Tundu Lissu vs Zitto Kabwe - nani ana uwezo wa kiuongozi?

Tundu Lissu vs Zitto Kabwe - nani ana uwezo wa kiuongozi?

Sasa wenzio wanagawa bandari buree kwa wanaume mpaka kiama. Wamewafukuza wamasai kwao kwaajili ya hela. Nani bora anaetukana au anetupoteza.
Bandari haikugawiwa bali imewekezwa under win win situation
 
Salaàm!

Najiuliza mengi na nabaki ktk mabano au cross junction. Urais si nafasi ya kumpa kila mgombea kutokana na sababu kuwa huhitaji MTU makini katika mienendo na maamuzi.

Sasa hata kama opposition wameshinda kwa bahati mbaya ikiwa hao wawili wamegombea kupitia VYAMA tofauti - yupi awezaye kukabidhiwa mhuri wa Moto? Tundu Lissu au Zitto Kabwe?

  • Yupi si muumini wa jino kwa jino?
  • Yupi si mfuasi wa lugha za matusi na awezaye kuunganisha watanzania?
  • Yupi awezaye kukaa meza moja na Marais wenzake wastaafu na kuwalinda?
  • Yupi awezaye kuungwa mkono na jumuiya za kitaifa na kimataifa?

Uchaguzi si furahisha watu, mengi huangaliwa ili kuweka mtengamano miongoni mwa watu.

Ngaika Ndenda
Kigoma

Mkuu unamlinganisha Lissu na Kabwe kwenye haiba ya uongozi? Very interesting .

Well! Lissu ni mwanaharakati na sio kiongozi.

Lissu is not a presidential material.

Ana akili ya darasani zaidi kuliko hekima na busara.

Lissu anaweza kufit kwenye cheo cha waziri mkuu, waziri wa katiba na sheria au Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, lakini kwa ngazi ya Urais? A very loud No!

Zitto is a good fit for a president kwa sababu.

1. Ana hekima n.a. busara za kiuongozi.

2. He is diplomatic

3. He is a presidential material.

4. He is living ahead of his time. Maamuzi anayo fanya Zitto now mtu wa akili ya kawaida anaweza kuelewa mantiki yake after 4 to 5 years or even ten years.


So I will vote for Zitto over Lissu any day any time, anywhere any how.
 
Zitto ni mwanasisa Lissu ni mwanaharakati Zitto anafata upepo wa siasa Lissu anafata Mihemko ya siasa Zitto analow IQ Lissu anahigh IQ Zitto anafikiria kabla ya kuongea Lissu anatabia ya kuropoka wote wawili ni opportunistic, wote wawili ni vinyonga, wote wawili ni vibaraka,wote wanatabia ya kujipendekeza kwa maslahi yao binafsi.
 
Mkuu unamlinganisha Lissu na Kabwe kwenye haiba ya uongozi? Very interesting .

Well! Lissu ni mwanaharakati na sio kiongozi.

Lissu is not a presidential material.

Ana akili ya darasani zaidi kuliko hekima na busara.

Lissu anaweza kufit kwenye cheo cha waziri mkuu, waziri wa katiba na sheria au Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, lakini kwa ngazi ya Urais? A very loud No!

Zitto is a good fit for a president kwa sababu.

1. Ana hekima n.a. busara za kiuongozi.

2. He is diplomatic

3. He is a presidential material.

4. He is living ahead of his time. Maamuzi anayo fanya Zitto now mtu wa akili ya kawaida anaweza kuelewa mantiki yake after 4 to 5 years or even ten years.


So I will vote for Zitto over Lissu any day any time, anywhere any how.
Good analysis, watanzania wamekusikia - Lissu aione hii. Uwazi wenu ni mzuri
 
Acha kumlimganisha Lissu na makaratasi ya maandazi!
Lissu ni mavi tu hana busara hata kidogo huwezi kumpa uongozi mtu anaeendeshwa na mawazo kutoka nje na mtu mwenye uraia wa nchi Nyengine kwanza familia yake yote yaani mke na watoto wako nje wanaishi kwa posho ya mabeberu hatuwezi kabisa kumuamini huwezi kabisa kumfananisha zitto na huyo kibaraka wa mabeberu.
 
