4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wachukueni ccm sie hatuwataki ,mbona unalazimisha Mambo ,aendelee nao na wamfuate huko ccm Kama 2020 walivyo mfuata uliona wapi chadema ikimpigia MAGOTI,Utakuta hata Lisu nae ana mawazo mfu kama haya akilini mwake!
Wasafi siyo ile tv na redio tu!
Wasafi ni kundi la mashabiki ambao wameea nchi nzima, hao wana impact maana ni wapiga kura na wengine wako huko chadema.
Sasa kwa akili kama hizi ccm inashindwaje kuwagonga kwenye box la kura?
Sasa usiwe unatoka ubelgiji mbio mbio na kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa wasiojitambua na wenye njaa.Ushindi wapi bana hamjawahi kujitambua njaa tupu, kifupi hawana issue wawape tu mpaka watakapo jotambua siku moja.
Yaani TZ bhana mtu akiwa chama fulani basi anataka kila mtu awe mfuasi wa hicho chama, sasa ni nini maana ya Demokrasia.Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.
Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.
Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?
Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.
Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.
Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh ππ mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.
Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.
Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
Kwa hiyo Lisu nae akitaka kuja kuomba kura hahitaji kura za wana ccm, act, cuf ila ni za chadema tu?Kayataka mond, nchi Ina watu wa itikadi tofaufi za vyama, yeye Kama msanii mkubwa alitakiwa ajiongeze kwakutokuwa na upande hasa wakati was chaguzi
Hakatazwi kuwa mwanachama wa chama chochote au kupigia kura chama Fulani
Bali ktk kampeni angekaa pembeni asubiri kupiga kura.
Ujue ktk mafanikio Kuna level nyingi, ukifika level Fulani km ya mond lazima macho yote ya wananchi yakutazama Tena waitikadi tofauti.
ni kweli kaka unalolisema - wewe ni kama mimi - wanafiki nafiki na mimi ni mbali mbali kabisa.Alichosema Lissu ndio kweli.
Diamond ndio walewale walioishi ktk unafiki na uzandiki mtupu, kamwe mie siwezi kumuunga mkono mnafiki.
Mkuu hivi unafahamu maana ya Demokrasia kweli, sasa wote tukiwa chama kimoja (upinzani) kuna haja gani ya kuwa na mfumo wa vyama vingi.??Wacheni kelele, hawa wasanii wa hili taifa wanatakiwa kufunzwa iwe kwa mijeledi au vyovyote waache kujipendekeza kwa CCM halafu ukifika wakati wanahitaji kupigiwa kura ili washinde tuzo fulani, wanawaomba watanzania wawachague.
Wanatakiwa wakawaombe CCM wenzao wawapigie hizo kura, wasanii wa Tanzania ni mfano wa wasanii wachovu kiakili ambao hawawazi chochote kingine kinachoisibu jamii iliyowazunguka, zaidi ya kuangalia maslahi yao kwa kujipendekeza kwa mabwana zao.
Watu wa siasa mnakuwaga vipofu sn[emoji16]..sasa wewe unamkosoa mleta mada wakati nawe umerudia hichohicho..Mungu mwenyewe mwanzilishi wa mfumo wa demokrasia ametupa uhuru wa kumfata au lah,kwanini mnalazimisha kila mtu amchague Diamond, huo ndiyo udikteta uchwara, amesema mapenzi hayalazimishwi hivyo ni haki yake na demokrasia kumpigia ampendaye siyo lazima diamond na ameweka vigezo vyake anampa mtu mpenda kupigania haki, msilazimishe watu ninyi lumumba
Hata wakati anapiga kampeni tulitoa ushauri hakusikia ila watu kama nyie ndio akawasikiliza matokea yake akambulia 18%Wachukueni ccm sie hatuwataki ,mbona unalazimisha Mambo ,aendelee nao na wamfuate huko ccm Kama 2020 walivyo mfuata uliona wapi chadema ikimpigia MAGOTI,
Mungu hapendi uongo na dhuluma,that,s mmeyaona mliyoyaona bado mpaka kila mshiriki wa dhuluma atubu,Lisu tulimuonya toka anatoka ubelgiji na mimi binafsi nilisema hatapata zaidi ya 20% ya kura zote.
Huwezi ukabeba mtu toka ubelgiji eti awe ndio anakupigania uwe rais kisha watz wakuelewe!
Sasa hapa amejiingiza kwenye ligi za akina diamond bila kujua diamond ana mashabiki wake wapo huko chadema pia.
