuwa ni ka mfalme, Tundu lisu amefutiwa micase ya kiovu vipi ingekuwa jiwe?
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Wewe ni mwehu kma meko
tapatalk_1626121136163.jpeg
 
Lugha inayo "BODY LANGUAGE" !!?, by the way what is a body language??!.

Ni hatari sana kuchukua body language ya mtu na kuifanya verbal language kwani kila mtu anayotafsiri yake ya "body language" ya mtu, ie my translation of ones body language is different from yours na ndio maana katika law courts hakimu hawezi kumuhukumu mtu kutokana na body language isipokuwa tu kwa kauli atakayoitamka.

Ni makosa kutumia body language kufikia judgements na uache verbal language pembeni.

..lets agree to disagree.

..wewe unaona Zitto hajamuombea Mbowe msamaha.

..mimi naamini Zitto amemuombe Mbowe msamaha.

..jambo la msingi Mbowe atoke.
 
Nakubaliana mambo mawili kuhusu Tundu Lissu; (1) Ni mbobezi wa Sheria za raslimali za madini ambaye hana mshindani Tanzania. (2) Alipigwa risasi na kikundi cha WASIOJULIKANA kilichokuwa chini ya Makonda kwa amri ya Magufuli. Na nalaani kittendo hicho kwa nguvu zote.

LAKINI
Tundu Lissu hana busara na haiba ya kuweza kuwa Rais wa Tanzania, hata kama aliibiwa kura na Mwendazake mwaka jana.

Tundu Lissu ni dikteta sawa na Magufuli au kumshinda

..nadhani wengi wanakerwa na ile hali ya kuzidiwa maarifa na Tundu Lissu.

..vilevile hawapendi tabia ya Lissu ya kutokukubali kupigia magoti watawala.

..ndio maana serikali ikakataa kumtiba Kenya na Ubelgiji.

..na ndio sababu Igp amenukuliwa akisema Lissu ni mkorofi / ana kiburi.
 
..lets agree to disagree.

..wewe unaona Zitto hajamuombea Mbowe msamaha.

..mimi naamini Zitto amemuombe Mbowe msamaha.

..jambo la msingi Mbowe atoke.


Ndugu yangu ni hivi; mtu anaombewa msamaha baada ya kupatikana na kosa, Mbowe bado ni mtuhumiwa na hukumu ya kujua kama anayo au hana makosa haijatoka sasa aombewe msamaha wa kitu gani??--- kwa sasahivi anaombewa kesi ifutwe au kama alivyotamka Zitto kumuomba Rais Samia; "tuachie mwenzetu tuwe naye", na ataachiwa tu kwa mashitaka kufutwa, hivyo neno "msamaha" ni neno mlilojipandikizia wenyewe katika hotuba ya Zitto ili tu kumchafua Zitto kwasababu juhudi iliyoifanya ilipaswa ifanywe na Chadema kwa aibu mmeamua kumchafua huku mkimwita Kibaraka na msaliti !!, mara ooo nani kamtuma!!?, mara ooo anajipendekeza nk, mnashindwa kumshukuru kwa hiyo jitihada??!!--- kweli shukrani ya Punda ----.🤣 na ubinafsi umewashika, sasa vipi mkipewa nchi kama hali za roho zenu ndio hivyo?!!
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Kjana jengo hoja kwa fact siyo kukurupuka kama kiroboto anaye rukaruka ...
Tundu lissu ni great thinker
 
Tatizo la Lissu ni mkurupukaji na mjuaji sana, huwa hana subira, hana kudigest jambo kabla ya kujibu! Linalomjia hilo hilo analifyatua!! Miaka yote amekaa na Freeman kashindwa kujifunza busara yake! Kuna siku si nyingi atakuja kufanya jambo hawa wanaompigia mapambio humu sijui wataficha wapi nyuso zao
Lema amepost Tweet ya Mbowe kule Instagram, Mbowe amesema hayuko tayari kuomba msamaha wala kumpigia magoti yeyote hata ikiwa ni kwa gharama ya kukaa gerezani miaka 20. Tena amesema kuomba msamaha is over his dead body...
 
Hizo haki na maonezi mnayodhani mbowe kaonewa yatakuwa na maana mkiyajadili wakati ambao mbowe yupo nje
Sasa ikiwa mwenyewe hataki ku give in kwa kosa ambalo hakulifanya wewe ni nani hasa wa kumshurutisha? Wewe unakujua Roma kuliko waroma wenyewe?
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Wewe tutakuamini vipi kama hata ulifika shule kwa bandiko la namna hii?
 
Back
Top Bottom