Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

..nadhani wengi wanakerwa na ile hali ya kuzidiwa maarifa na Tundu Lissu.

..vilevile hawapendi tabia ya Lissu ya kutokukubali kupigia magoti watawala.

..ndio maana serikali ikakataa kumtiba Kenya na Ubelgiji.

..na ndio sababu Igp amenukuliwa akisema Lissu ni mkorofi / ana kiburi.
Uko sawa kwa yote, lakini Tundu Lissu siyo material ya Uongozi wa juu wa Taifa. He is worse than Magufuli
 
Uko sawa kwa yote, lakini Tundu Lissu siyo material ya Uongozi wa juu wa Taifa. He is worse than Magufuli

..Lissu anafanana zaidi na Mkapa kuliko Magufuli.

..Lissu anapenda kujisomea kama alivyokuwa Mkapa.

..Lissu ni muandishi mzuri kama alivyokuwa Mkapa.

..Anapotofautiana na Mkapa ni kwenye kutetea HAKI. Kwenye masuala ya HAKI huwezi kusikia Lissu amesalimu amri.

..Ndio maana wakati wa kampeni alimgomea IGP, na RPC wa mkoa wa Pwani. Pia alikataa kupiga magoti ili Magufuli na Ndugai wakubali kugharamia matibabu yake.
 
tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana, mwanaharakati,lissu Hana japo chembe ya hekima ,anatukana Kila kitu mtu, siasa haziwezi tulikosea Sana.
Kama hoja hii ni ukweli, then naomba mnisamehe sana, maana, mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu agombee!.
P
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Mbona husemi waliomshambulia kwa risasi hawajakamatwa hadi leo ilhali walifanya uhalifu maeneo ya kiserikali?

Hayo yakitokea leo ni mwaka wa 4 hakuna hata mtu mmoja aliyepanda kizimbani.

Lissu huyo huyo mkamvua ubunge kwa njama za wazi eti spika anasema hajui Lissu alikua uhamishoni kama mgonjwa si aibu sana hii
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Mbowe ataachiwa na nani? Kwa porojo za Zitto na Hangaya wake au kwa mchakato wa kisheria kwenye Mahakama ya Mchongo kukamilika?

It is simple...ukiwa na akili ndogo huwezi kumwelewa Lissu wala Chadema
 
Kama hoja hii ni ukweli, then naomba mnisamehe sana, maana, mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu agombee!.
P
Mkuu usiingie kwenye mtego wa wasio na maarifa..

Simple logic, Freeman ataachiwa kwa porojo za Zitto na Bibi yake Hangaya au kwa mchakato wa kitiganga kukamilika Mahakamani?

Wacha tufike mwisho, Hangaya na Mapolisi wake wajinga wamelikoroga wacha walinywe, wasitake kuingilia Mahakama hata kama ni ya Mchongo
 
Lisu hana maana kabisa sifa kubwa ni Hasira ya bila kujizuia maamuzi yake hua yana yanakiumiza hata chama chake Kama vile suala la kina mdee yeye ndiyo alishikilia maamuzi kwamba wafukuzwe uanachama huyu jamaa ni magufuli mwingine aliyejivika ngozi ya kondoo.
 
Mfano hii issue ya mbowe inahitaji busara na compromising bana, Sasa mwenzao yuko jela huku Wana mu pamp chief hangaya na kauli za ukali unategemea nini?
Au wamesahau mamlaka za Rais wa nchi hii kuwa ni ka mfalme, Tundu lisu amefutiwa micase ya kiovu vipi ingekuwa jiwe?
Labda wanataka kumfanya Mbowe Mandela au Zuma mwingine.
 
..Lissu anafanana zaidi na Mkapa kuliko Magufuli.

..Lissu anapenda kujisomea kama alivyokuwa Mkapa.

..Lissu ni muandishi mzuri kama alivyokuwa Mkapa.

..Anapotofautiana na Mkapa ni kwenye kutetea HAKI. Kwenye masuala ya HAKI huwezi kusikia Lissu amesalimu amri.