Umbumbumbu wa siasa huu
Mimi nina cheo gani kule kijani?Na kwahiyo maoni yako ni maoni ya kijani,sio
Hivi Samia akienda sehemu akatoa maoni ya jambo flani hayawi maoni ya tz?Sioni tatizo kwenye hiyo comment ya Lissu, tena katumia lugha nzuri sana, na kusema maoni ya Lissu ndio maoni ya Chadema sijui walikaa kikao wapi wakaamua hivyo, wacha ushamba.
Above all, Lissu ana haki yake kikatiba kutoa maoni yake kwenye jambo lolote, msitupigie makelele hapa.
Kama akigombea tena inabidi aulizwe hili.Kwa hiyo Lisu nae akitaka kuja kuomba kura hahitaji kura za wana ccm, act, cuf ila ni za chadema tu?
Akili mgando hizi
Naelewa vizuri huko twitter bwana Reel Haule analazimisha watu wote wampigie kura Diamond kigezo eti ni mtanzania mwenzetu, Lissu na vijana wa chadema wanasema hawampi wala kumuunga mkono kwa vigezo siyo mpigania haki za watanzania na kushiriki kupigia kampeni watesi wao, ni sahihi kwani lazima wampigie demokrasia ni kuchagua mtu mwenye vigezo unavyotaka siyo kushinikizwa na mtu kwa sababu eti uzalendoWatu wa siasa mnakuwaga vipofu sn[emoji16]..sasa wewe unamkosoa mleta mada wakati nawe umerudia hichohicho..
Km ni demokrasia sasa ni Kwa nn na nyie wanachadema mnawalazimisha watu Kwa kuwaambia wasimpigie Kura diamond?hapo Uhuru wa kuchangia upo wapi,si ni udikteta huohuo mlioupingaga enzi hizo
Mkuu,km hujui kinachoendelea Ila umekomenti Tu baada ya kuona huu Uzi ni kwamba diamond yeye amekuwa nominated na BET,Ila huko Twitter wafuasi wa chadema ndy wanaotumia nguvu kubwa kushawishi watanzania wasimpigie Kura diamond..sasa niambie huo Uhuru unaouongelea hapa ni upi?
Hata mimi ni raia wa kawaida tu, lakini sijawahi kumuunga mkono Diamond Platinum...Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.
Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.
Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?
Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.
Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.
Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh ππ mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.
Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.
Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
π·πππ ππΎπΌπ° ππ π½π΄π π ππππ ππ πππ π πππππππππ ππππ π±π΄π?kama huna akili huwezi kuelewa lakini kama una akili utaelewa.
Mkuu haya yanayoendelea ki ukweli yana sikitisha sana.....lakini mtu unaogopa kuchangia maoni yako ambayo unajua yatakwenda kinyume na utashi wao kwa kuwa utaambulia matusi ya nguoni......Chama hakina ajenda zaidi ya kudandia trending issues hata zisizo na mashiko. Chadema hawapendi kukosolewa JPM nafuu! Hivi makamu mwenyekiti anaingia kwenye malumbano ya akina Diamond kweli?
Hawa kwao kikwazo si alikuwa mwendazake? Sasa watakuwa exposed jinsi wasivyo na ajenda.
Wanachohubiri demokrasia ni tofauti na matendo yao. Kuchagua chama ni haki ya mtu, anataka watu wote wawe chadema? Huyu jamaa ashakuwa compromised na hawezi tokea akawa raisi wa tz.Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.
Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.
Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?
Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.
Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.
Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh ππ mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.
Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.
Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana vita yake hauiwezi. Diamond anafanya sanaa na anawapa watu burudani.
Team Wasafi ni jeshi kubwa na likishambulia linashambulia kama waveitnamu.
Yeye kuchagua chama cha CCM chama cha watoto wa mjini, kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?
Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.
Beyonce alimpigia Hillary Clinton kampeni za kufa mtu ila Trump akachukua nchi, Trump akumgeuza Beyonce adui wala Republican hawakuanzisha vita na Beyonce kwanza full unyamwezi yani Beyonce support bila kujali vyama.
Lissu na viongozi wa huko dizaini yako mnafanya vijana wa kisasa wasivutiwe na Chadema. Yani kwa kifupi mnatuonyesha nyie sio watu poa, kwenu huko ni vurugu, visasi, ukamanda, usela nnya ndio umejaa mpo so harsh ππ mnayafanya maisha kama kitu kigumu sana.
Huyo Ney wenu mnaemsifia mkumbuke jina halisi ni Elibariki wa kulekule sasa kwanini asiwe Chadema.
Hili ni onyo Lissu fanya siasa zako na kina Polepole achana na Wasafi kama unahitaji kuungwa mkono na watoto wa mjini.