Kichwa chako Kiko wazi hakuna mtu atakuelewa ukweli huwezi kuubadilisha, Mwalimu yupi alikufundisha haya matusi? Narudia tena wew hujui chochote kumtukana Mwalimu hakuna tofauti na kumtukana mzaz wakoWalimu wanaojadiliwa hapa n mama yako au AS A PROFESSIONAL ww nyokolist ya wap... Unatumia makalio kufikiri ww sio bure..
Mwalimu licha ya kukuza kimalezi na kisaikolojia amekufundisha kusoma,kuhesabu na kuandikaKichwa chako Kiko wazi hakuna mtu atakuelewa ukweli huwezi kuubadilisha, Mwalimu yupi alikufundisha haya matusi? Narudia tena wew hujui chochote kumtukana Mwalimu hakuna tofauti na kumtukana mzaz wako
Tusi lipo wap hapo prove...shidaaa hamtaki kuambiwaa ukwel...ww ni ticha wa somo gan POVU N KUBWA MUNOKichwa chako Kiko wazi hakuna mtu atakuelewa ukweli huwezi kuubadilisha, Mwalimu yupi alikufundisha haya matusi? Narudia tena wew hujui chochote kumtukana Mwalimu hakuna tofauti na kumtukana mzaz wako
Yawezekana kabisa ulichosema ikawa kweli, hebu tuambizane hao ambao siyo waoga walisha fanya jambo gani la maana ambalo unaweza kusimama mbele ya watu ukasema kundi hili limefanya hiki kwa manufaa ya umma. Uchaguzi husimamiwa na Mkurugenzi niambie kama umefanikisha hilo la kumfanya asiwe msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la halmashauri yako, kama Hilo la kumuondoa Mkurugenzi ambaye unafahamu kabisa ni mteuliwa wa Rais limekushinda unataka walimu ndiyo waweze! Speaking of poverty, hata kuwa na mtazamo kama wako ni umaskini mkubwa kuliko umaskini wa kipato, kama walimu ndiyo Tanaka maskini kwa mtazamo wako basi tungekuwa tumezungukwa na matajiri. Don't vent your frustrations on teachers, don't make them a punching bag. Vipi wakati wanaengua wapinzani na CCM kupita bila kupingwa 2019 (Serikali za mitaa) na 2020 (general election), walimu ndiyo walihisika, ulifanya nini wewe kama wewe kama siyo kuufyata (pardon my french). Kama mnaamini walimu ndiyo sababu ya upinzani kushindwa then you have a long way to go.Kiukweli hii kada inashda sababu ni nying...
1. Weng wa walimu n kutoka familia maskin sana...kifikra na kiuchumi
2. Naunga mkono kwasababu ya protocol zao sjui n waoga sana kuchukua hatua mwalim anaweza kutembelewa na mkaguz wa kanda shulen sku hiyo hata mchana hatakula anatetemeka ...
3. Serikali kuna kipindi walikuwa wanachagua failure's ndoo wakasomee ualimu wale cream walikuwa wanaenda kupiga fani zenye mashko.
NB: nilialikwa kama mgen KAHAMA kumuaga mkuu wa shule flan hafla ilifanyikia sehem inaitwa NITESH aseeee jamaaa walimu wanagombana kisa soda na bia...nliondoka kabla hata nusu ya sherehe haijafka..
Hiki ndicho wanapaswa kufanya, vinginevyo wataishia kuwalaumu walimu ambao wenyewe (walimu) hawajui wafanye nini.Apambane kwanza kuhakikisha Tume Huru ya Uchaguzi inapatikana kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na ule mkuu wa 2025! Asisahau hii Tume ya sasa, watumishi wake wote wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa!!
Hivyo tatizo la uchakachuaji wa matokeo kwenye uchaguzi, halisababishwi na walimu! Walimu hawatangazi matokeo ya uchaguzi! Walimu wanafanya kazi za Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) kwa miaka mingi, na kwa uaminifu mkubwa!! Mbona hatusikii kelele za kutoka kwa wadau wa elimu?
