Yawezekana kabisa ulichosema ikawa kweli, hebu tuambizane hao ambao siyo waoga walisha fanya jambo gani la maana ambalo unaweza kusimama mbele ya watu ukasema kundi hili limefanya hiki kwa manufaa ya umma. Uchaguzi husimamiwa na Mkurugenzi niambie kama umefanikisha hilo la kumfanya asiwe msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la halmashauri yako, kama Hilo la kumuondoa Mkurugenzi ambaye unafahamu kabisa ni mteuliwa wa Rais limekushinda unataka walimu ndiyo waweze! Speaking of poverty, hata kuwa na mtazamo kama wako ni umaskini mkubwa kuliko umaskini wa kipato, kama walimu ndiyo Tanaka maskini kwa mtazamo wako basi tungekuwa tumezungukwa na matajiri. Don't vent your frustrations on teachers, don't make them a punching bag. Vipi wakati wanaengua wapinzani na CCM kupita bila kupingwa 2019 (Serikali za mitaa) na 2020 (general election), walimu ndiyo walihisika, ulifanya nini wewe kama wewe kama siyo kuufyata (pardon my french). Kama mnaamini walimu ndiyo sababu ya upinzani kushindwa then you have a long way to go.
Halafu eti walimu wanagombania soda! Nayo umeona great thinker uje utuandikie hapa.