osward mambo
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 148
- 55
Wanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Beberu walikufanya nini wewe mbuzi jike...!?Wanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Hao mbuzi jike wa lumumba wasikuumize kichwaMabeberu nikina nani au niwale wanaowafundisha jeshi letu na kuwapa misaada ya magari na vifaru???
Kaka inawezekana kiswahili kinakusumbua kama Mwenyekiti wako wa chama au umejitoa akili. Ulisikia wapi Lisu akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindiWanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Wanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Beberu mwenyewe ndiyo huyu munae mwogopa...?Wanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Mkuu muulize beberu wanaemuogopa ndiyo huyu hapa chini...?Tulishasema kama huwajui mabeberu wewe ni mbuzi jike. Tueleze mabeberu kwa majina
Ondoa uchafu wako lissu hakusema atakataa matokeo alichodai akishindwa kwa haki atakubali Ila akifanyiwa uhuni hawez kukubali acha kupotoshaWanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Huyo Lissu ulimsikiliza peke yako? Au umekariri vineno viwili vitatu vya Polepole na wewe unajiona bonge ya Great thinker?Wewe ndiyo Pepo ambalo halijui linataka nini? linataka damu, pesa au amani? pole sana.
Gadafi kaondoka na amani yake kwa wanalibya.kwa sasa Libya hapakaliki.OTTER,
Hata wapambe wa Gaddafi nao walikuwa wakijimwambafai hivi hivi.
Gaddafi hakuondoka kwa ballot box kwa sababu chaguzi zilijaa mizengwe kama za kwetu sasa hivi, lakini ulipofika wakati wa kuondoka akaondolewa - tena kwa aibu!
There're several ways of skinning a cat mind you!
Pepo kahaba tokaPepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
Pepo wa utapeli wa kisiasa toka
Pepo wa kutangatanga toka
Wewe na lisu nani mwenye akili timamu, lisu anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania wewe je? acha ujinga!LISSU HANA SERA ISIPOKUWA MIAKAKATI YA KUTAKA KUVURUGA AKILI ZA WATU, HAWEZI KUWA RAIS WA WATU MILIONI 50. HATA KWA KIDUKU KULE KUNA UDIKTETA WAWAZI SIO HUU UCHWARA, ZINGUA UFE KAMA SISIMIZI, KULE HAUFI KAMA TEMBO. LAKINI WANAISHI WANAFANYA KAZI KWA AMANI. CHUNGENI KUZUBAISHWA NA MTU ALIYEAMUA KUWA MKIMBIZI WAKATI NCHI YAKE HAINA VITA
Wanajeshi wabongo wamewachoka CCM..mtapigana nao nyie na nguo zenu za VeggiesWanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.
Lumumba buku jeroWanajamvi Salaam,
Bw. Lissu katika muda wake wakufanya kampeni ya kutafuta wadhamini alisikika mara kwa mara akisema hatokubaliana na matokeo ya uchaguzi yakitangazwa iwapo kama hatotangazwa mshindi, akaenda mbele zaidi akawahamasisha wananchi waingie barabarani kupinga matokeo hayo yatakayotangazwa kinyume na matarajio yao yeye na mabeberu. Sasa hii inaonyesha ni mkakati maalum ambao tayari umeshapangwa kwa ajili ya kuivuruga amani iliyopo Tanzania.
Wananchi wa Belarus, wanaandamana kwa kupinga ushindi wa Rais wao Bw. Alexander Lukashenko, aliyechaguliwa na wananchi na kushinda kwa asilimia 80 ya kura zote. Sasa maandamano hayo yanaungwa mkono na nchi zao majirani ikiwa ni mkakati wa kibeberu kwa ajili kuifanya nchi yao isitawalike.
Angalizo kwa Lissu: Sisi Watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kuwafanya wananchi waandamane eti kisa hautatangazwa kama mshindi. Waeleze mabeberu maandamano wanaofanya katika nchi ya Belarus wasitarajie yatafanyika katika nchi yetu, kama walikuhaidi kukusaidia katika maandamano hayo ya kuhatarisha amani, waeleze huku Tanzania wameingia mlango ambao hawataweza kutokea.
Salaam hizi ziwafikie nyumbu wote wa ufipa. Amani haina chama.