Pre GE2025 Tundu Lissu: Walimu wasifanye kazi ya kusimamia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Imani huja kwa kusikia,watasikiaje wasipohutubiwa? Mt. Paulo.
 
Nina mashaka na uraia wako. Unaonekana kama si mtanganyika. Ila mhamiaji haramu unayejificha kwenye chama cha machawa.
kibaka ndie mwenye uraia wenye mashaka,
haijulikani ni raia wa ubeligiji au tz
 
Walimu hawatakubali Kwa sababu ya maslahi Yao madogo.Mwalimu akiahidiwa kupewa kanga Moja au shilingi elfuishirini Kwa siku Kwa shughuli ya uchaguzi lazima atakubali maana ndiyo posho zao wanapopatia
 
Lissu ni useless na hivi sio mtanzania anaongea upuuzi kila wakat
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…