kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Lissu ni mtetezi na kiongozi jasiri anayeipambania nchi yake kufa na kupima,.
Zitto anachomzidi lisu ni mambo yajadi, ubinafsi na uzandiki!!
Taja jambo lakutetea wananchi aliyofanya zito?
Tumapicha hata akisaidia ombaomba..
Zito ni mdee wa kiume fulustopu
Zitto anachomzidi lisu ni mambo yajadi, ubinafsi na uzandiki!!
Taja jambo lakutetea wananchi aliyofanya zito?
Tumapicha hata akisaidia ombaomba..
Zito ni mdee wa kiume fulustopu