Tundu Lissu: Walimu wasisimamie uchaguzi

Hiki ndicho wanapaswa kufanya, vinginevyo wataishia kuwalaumu walimu ambao wenyewe (walimu) hawajui wafanye nini.
Walitakiwa pia watuulize watu ambao tunaishi vijijini, ili tuwape ABC's! Maana maeneo mengi ya vijijini vyama vingi vya upinzani haviweki mawakala!

Kinachotokea siku ya uchaguzi, ni CCM kwa kushirikiana na uvccm (tii ai esi wetu wa Bongo hawa), na policcm; ni kuwashinikiza walimu (wasimamizi wa uchaguzi) kuwajazia wagombea wao kura, zikiwemo kura hewa za sisi ambao hatushiriki hilo zoezi!!

Na kwa sababu hakuna wakala wa chama cha upinzani kuhakiki hizo kura, mgombea wa CCM anapata kura kiulaini tu.

Sasa kwa uzembe kama huu, Lissu anapata wapi ujasiri wa kuwahukumu walimu pekee! Na wakati hata vyama vyenyewe tu vya upinzani vinahusika kwa uzembe wa kutoweka mawakala wao katika vituo vyote vya kupigia kura!!!
 
Fact hata mkurugenzi anatumika
 
Akili za walimu ndo kipimo cha uwezo wa kufikr wa hii nchi , ni kundi moja miyeyusho Sana Lina mindset za ajabu mno
Majizi, matahila, masikini, machafu, yani Yana kila angle ya uozo
 
Hhhahaha hawa watu waoga kama kasuku [emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu soda mbali sana sisi Kuna sehemu tulienda kuwagawia pipi kifua hizi mbona walipigana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hujielewi wewe, kura zinaanza kuibiwa huku chini na wezi wakubwa ni walimu.. Punguani we
 
Wew ni mpu.mbavu nani kakufundisha huo ujanja kama siyo walimu,Nani alikuwa anahimiza kupiga dawa vyoo vyenu vya shuleni ulipokojoa kwenye sakafu
Elewa hoja yake acha kumshambulia, kasema walimu walipigana Kwa kugombania soda Sasa hapo yupi chizi
 
Walimu wanaojadiliwa hapa n mama yako au AS A PROFESSIONAL ww nyokolist ya wap... Unatumia makalio kufikiri ww sio bure..
Hata mimi silielew hili pimbi, lipo kama famba yani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ujinga ipo hivi,, walimu huwa wanashiriki kwenye uwizi wa kura
 
Walimu ni wajinga tu kama wewe
 
Licha ya hivyo mwambie hata madaktar wamewahi kugoma
 
Upo sahihi kaka
 
Uchaguzi wa haki kabisa CCM haitoboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…