The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Huyo alishakufaga na kisha akafufuka....Sijui nae watanteka?
Tulaani lakini kila mtu apige pressure mpaka Rais na watu wake watende yawapasayo kutenda...Hili jambo ni la kulaaniwa vikali
Kafungwa chip mwilini hawaweziSijui nae watamteka?
HakikaHuyo alishakufaga na kisha akafufuka....
Huwezi kumteka na kuua ambacho kilishakufa na kufufuka tena....
Mwamba hajawahi kuogopaHakika
Kwa maswahibu aliyopitia Lissu angekuwa mwingine kashajitoa kwenye siasa siku nyingi sana.
Ila kidume kipo na kinatema cheche
Hiyo gari ya Lissu mbona kama ina matobo ya risasi?View attachment 3093238
Video hii ni kwa hisani ya On-line JAMBOTV;
Kwa ufupi:
TUNDU LISSU: Yanayoendelea Sasa hivi wanaokumbuka ni kama yaliyofanyika mwaka 2019 na 2920, utekaji, utesaji na mauji. Ni maandalizi ya ushindi wa wizi wa chaguzi zilizo mbele yetu kwa kutisha watu....
TUNDU LISSU: Huyu mama ni kama Magufuli anaongoza watu walewale, wauaji walewale, watesaji walewale. Hii ndiyo tabia na mtindo wa watawala madikteta wote duniani ya kuua na kuteka na kutesa Ili kulinda nafasi zao za utawala. Hakuna sababu nyingine yoyote ya mauaji haya, bali yote haya yanadanyika ili kina Samia na wenzake wabaki kilaini madarakani....
Haka kama mama nako ni kadikteta tu, hakana tofauti na madikteta wengine wote duniani...
TUNDU LISSU: Tutakomesha mauaji haya kwa wananchi kuweka pressure ndani ya nchi na pressure toka jumuiya ya kimataifa. Wakipigwa pressure watakoma na watafanya yawapasayo kufanya.....
TUNDU LISSU: 4Rs za huyu mama ni uongo zilipoanzishwa, ni uongo sasa na leo, na ni uongo na ulaghai mtupu mpaka kesho....
##Kwa ufasaha na mapana tazama na sikiliza video hii ya takribani dakika 11 hivi
Karibu tena Tanganyika Mh. Tundu Lissu
Umebaki kuguna mkuda ww!!
Yes, hiyo gari ina matobo ya risasi....Hiyo gari ya Lissu mbona kama ina matobo ya risasi?
Halafu wakati anahojiwa, hao jamaa waliosimama pembeni yake ndo walinzi wake au...
Unashindwaje kuelewa kwamba mission zote za vyombo vyetu walizofanya miaka ya karibuni zimefeli na kuwaacha uchi? Mission zote ziko crystal clear kwamba vyombo hivyo vimehusika kwa 99%Uwoga ni kanuni ya kwanza Kwa jeshi au askari. Askari lazima uwe muoga kwasababu askari usipokuwa na kanuni ya uoga upo uwezekano wa kuangamia...
Lisu yuko sahihi Kwa maoni yake lakini sisi sote tujiulize kwamba Rais na jeshi lake watakubali kushindwa?Unashindwaje kuelewa kwamba mission zote za vyombo vyetu walizofanya miaka ya karibuni zimefeli na kuwaacha uchi? Mission zote ziko crystal clear kwamba vyombo hivyo vimehusika kwa 99%
1. Shambulio la Lissu.
2. Kutekwa kwa Sativa.
3. Kuuawa kwa huyu mzee.
Matukio yote haya yana viashiria vikubwa kwamba vyombo vimehusika.
Wakati mossad kidon shinbet nk vya israel vikifanya mission bila kuacha alama wala maswali sisi hawa wakwetu wanafanya mission hovyohovyo kiasi cha kuifedhehesha serikali na amiri jeshi. (magu na sasha) sasa katika mazingira haya utaviaminije vyombo vyetu vijichunguze vyenyewe?
Lissu yuko sahihi.
Bravo Tundu Lissu