Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

Alichosema Lissu ndio kweli.
Diamond ndio walewale walioishi ktk unafiki na uzandiki mtupu, kamwe mie siwezi kumuunga mkono mnafiki.
Lazima mkubali uhuru na haki ya kila mtu kuchagua anachopenda na kuamini anachoamini.

Lissu aliamini tukipigania madini yetu tutapelekwa mahakamani za kimataifa JPM aliamini tunaweza kupambana na wazungu na tukagawqna kinachopatikana. Kila mtu aachwe aamini anachoona sawa.

Mnachofanya Chadema ni kama waliompiga risasi Lissu kwa sababu ya kutofautiana mitazamo.
 
Yani Lisu anataka kutwambia kwamba kwa vile kina Roma wapo chadema basi wana ccm wasiwaunge mkono kwenye mziki wanaoufanya.
 
Lissu vs chadema haiwezi humiza kichwa na media ikiwemo Wasafi ,bland ya CHADEMA inajitosheleza ,media uchaguzi 2020 zilikua mfukoni mwa mwendazake ila bado ccm chin ya mwendazake ukweli wa mziki wanaujua,na mungu anajua


Sasa Wasafi KWA Chadema kitu gani , au kipi chadema itegemee toka kwenu, walitimuliwa TBC kwenye MKUTANO wa kampeni na bado Mambo yakaenda sembuse Wasafi, Chadema ikiamua inaweza anzisha izo Wasafi hata mia hacheni jitutumua wakati hamna effect yoyote kwa lissu na Chadema
 
Sidhani kama umewahi kuzitafuta agenda za Chadema ukazikosa, google utazipata.

Kwahiyo Lissu asitoe maoni yake kwasababu Diamond kahusika! wacha ushamba.
 
Alichosema Lissu ndio kweli.
Diamond ndio walewale walioishi ktk unafiki na uzandiki mtupu, kamwe mie siwezi kumuunga mkono mnafiki.
Kwahiyo songi za akina Roma ziskilizwe na chadema ila wana ccm na ADc sio? Munaingiza ushamba kwenye mambo ya siasa halafu ssiem inawaitia mnasema wameiba, cdm hamjitambui

Baada ya sukuma gang
Mko na Diamond award
Who is next?
Ni Madikteta

Lema Godbless my rolemode washauri hawa jamaa zako hata kisirisiri.

Wanaweza tumia neno hayo ni maoni ya watu binafsi sio chama. Au twiter Republic tu.
 
Mungu mwenyewe mwanzilishi wa mfumo wa demokrasia ametupa uhuru wa kumfata au lah,kwanini mnalazimisha kila mtu amchague Diamond, huo ndiyo udikteta uchwara, amesema mapenzi hayalazimishwi hivyo ni haki yake na demokrasia kumpigia ampendaye siyo lazima diamond na ameweka vigezo vyake anampa mtu mpenda kupigania haki, msilazimishe watu ninyi lumumba
 
Kwahiyo Lissu asitoe maoni yake kwasababu Diamond kahusika! wacha ushamba.
Mkuu maoni ya Lisu ndio maoni ya chadema.

Unapotaka kuleta u diamond kwenye chama huo ni ushamba pia.
 
Nakuhurumia kwa sababu haulijui jeshi halisi la Wasafi ni kina nani. Labda kama Lissu Hana mpango wa kugombea tena urais. Kama ungelijua jeshi nalolizungumzia ungeskitikia chama chenu.
 
Mkuu maoni ya Lisu ndio maoni ya chadema.

Unapotaka kuleta u diamond kwenye chama huo ni ushamba pia.
Sioni tatizo kwenye hiyo comment ya Lissu, tena katumia lugha nzuri sana, na kusema maoni ya Lissu ndio maoni ya Chadema sijui walikaa kikao wapi wakaamua hivyo, wacha ushamba.

Above all, Lissu ana haki yake kikatiba kutoa maoni yake kwenye jambo lolote, msitupigie makelele hapa.
 
Udikteta ni kusema mchagueni yule maana huyu hayuko kwenye chama chetu.

Huo ni upumbavu kwa sababu diamond ana mashabiki wake ambao ni wanachadema pia!

Ndio maana ccm huwa inawagonga kila uchaguzi sababu ya mambo ya hovyo kma haya.
 
Sisi washabiki wa Ney ambao tuko sisiem tunaomba.
MUONGOZO tafadhali
 
Kwani anayo elimu ya kutofautisha mapenzi na ngono? Huyo mtu elimu aliyonayo ni ya mitaani. Alijifunzia Tandale kwenye ngono, unategemea nini? Angalia kundi lote hilo la wasanii ni watu wa aina gani ndo utajua umuhimu wa elimu badala ya kipaji.

Hapo sasa, hata wanasiasa tunahitaji wenye elimu na kipaji. Siyo mtu kukosa aibu anahangaisha nchi nzima eti ni mwanasiasa, bila hata elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…