Tundu Lissu: Walimu wasisimamie uchaguzi

Walimu wanaojadiliwa hapa n mama yako au AS A PROFESSIONAL ww nyokolist ya wap... Unatumia makalio kufikiri ww sio bure..
Kichwa chako Kiko wazi hakuna mtu atakuelewa ukweli huwezi kuubadilisha, Mwalimu yupi alikufundisha haya matusi? Narudia tena wew hujui chochote kumtukana Mwalimu hakuna tofauti na kumtukana mzaz wako
 
Kichwa chako Kiko wazi hakuna mtu atakuelewa ukweli huwezi kuubadilisha, Mwalimu yupi alikufundisha haya matusi? Narudia tena wew hujui chochote kumtukana Mwalimu hakuna tofauti na kumtukana mzaz wako
Tusi lipo wap hapo prove...shidaaa hamtaki kuambiwaa ukwel...ww ni ticha wa somo gan POVU N KUBWA MUNO
 
Yawezekana kabisa ulichosema ikawa kweli, hebu tuambizane hao ambao siyo waoga walisha fanya jambo gani la maana ambalo unaweza kusimama mbele ya watu ukasema kundi hili limefanya hiki kwa manufaa ya umma. Uchaguzi husimamiwa na Mkurugenzi niambie kama umefanikisha hilo la kumfanya asiwe msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la halmashauri yako, kama Hilo la kumuondoa Mkurugenzi ambaye unafahamu kabisa ni mteuliwa wa Rais limekushinda unataka walimu ndiyo waweze! Speaking of poverty, hata kuwa na mtazamo kama wako ni umaskini mkubwa kuliko umaskini wa kipato, kama walimu ndiyo Tanaka maskini kwa mtazamo wako basi tungekuwa tumezungukwa na matajiri. Don't vent your frustrations on teachers, don't make them a punching bag. Vipi wakati wanaengua wapinzani na CCM kupita bila kupingwa 2019 (Serikali za mitaa) na 2020 (general election), walimu ndiyo walihisika, ulifanya nini wewe kama wewe kama siyo kuufyata (pardon my french). Kama mnaamini walimu ndiyo sababu ya upinzani kushindwa then you have a long way to go.
Halafu eti walimu wanagombania soda! Nayo umeona great thinker uje utuandikie hapa.
 
Hiki ndicho wanapaswa kufanya, vinginevyo wataishia kuwalaumu walimu ambao wenyewe (walimu) hawajui wafanye nini.
 
Tusi lipo wap hapo prove...shidaaa hamtaki kuambiwaa ukwel...ww ni ticha wa somo gan POVU N KUBWA MUNO
Wala Mimi siyo Mwalimu, Ila imenikera sana kutukana walimu wote waliotufundisha na kutufikisha hapa tulipo, wew fikiria mtu ulikuwa hata hujui njia ya chooni, kamasi unapaka kwenye Shati, boxer huna Leo hii unaona hao watu ni wajinga, ukiona mtoto umeanza kumkashifu mzazi wako badala ya kumsaidia ujue akili yako bado haijakusaidia,busara ni kwamba unapaswa kumsaidia kama huwez kumsaidia muache usianze kumkejeli
 
Big up, hizi ndiyo brain zinazohitajika hongera Sana
 
Pole mwalimu ....umeandka vtu vng but..uliona mgomo wa kariakoo?? Shda kada inakuwa na watu inferior sana... Wanaoamin bila ualim hakuna maisha...na ndo mana weng maskin sana..... classmate wangu mmoja n mwalim wa primary huu mwaka wa 10 hana hata baiskeli ....jitahidin msiwe watu wa kutumiwa...japo mnaaminishwa mwajiri wenu ni DED sio kweli ....angalia leo zle tabulets ndoo mnakuja nazo had bar maana ile nayo imekuwa kama ID ya kumtambua mwalim NI LAZMA WALIMU WENGI MU CHANGE FIKRA ZENU...
 
Unaweza kuoneaha wap walimu wametukanwa???? Nina marafk weng sana walimu...na hata ssta angu n mwalimu lkn ana life gumu munooo.....ukiona unajadiliwa ujue una tatzo sehem...walimu ku affiliate CWT na ccm n kawaida..walimu kutokuwa na umoja...walim wa leo kumwogopa mkurugez ...walim kuchomeana imekuwa kawaida lzm wabadilike...mimi bora mtoto wangu asomee hata ufugaji wa nyuki sio kada hii kwa Tanzania...
 
Kwahiyo huko kwenye chuo cha nyuki hakuna walimu? je huyo mwanao hata soma elimu ya msingi? je mwanao hata soma elimu ya Sekondari? Je utakubali mwanao afundishwe na watu unaoamini hawafai? je wew Kwa kukubali mwanao kufundishwa na walimu wew utakuwa umejiweka kundi gani?
 
Nina dogo mwalimu life lao ni shida sana
 
Nina dogo mwalimu life lao ni shida sana
Shda hawapendi kuambiwa ukwel wanaona tuna wa diss but ...life lao soo powa walio weng...nina jamaa angu yupo lake zone alikuwa headmaster hizi school mpya kawa mwalim wa kawaida kisa analala bar had anasahau j3 kwenda school...yaaan n full stresss..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…