Kujua matatizo pekee sio kuwa ndo una suluhu ya hayo matatizo aseme atatau vipi. Mkapa alisema hatuwezi kuondoa matatizo yetu kwakuyaorodhesha bali kwa kutoa majawabu ya hayo matatizo. Lissu i mwanaharakati hakupi suluhu bali anapiga kelele tu ya hapa kuna tatizo hapa kumeharibika tunahitaji mtu ambae ana jawabu ya matatizo. Kusema ni kitu rahisi sana ila kuten ando kazi inapoanzia.
Lissu hana haiba ya kuwa Rais alizima awe na mtu juu yake anaeweza kumfunga spana vinginevyo itakuwa balaa tupu.

..Katiba ndio inadhibiti viongozi.

..Tuandike Katiba inayolinda haki na rasilimali zetu.

..Kutegemea Lissu adhibitiwe na kiongozi aliye juu yake ni kucheza kamari mbovu. Vipi ikiwa huyo aliye juu yake ana tabia za kuogofya zaidi ya Lissu?
 
Salaàm!

Najiuliza mengi na nabaki ktk mabano au cross junction. Urais si nafasi ya kumpa kila mgombea kutokana na sababu kuwa huhitaji MTU makini katika mienendo na maamuzi.

Sasa hata kama opposition wameshinda kwa bahati mbaya ikiwa hao wawili wamegombea kupitia VYAMA tofauti - yupi awezaye kukabidhiwa mhuri wa Moto? Tundu Lissu au Zitto Kabwe?

  • Yupi si muumini wa jino kwa jino?
  • Yupi si mfuasi wa lugha za matusi na awezaye kuunganisha watanzania?
  • Yupi awezaye kukaa meza moja na Marais wenzake wastaafu na kuwalinda?
  • Yupi awezaye kuungwa mkono na jumuiya za kitaifa na kimataifa?

Uchaguzi si furahisha watu, mengi huangaliwa ili kuweka mtengamano miongoni mwa watu.

Ngaika Ndenda
Kigoma

Wote ni matakataka tu, hakuna mwenye ueezo hapo!
 
Salaàm!

Najiuliza mengi na nabaki ktk mabano au cross junction. Urais si nafasi ya kumpa kila mgombea kutokana na sababu kuwa huhitaji MTU makini katika mienendo na maamuzi.

Sasa hata kama opposition wameshinda kwa bahati mbaya ikiwa hao wawili wamegombea kupitia VYAMA tofauti - yupi awezaye kukabidhiwa mhuri wa Moto? Tundu Lissu au Zitto Kabwe?

  • Yupi si muumini wa jino kwa jino?
  • Yupi si mfuasi wa lugha za matusi na awezaye kuunganisha watanzania?
  • Yupi awezaye kukaa meza moja na Marais wenzake wastaafu na kuwalinda?
  • Yupi awezaye kuungwa mkono na jumuiya za kitaifa na kimataifa?

Uchaguzi si furahisha watu, mengi huangaliwa ili kuweka mtengamano miongoni mwa watu.

Ngaika Ndenda
Kigoma


Nani kati ya Ngomba na Simba atakuu mkikutana naye usiku? Hilo ndo swali lako.
 
Wote wanaweza kuongoza.Kwasababu kuongoza ni kusimamia na kuhakikisha taratibu na sheria zilizoko zinafuatwa.Kuongiza sio jambo kubwa kama utafwata misingi ya kile unachotakiwa ukisimamie.
 
ni aibu na fedheha kubwa sana kumlinganisha Zittio na Kamanda Lissu.
Lissu anaaminika, Zitto haaminiki hata chembe!

Lissu haongeki, zitto ni mwepesi mno mno kwa mlungula!
 
Back
Top Bottom