Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
- Thread starter
-
- #61
Bandari haikugawiwa bali imewekezwa under win win situationSasa wenzio wanagawa bandari buree kwa wanaume mpaka kiama. Wamewafukuza wamasai kwao kwaajili ya hela. Nani bora anaetukana au anetupoteza.
Kwa mkataba upi huo wenye win win situation chief.Bandari haikugawiwa bali imewekezwa under win win situation
Huo huo uliopoKwa mkataba upi huo wenye win win situation chief.
Huo huo uliopoKwa mkataba upi huo wenye win win situation chief.
Salaàm!
Najiuliza mengi na nabaki ktk mabano au cross junction. Urais si nafasi ya kumpa kila mgombea kutokana na sababu kuwa huhitaji MTU makini katika mienendo na maamuzi.
Sasa hata kama opposition wameshinda kwa bahati mbaya ikiwa hao wawili wamegombea kupitia VYAMA tofauti - yupi awezaye kukabidhiwa mhuri wa Moto? Tundu Lissu au Zitto Kabwe?
- Yupi si muumini wa jino kwa jino?
- Yupi si mfuasi wa lugha za matusi na awezaye kuunganisha watanzania?
- Yupi awezaye kukaa meza moja na Marais wenzake wastaafu na kuwalinda?
- Yupi awezaye kuungwa mkono na jumuiya za kitaifa na kimataifa?
Uchaguzi si furahisha watu, mengi huangaliwa ili kuweka mtengamano miongoni mwa watu.
Ngaika Ndenda
Kigoma
Lisu sio mwana siasa ni mwanaharakati uraisi huwezi, anaweza ingiza nchi vitani kwa mambo madogo tu. Zitto ndio mwanasiasa makini wa upinzani Tanzania.Acha kumlimganisha Lissu na makaratasi ya maandazi!
Good analysis, watanzania wamekusikia - Lissu aione hii. Uwazi wenu ni mzuriMkuu unamlinganisha Lissu na Kabwe kwenye haiba ya uongozi? Very interesting .
Well! Lissu ni mwanaharakati na sio kiongozi.
Lissu is not a presidential material.
Ana akili ya darasani zaidi kuliko hekima na busara.
Lissu anaweza kufit kwenye cheo cha waziri mkuu, waziri wa katiba na sheria au Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, lakini kwa ngazi ya Urais? A very loud No!
Zitto is a good fit for a president kwa sababu.
1. Ana hekima n.a. busara za kiuongozi.
2. He is diplomatic
3. He is a presidential material.
4. He is living ahead of his time. Maamuzi anayo fanya Zitto now mtu wa akili ya kawaida anaweza kuelewa mantiki yake after 4 to 5 years or even ten years.
So I will vote for Zitto over Lissu any day any time, anywhere any how.
We si mzima kichwanHuo huo uliopo
Lissu ni mavi tu hana busara hata kidogo huwezi kumpa uongozi mtu anaeendeshwa na mawazo kutoka nje na mtu mwenye uraia wa nchi Nyengine kwanza familia yake yote yaani mke na watoto wako nje wanaishi kwa posho ya mabeberu hatuwezi kabisa kumuamini huwezi kabisa kumfananisha zitto na huyo kibaraka wa mabeberu.Acha kumlimganisha Lissu na makaratasi ya maandazi!
Kujua matatizo pekee sio kuwa ndo una suluhu ya hayo matatizo aseme atatau vipi. Mkapa alisema hatuwezi kuondoa matatizo yetu kwakuyaorodhesha bali kwa kutoa majawabu ya hayo matatizo. Lissu i mwanaharakati hakupi suluhu bali anapiga kelele tu ya hapa kuna tatizo hapa kumeharibika tunahitaji mtu ambae ana jawabu ya matatizo. Kusema ni kitu rahisi sana ila kuten ando kazi inapoanzia.
Lissu hana haiba ya kuwa Rais alizima awe na mtu juu yake anaeweza kumfunga spana vinginevyo itakuwa balaa tupu.
Salaàm!
Najiuliza mengi na nabaki ktk mabano au cross junction. Urais si nafasi ya kumpa kila mgombea kutokana na sababu kuwa huhitaji MTU makini katika mienendo na maamuzi.
Sasa hata kama opposition wameshinda kwa bahati mbaya ikiwa hao wawili wamegombea kupitia VYAMA tofauti - yupi awezaye kukabidhiwa mhuri wa Moto? Tundu Lissu au Zitto Kabwe?
- Yupi si muumini wa jino kwa jino?
- Yupi si mfuasi wa lugha za matusi na awezaye kuunganisha watanzania?
- Yupi awezaye kukaa meza moja na Marais wenzake wastaafu na kuwalinda?
- Yupi awezaye kuungwa mkono na jumuiya za kitaifa na kimataifa?
Uchaguzi si furahisha watu, mengi huangaliwa ili kuweka mtengamano miongoni mwa watu.
Ngaika Ndenda
Kigoma
Yakipumbavu sana,jf imevamiwa na matahiraMaswali mengine!!! [emoji2302]
Salaàm!
Najiuliza mengi na nabaki ktk mabano au cross junction. Urais si nafasi ya kumpa kila mgombea kutokana na sababu kuwa huhitaji MTU makini katika mienendo na maamuzi.
Sasa hata kama opposition wameshinda kwa bahati mbaya ikiwa hao wawili wamegombea kupitia VYAMA tofauti - yupi awezaye kukabidhiwa mhuri wa Moto? Tundu Lissu au Zitto Kabwe?
- Yupi si muumini wa jino kwa jino?
- Yupi si mfuasi wa lugha za matusi na awezaye kuunganisha watanzania?
- Yupi awezaye kukaa meza moja na Marais wenzake wastaafu na kuwalinda?
- Yupi awezaye kuungwa mkono na jumuiya za kitaifa na kimataifa?
Uchaguzi si furahisha watu, mengi huangaliwa ili kuweka mtengamano miongoni mwa watu.
Ngaika Ndenda
Kigoma