Tatizo la kuchakachua matokeo kwenye uchaguzi linafanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuwaachia makada wa CCM (Wakurugenzi wa Halmashauri/Miji/Manispaa, nk pamoja na Wakuu wa Wilaya, Mikoa, nk kusimamia/kuingilia hilo zoezi!
Na wewe unaitaka?Dawa ni Tume Huru ya Uchaguzi
Mwayungu hapo wamemkunaAmesema walimu wote niwaoga wanatishwa na kuperekeshwa na wakurugenzi kuiba kura za wananchi View attachment 2743902
Wala Mimi siyo Mwalimu, Ila imenikera sana kutukana walimu wote waliotufundisha na kutufikisha hapa tulipo, wew fikiria mtu ulikuwa hata hujui njia ya chooni, kamasi unapaka kwenye Shati, boxer huna Leo hii unaona hao watu ni wajinga, ukiona mtoto umeanza kumkashifu mzazi wako badala ya kumsaidia ujue akili yako bado haijakusaidia,busara ni kwamba unapaswa kumsaidia kama huwez kumsaidia muache usianze kumkejeliTusi lipo wap hapo prove...shidaaa hamtaki kuambiwaa ukwel...ww ni ticha wa somo gan POVU N KUBWA MUNO
Naunga mkono hojaAmesema walimu wote niwaoga wanatishwa na kuperekeshwa na wakurugenzi kuiba kura za wananchi View attachment 2743902
Big up, hizi ndiyo brain zinazohitajika hongera SanaYawezekana kabisa ulichosema ikawa kweli, hebu tuambizane hao ambao siyo waoga walisha fanya jambo gani la maana ambalo unaweza kusimama mbele ya watu ukasema kundi hili limefanya hiki kwa manufaa ya umma. Uchaguzi husimamiwa na Mkurugenzi niambie kama umefanikisha hilo la kumfanya asiwe msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la halmashauri yako, kama Hilo la kumuondoa Mkurugenzi ambaye unafahamu kabisa ni mteuliwa wa Rais limekushinda unataka walimu ndiyo waweze! Speaking of poverty, hata kuwa na mtazamo kama wako ni umaskini mkubwa kuliko umaskini wa kipato, kama walimu ndiyo Tanaka maskini kwa mtazamo wako basi tungekuwa tumezungukwa na matajiri. Don't vent your frustrations on teachers, don't make them a punching bag. Vipi wakati wanaengua wapinzani na CCM kupita bila kupingwa 2019 (Serikali za mitaa) na 2020 (general election), walimu ndiyo walihisika, ulifanya nini wewe kama wewe kama siyo kuufyata (pardon my french). Kama mnaamini walimu ndiyo sababu ya upinzani kushindwa then you have a long way to go.
Halafu eti walimu wanagombania soda! Nayo umeona great thinker uje utuandikie hapa.
Pole mwalimu ....umeandka vtu vng but..uliona mgomo wa kariakoo?? Shda kada inakuwa na watu inferior sana... Wanaoamin bila ualim hakuna maisha...na ndo mana weng maskin sana..... classmate wangu mmoja n mwalim wa primary huu mwaka wa 10 hana hata baiskeli ....jitahidin msiwe watu wa kutumiwa...japo mnaaminishwa mwajiri wenu ni DED sio kweli ....angalia leo zle tabulets ndoo mnakuja nazo had bar maana ile nayo imekuwa kama ID ya kumtambua mwalim NI LAZMA WALIMU WENGI MU CHANGE FIKRA ZENU...Yawezekana kabisa ulichosema ikawa kweli, hebu tuambizane hao ambao siyo waoga walisha fanya jambo gani la maana ambalo unaweza kusimama mbele ya watu ukasema kundi hili limefanya hiki kwa manufaa ya umma. Uchaguzi husimamiwa na Mkurugenzi niambie kama umefanikisha hilo la kumfanya asiwe msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la halmashauri yako, kama Hilo la kumuondoa Mkurugenzi ambaye unafahamu kabisa ni mteuliwa wa Rais limekushinda unataka walimu ndiyo waweze! Speaking of poverty, hata kuwa na mtazamo kama wako ni umaskini mkubwa kuliko umaskini wa kipato, kama walimu ndiyo Tanaka maskini kwa mtazamo wako basi tungekuwa tumezungukwa na matajiri. Don't vent your frustrations on teachers, don't make them a punching bag. Vipi wakati wanaengua wapinzani na CCM kupita bila kupingwa 2019 (Serikali za mitaa) na 2020 (general election), walimu ndiyo walihisika, ulifanya nini wewe kama wewe kama siyo kuufyata (pardon my french). Kama mnaamini walimu ndiyo sababu ya upinzani kushindwa then you have a long way to go.
