Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Nakuunga mkono. Nashangaa kwanini Magufuri hakuliona Hilo. Magufuri angejenga urafiki na Lissu na sio uadui.
Wana ka mfanano mfulani ka ubishi sema jiwe alizidi roho mbaya ya kisasi na kukomoana.
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee

Mwenye hiyo karama ni huyu?

IMG_20211217_122156_944.jpg
 
Ama kweli uhuru ukizidi ni shida, yani wewe kweli una ujasiri wa kukosoa mtu wakati hata kuandika tu hujui. Very pitiable.
 
Mbna unaweweseka hv????
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Kwa kigezo hicho hicho Tz ilipofikia inahitaji Lissu kuliko yule shetani aliyerudi kuzimu march 17
 
Tundu Lissu inabidi ajitathmini sana .sioni credibility yake ya kuwa makamu mwenyekiti .Afadhali aachie ngazi wakina Heche waendeshe chama.Na sijui kama analipwa mshahara.Huwezi kuongoza chama kwa temote control.
 
WELL SAID,

Sio tu hafanyi juhudi yoyote ili Mbowe aachiwe/afutiwe mashitaka bali pia anapotosha kwamba Zitto katika hotuba yake kwa Rais Samia alimuombea MSAMAHA Mbowe, mtu wa aina ya Lissu ni political radical na anayo inferiority complex kwa maana hiyo hafai kuwa kiongozi wa nchi hadi pale atakapotambua hilo na kujirekebisha, anayo nafasi ya kujikagua na kujirekebisha.

..Zitto kwa lugha aliyotumia, na body language ameomba MSAMAHA.

..Hakuweka msisitizo kwamba mashtaka dhidi ya Mbowe ni ya kisiasa.

..Ndio maana Raisi ktk majibu yake alizungumzia MSAMAHA.
 
Ucwe kubwa jinga ww,tupe tofauti kat ya nchi na wananchi????
Lissu hana busara za uongozi na ni kama mtu mwenye shida ya afya ya akili! Na huwa haambiwi ukweli anakera sana. Ndiyo maana hata Mzee Mtei aliwahi kumsema alivyothubutu kuzungumza upuuzi kuhusu Baba wa Taifa.

Katika akili ya kawaida, huwezi kutaka muafaka wa mazungumzo kwa mashariti ya nje ya meza ya mazungumzo. Wajifunze kwa Mwalimu Nyerere na TANU wakati uchaguzi wa kura tatu na Mandela hata baada ya kutoka gerezani alivyounda Tume ya Askofu Tutu. Nimejiuliza hivi kama Lissu ndiyo angekuwa Mzee Mandela au Mwalimu Nyerere si wangenyonga wazungu wote baada ya Uhuru? Lakini busara na hekima Wazee hawa walisisitiza umoja, upendo na mshikamano wa kitaifa na walikataa misimamo ya wahafidhina kutaka kulipiza kisasi.

Leo, Lissu wao ndiyo kutwa wanaichafua nchi na viongozi halafu eti waombwe radhi na kubembelezwa! Childish! CHADEMA lazima ionyeshe political maturity!
 
Tatizo ukweli cku zte unauma
Lissu hana busara za uongozi na ni kama mtu mwenye shida ya afya ya akili! Na huwa haambiwi ukweli anakera sana. Ndiyo maana hata Mzee Mtei aliwahi kumsema alivyothubutu kuzungumza upuuzi kuhusu Baba wa Taifa.

Katika akili ya kawaida, huwezi kutaka muafaka wa mazungumzo kwa mashariti ya nje ya meza ya mazungumzo. Wajifunze kwa Mwalimu Nyerere na TANU wakati uchaguzi wa kura tatu na Mandela hata baada ya kutoka gerezani alivyounda Tume ya Askofu Tutu. Nimejiuliza hivi kama Lissu ndiyo angekuwa Mzee Mandela au Mwalimu Nyerere si wangenyonga wazungu wote baada ya Uhuru? Lakini busara na hekima Wazee hawa walisisitiza umoja, upendo na mshikamano wa kitaifa na walikataa misimamo ya wahafidhina kutaka kulipiza kisasi.

Leo, Lissu wao ndiyo kutwa wanaichafua nchi na viongozi halafu eti waombwe radhi na kubembelezwa! Childish! CHADEMA lazima ionyeshe political maturity!
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Kuandika kwenyewe hujui! Akili ya mchongo, uandishi wa mchongo! Nenda kwanza shuleni ndio uje kutoa mawazo hapa.
 
Tundu lisu na magufuli wanafanana kitabia kabisa sema mmoja alikuwa Rais na huyo upinzani, Tundu lisu huwa hana break ya mdomo wala busara, anahitaji mtu juu yake wa kumpa amri, hivi hivi lazima aharibu, pia ni mubishi flani hivi
 
Back
Top Bottom