Pre GE2025 Tundu Lissu: Walimu wasifanye kazi ya kusimamia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)


Hakuna sheria inayosema uchaguzi usimamiwe na DED.
 
Lisu apunguze kuvuta bange
Unavyobugia wewe bangi, unadhani watu wote wapo hivyo? Watu wenye akili nzuri kama Lisu huwa hawagusi bangi. Mtu akiwa anabugia bangi anakuwa hana akili, sawa kama ulivyo wewe sasa hivi.
 
Ninamshukuru sana Lissu kwa kauli zake za kihuni zinazoongeza kura za CCM kwenye uchaguzi. Naanza kuona Yericko Nyerere alikuwa sahihi kusema Lissu hafai hata kuongoza tawi la CHADEMA ngazi ya kitongoji.

..kuna vijana wengi wamehitimu elimu ya juu wako mitaani wanaweza kutumika kusimamia uchaguzi.

..waalimu wao tayari wana ajira, sio sahihi wawanyime nafasi vijana wenye uhitaji zaidi wa fursa za kusimamia uchaguzi.
 
Kwani ni mbali basiiii🤣 tusubiri
 
Mbona anafulia mapema hiviii......hana sera
 
..kuna vijana wengi wamehitimu elimu ya juu wako mitaani wanaweza kutumika kusimamia uchaguzi.

..waalimu wao tayari wana ajira, sio sahihi wawanyime nafasi vijana wenye uhitaji zaidi wa fursa za kusimamia uchaguzi.

Lakini Kusimamia uchaguzi siku 2 haifuti hali yao ya kukosa ajira
 
..Hata kusimamia uchaguzi ni fursa ambayo vijana wahitimu elimu ya juu wanaistahili, na wanapaswa kuichangamkia.
Fursa ya siku 1 haibadilishi maisha ya ukosefu wa ajira....
 
Fursa ya siku 1 haibadilishi maisha ya ukosefu wa ajira....

..siku moja vs siku sifuri.

..hata wakati wakipewa mafunzo ya taratibu za uchaguzi wanaweza kupewa posho.

..kuwatumia waalimu kusimamia uchaguzi ni kuwazibia fursa wahitimu wa elimu ya juu ambao hawana ajira.
 
..siku moja vs siku sifuri.

..hata wakati wakipewa mafunzo ya taratibu za uchaguzi wanaweza kupewa posho.

..kuwatumia waalimu kusimamia uchaguzi ni kuwazibia fursa wahitimu wa elimu ya juu ambao hawana ajira.

Wakitoka hapo uchaguzini wanatudi mtaani kulala?? Wachangamke fursa zipo za kutosha mitaani
 
Wakitoka hapo uchaguzini wanatudi mtaani kulala?? Wachangamke fursa zipo za kutosha mitaani

..baada ya kusimamia uchaguzi vijana wanaweza kuchangamkia fursa nyingine zitakazojitokeza.

..jambo la msingi ni kuhakikisha hatuwazibii fursa vijana wetu waliohitimu elimu ya juu.
 
..baada ya kusimamia uchaguzi vijana wanaweza kuchangamkia fursa nyingine zitakazojitokeza.

..jambo la msingi ni kuhakikisha hatuwazibii fursa vijana wetu waliohitimu elimu ya juu.
Basi waanze kuzichangamkia leo hiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…