Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
siku hizi hapo Lumumba hampewi chai akili itulie uandike vizuri?
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Sawa, lile jiwe liloagiza mazishi ya Lisu ndo lenye hekima na hizo karama za uongozi!
 
Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
Pigia mstari hapo,, Lisu na jpm ni wanafanana kwa kila kitu.. [emoji3][emoji3]
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
punguza jazba, kunywa maji mengi alafu nenda kapumzike kwenye kivuli kwa masaa mawili alafu meza P2.
 
mbwa hawa wanabambika watu kesi halafu wanataka hekima. Wewe mbona hukutumia hekima wakati unabambikiza kesi
Shida yenu kubwa mko too emotional... Mfano hapa unasema kabambikwa kesi lakini ushahidi wa hilo huna,, yaani uko too emotional..
Hallmark zinaonyesha kulikua na jambo,, makomandoo wote hao wa kazi gani,, mmoja au wawili wanatosha kuprovide ulinzi kwako,, sasa comandoo zaidi ya wanne, wa nini wote hao?
Mi kwa maoni yangu, Luten Denis Urio ndo alisanua ishu,, japo siamini kweli mbowe alitaka kulipua shell za mafuta, lakini lisemwalo siwezi kuwa na hakika 90%,
Tusubiri zamu ya urio kutoa ushahidi ndo tutaanza kuona mwanga wa hii kesi
 
Kama magu aliweza kutawala nchi hii basi lisu ni kiongozi mzuri sn
Ni mzuri tu iwapo atajua ku control hisia zake,, la sivyo watu wataumia sana,,
Lisu hakutakiwa kureact kama alivyoreact towards zito,, TOO EMOTIONAL.. [emoji847][emoji847]
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Mwenye mwandiko kama huu ataguanduaje yupi ni mwenye hekima?
 
Hivi twendeni kweny reality sasa.. Hivi kati lisu na aliekua anasema.. rudi na mavi yako nyumban, mara ntawachapa mashangaz zao na mengine mengi ambayo kwa hali ya kawaida huez yasema. Ni nan mweny karama ya uongoz? Lisu huez ona katukana bali anajua anachokisema bila kuvunja sheria na ni mwenye uthubutu na hapo ndipo anachukiwa sana!
Hakuna anaemchukia Lisu,, ila ana mapungufu hayo kiasi,, hamna mtu anamchukia hata SSH anampenda Lisu, ndo maana alikwenda kumuona Nairobi hospital..
Kikubwa afanye kucontrol hisia zake tu
 
Nakuunga mkono. Nashangaa kwanini Magufuri hakuliona Hilo. Magufuri angejenga urafiki na Lissu na sio uadui.
Jpm alikuwa anawakubali sana kina Lisu henche, Nasari, etc,, hasa point zao bungeni,
Walichobugi kina lisu na wengine ni kuanza kumdis,,
Hapa duniani, lazima ujue kuishi na watu hutakiwi kuwa too extreme,,
 
..Zitto kwa lugha aliyotumia, na body language ameomba MSAMAHA.

..Hakuweka msisitizo kwamba mashtaka dhidi ya Mbowe ni ya kisiasa.

..Ndio maana Raisi ktk majibu yake alizungumzia MSAMAHA.


Kama body language ingalikuwa ndio kipimo cha kupima hatia ya mtu basi watu wengi wangeshikwa na hatia na wengine wangeponyoka hatia.

Juu ya yote kila mtu anayo body language yake kulingana na tukio na mazingira sasa msitake body language ya Lissu au Lema nk, ifanane na ya Zitto kitu ambacho hakitawezekana.

Lazima tukubali Mbowe akiachiwa ni juhudi za watu wengi akiwemo na Zitto in particular ingawa baadhi ya wana Chadema hawapendi kusikia jambo hilo.
 
Kama body language ingalikuwa ndio kipimo cha kupima hatia ya mtu basi watu wengi wangeshikwa na hatia na wengine wangeponyoka hatia.

Juu ya yote kila mtu anayo body language yake kulingana na tukio na mazingira sasa msitake body language ya Lissu au Lema nk, ifanane na ya Zitto kitu ambacho hakitawezekana.

Lazima tukubali Mbowe akiachiwa ni juhudi za watu wengi akiwemo na Zitto in particular ingawa baadhi ya wana Chadema hawapendi kusikia jambo hilo.

..kuna wanaoamini Mbowe ametenda hivyo wanamuombea msamaha.

..kuna ambao wanaamini Mbowe amebambikiwa hivyo wanadai aachiwe bila masharti.

..kuna mvutano kati ya makundi hayo mawili, na yako maoni kwamba hotuba ya Zitto imewakilisha kundi hilo la kwanza.
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
vilaza bwana.
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Acha ujinga Mwendazake alishakufa kaomboleze Chato
 
Jpm alikuwa anawakubali sana kina Lisu henche, Nasari, etc,, hasa point zao bungeni,
Walichobugi kina lisu na wengine ni kuanza kumdis,,
Hapa duniani, lazima ujue kuishi na watu hutakiwi kuwa too extreme,,
Hii too extreme ndio huhaharibia wengi mambo, kila jambo linahitaji kiasi, pia good calculations, sio kila jambo uwe too aggressive na sio kila jambo uwe kikondoo kondoo tu hapana
 
..Lissu anasoma na kufanya utafiti kuliko wanasiasa wengi hapa Tanzania.

..sasa anapokutana nao ktk mijadala anawazidi kwa HOJA na hapo ndipo tatizo linapoanzia.

..wanasiasa wengi hupenda kurudia uongo wa siku zote, wakati Lissu hufichua mambo ambayo Watanzania tumekuwa tukifichwa kwa muda mrefu.
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Nakubaliana mambo mawili kuhusu Tundu Lissu; (1) Ni mbobezi wa Sheria za raslimali za madini ambaye hana mshindani Tanzania. (2) Alipigwa risasi na kikundi cha WASIOJULIKANA kilichokuwa chini ya Makonda kwa amri ya Magufuli. Na nalaani kittendo hicho kwa nguvu zote.

LAKINI
Tundu Lissu hana busara na haiba ya kuweza kuwa Rais wa Tanzania, hata kama aliibiwa kura na Mwendazake mwaka jana.

Tundu Lissu ni dikteta sawa na Magufuli au kumshinda
 
..kuna wanaoamini Mbowe ametenda hivyo wanamuombea msamaha.

..kuna ambao wanaamini Mbowe amebambikiwa hivyo wanadai aachiwe bila masharti.

..kuna mvutano kati ya makundi hayo mawili, na yako maoni kwamba hotuba ya Zitto imewakilisha kundi hilo la kwanza.


Hotuba ya Zitto inawakilisha kundi la pili na ndio maana Zitto amesema katika hotuba yake maneno haya:- "-----tunakuomba sana sana kwa mujibu wa sheria na kufuata taratibu zote za kisheria tusaidie mwenzetu tuwe naye----".

Sasa ni wapi hapo Zitto kamuombea msamaha Mbowe??!!--- na atamuombeaje msamaha kwani tayari kakutwa na hatia??!
 
Back
Top Bottom