Halafu eti walimu wanagombania soda! Nayo umeona great thinker uje utuandikie hapa.
Unaweza kuoneaha wap walimu wametukanwa???? Nina marafk weng sana walimu...na hata ssta angu n mwalimu lkn ana life gumu munooo.....ukiona unajadiliwa ujue una tatzo sehem...walimu ku affiliate CWT na ccm n kawaida..walimu kutokuwa na umoja...walim wa leo kumwogopa mkurugez ...walim kuchomeana imekuwa kawaida lzm wabadilike...mimi bora mtoto wangu asomee hata ufugaji wa nyuki sio kada hii kwa Tanzania...Wala Mimi siyo Mwalimu, Ila imenikera sana kutukana walimu wote waliotufundisha na kutufikisha hapa tulipo, wew fikiria mtu ulikuwa hata hujui njia ya chooni, kamasi unapaka kwenye Shati, boxer huna Leo hii unaona hao watu ni wajinga, ukiona mtoto umeanza kumkashifu mzazi wako badala ya kumsaidia ujue akili yako bado haijakusaidia,busara ni kwamba unapaswa kumsaidia kama huwez kumsaidia muache usianze kumkejeli
Walimu ni kundi la waajiriwa ambalo ni very cheap.Mtu akiniambia walimu hua wanaogopa nini sielewi kabisa ...
Fear of losing what exactly.
Pengine tuseme "wanatumika"
Ila waliooa walimu huko majumbani ndiyo wanapelekeshwa balaa nadhani hao ndiyo wanyonge waoAmesema walimu wote niwaoga wanatishwa na kuperekeshwa na wakurugenzi kuiba kura za wananchi View attachment 2743902
Kwahiyo huko kwenye chuo cha nyuki hakuna walimu? je huyo mwanao hata soma elimu ya msingi? je mwanao hata soma elimu ya Sekondari? Je utakubali mwanao afundishwe na watu unaoamini hawafai? je wew Kwa kukubali mwanao kufundishwa na walimu wew utakuwa umejiweka kundi gani?Unaweza kuoneaha wap walimu wametukanwa???? Nina marafk weng sana walimu...na hata ssta angu n mwalimu lkn ana life gumu munooo.....ukiona unajadiliwa ujue una tatzo sehem...walimu ku affiliate CWT na ccm n kawaida..walimu kutokuwa na umoja...walim wa leo kumwogopa mkurugez ...walim kuchomeana imekuwa kawaida lzm wabadilike...mimi bora mtoto wangu asomee hata ufugaji wa nyuki sio kada hii kwa Tanzania...
Nina dogo mwalimu life lao ni shida sanaUnaweza kuoneaha wap walimu wametukanwa???? Nina marafk weng sana walimu...na hata ssta angu n mwalimu lkn ana life gumu munooo.....ukiona unajadiliwa ujue una tatzo sehem...walimu ku affiliate CWT na ccm n kawaida..walimu kutokuwa na umoja...walim wa leo kumwogopa mkurugez ...walim kuchomeana imekuwa kawaida lzm wabadilike...mimi bora mtoto wangu asomee hata ufugaji wa nyuki sio kada hii kwa Tanzania...
Shda hawapendi kuambiwa ukwel wanaona tuna wa diss but ...life lao soo powa walio weng...nina jamaa angu yupo lake zone alikuwa headmaster hizi school mpya kawa mwalim wa kawaida kisa analala bar had anasahau j3 kwenda school...yaaan n full stresss..Nina dogo mwalimu life lao ni shida sana
Anaropoka tu. Milipuko ya risasi alizomiminiwa iliripua ubongo na akiliHuyu mtu.. Kaishiwa maarifa nowadays.. Mungu amsaidie tu