..Ndio maana wakati wa kampeni alimgomea IGP, na RPC wa mkoa wa Pwani. Pia alikataa kupiga magoti ili Magufuli na Ndugai wakubali kugharamia matibabu yake.
Issue ni hekima, hana kabisa
 
Kua na busara ya uongozi haimanishi uwe mpole na subira ya kukubali kila kitu.. tuache masihara Lissu ni kiongozi wa tofauti sana . Shida ya walio wengi wanapenda mtu soft eti ndo kiongozi bora. What a nosense.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Hii ukiwa mjuaji wa kuongea sana na kuhaadaa watu ingia kwenye siasa utapata wafusi wengi...
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Sure bob,hakuna mtu humoo
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Kwa TANZANIA Sio LAZIMA uwe na HEKIMA tuna Viongozi Wakubwa sana HAWANA HEKIMA
 
Tatizo la Lissu anaongea UKWELI mchungu ambao hampendi kuusikia ! SPANA.
Angepata hata nusu tu ya busara ya kawaida kama ya Mbowe ningekuelewa..
Ogopa sana binadamu anayeamini kuwa yeye ndio yuko sahihi muda wote kwenye uongozi..
Uongozi sio kupiga SPANA, ni reasoning.
 
Lissu kakurupuka kumjibu Zitto,kumbe wenzake walienda na file kumuangukia Mangula!
Yaan Katibu hajamtaarifu kaimu mwenyekiti wake kwamba anakwenda kwa makamu mwenyekiti wa ccm kuomba msamaha,ili mbowe aachiwe
Mhhh yapo mambo mengine yanafanyika behind the scenes,lengo ni mmoja to free Freeman kama jina lake.
Freeman akisha kuwa nje ya lupango,itakuwa furaha kwa wote yaani Kwake mwenyewe na family yake,Lissu, Zitto, SSH,na wananchi kwa ujumla.
 
Lissu, hamna kitu labda anapata huruma baada ya kupigwa zile risasi lakini hafai kuwa rais, labda rais wa Chadema.
 
Wadau mjumbe hauwawi,,tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana na hii kitu imekighalimu Sana chama chake,,tulidhani Kila mhubiri anafaa kuwa mchungaji,,la hasha wengine wanatakiwa tu kuwa wainjilisti na sio wachungaji,,au tulidhani kuwa mchungaji wa mifugo anaetembea na fimbo Kila mahali ndie Bora ,na kumbe si hivyo fimbo Ina mahali pake,lissu Hana karama ya uongozi labda awe mwanaharakati,lissu hawezi kutafuna kitu ndipo ameze yeye anameza bila kutafuna,Hana japo chembe ya hekima ya kujua kuishi na mtu mwema na mbaya pia,msikilize hotuba zake zote za kampeni ,anatukana Kila kitu hata wanaomlinda yeye mwenyewe ,awamu nyingine tusimpe mtu nafasi ya kutuongoza kwa kigezo Cha uongeaji wake abaki kuwa mwanasheria lakini siasa haziwezi tulikosea Sana ,pili yeye nimakamu mwenyekiti nilitegemea kipindi hiki ambacho mwenyekiti yupo gerezani yeye akitumie kutafuta suluhu ya kidipromasia lakini naona yupo mitandaoni anamenyana na akina zitto,zitto ametimiza wajibu wake na yeye atimize wajibu wake,tuone na yeye hekima yake kwa Jambo hili,kinyume chake yeye ndiye atachelewesha mbowe kuachiwa kwa kiburi Cha uanasheria mjumbe hauwawi Niko tayari kwa maoni yoyote maana nawajua kazi iendelee
Usipokuwa na akili huwezi kumuelewa Lissu,Lissu ni akili kubwa sana.

Ebu tutajie hilo tusi moja tu alilotukana tangu aingie kwenye siasa na kuanza kuongea km kiongozi au mgombea.

Ukishindwa kutaja hilo tusi ujue wazi kuwa wewe sio tu ni mjinga bali ni mental retarded kabisa,hakuna unalojua zaidi ya kula na kwenda chooni.
 
Kichwa habari tu kimefanya nisiendelee kuisoma komenti yako.tulikosea kumwamini Lisu, wewe na nani,lini tulimwamini na wapi.
 
Back
Top Bottom