Tundu Lissu: Walimu wasisimamie uchaguzi

Shda hawapendi kuambiwa ukwel wanaona tuna wa diss but ...life lao soo powa walio weng...nina jamaa angu yupo lake zone alikuwa headmaster hizi school mpya kawa mwalim wa kawaida kisa analala bar had anasahau j3 kwenda school...yaaan n full stresss..
Ukiona ticha ana gari basi ni vitz na IST nako spana mkononi [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Upinzani ni kujipanga from now na wasimamizi wao loyal nadhan kila kituo kikiwa na usimamizi mzuri na kura zikiwa nyingi mbona watashindwa kupindua matokeo ila wakiendelea kulialia ss watakua wanawaangalia uku wanagonga cheers
 
Shida ya chadema ndiyo hii Tu tusubir mwenyekiti abadilike labda vijana wataacha kutukana watu bila sababu
 
Kwanini walimu wa kubali kujaza kura hewa?? What is wrong is wrong no matter Kuna ombwe kiasi gani
 
Ww n falaaa sn jibu hoja unaleta hadith...za kichoko hapaa unagongwa ..kwann lisu hatak walim
..kwann walim wanazaraulika sn
..swala la kufundshwa sio hawa walim wa kileo mafala kama ww
we mjinga mmeulizwa yeye alipokuwa mbunge walisimamia akina nani? kwani hao akina lisu hawanaga mawakala kwenye vituo?
 
Haya ndiyo matatizo ya kuwa na jinsia isiyo eleweka. Uwezo wako wa kufikiri umekwisha kabisa.
Kwahiyo tuhuma juu ya walimu kuiba kura nizauwongo?? Nina majambazi wengi mitaani (walimu) wote husema waliiba kura Sasa wewe unaekaa Kwa shangazi yako hapo mwalimu wa shule ya Msingi mikuyuni unakula ugali wa wanafunzi umeshiba unakuja kututapisha apa, oya tetea wengine sio walimu, walimu ni majuha mapunguwani yaliyolaniwa
 
we mjinga mmeulizwa yeye alipokuwa mbunge walisimamia akina nani? kwani hao akina lisu hawanaga mawakala kwenye vituo?
Mpaka upinzani atangazwe basi ujue ccm wameiba kura na hazijatosha tena mpaka vurugu za wananchi zitokee vinginevyo huwa hawatangaziwi ushindi
 
Akili za walimu ndo kipimo cha uwezo wa kufikr wa hii nchi , ni kundi moja miyeyusho Sana Lina mindset za ajabu mno
Walimu ndio wamekufanya uweze kuandika neno "mindset" leo unawata waajabu mno! katiba hiyo iliyopo ni ibara gani imetamka kuwa walimu watasimamia uchaguzi?. Tusiwalalamikie walimu wakati vyama mbadala vinapata hela za ruzuku lkn haviwezi kuwalisha mawakala wao vituoni, kwanini wasirubuniwe na wenye fedha! Mnawagombea udiwani,kijiji, mtaa uchumi wao taaabani mnategemea kushinda na mfuko umetoboka?
 
Wewe tayari umeshachanganywa na vile vifua vya akina Ali Kiba, Diamond Platinumz, na Harmonize! Siyo bure.
 
Walimu akili zao haziwatoshi ndio maana wote ni masikini, sijawahi kuona msomi akawa mwoga
 
nimeshiriki mambo ya kisiasa toka 2000 nilikuwa mpiga kura(nililazimisha japo umri ulikuwa haujatimia)95 nilifuatilia sana mgombea uraisi ambaye sikwenda kwenye mkutano wake walikuwa lipumba wa cuf ulifanyika mchana nilikuwa shule....mingine yote nilihudhuria siasa ikanichota mahaba upinzani (cdm)...nimeshiriki chaguzi wakala na usimamizi usaidizi vipindi tofauti wakati wa lowasa na wakati wa lisu.....wakati wa lowasa sikuona wameiba vip au kuna wizi sehemu gani..labda wawe wazembe kwenye kujumlisha huko wilayani au mkoani ila alishindwa kabisaaawapinzani walipigwa nje ya wanja..ushahidi kwenye sanduku....watu walishawishiwa kwa fedha au maneno usiku wa kuamkia siku ya kupiga kura(hakuna wizi kwenya chumba).wakati wa magu sikuiingia ndani ya chumba nilikuwa na majukumu njee karani mungozaji...mwitikio wa watu ulikuwa mdogo sanaa(mnakumbuka ile hali kipindi hicho) kituo kilikuwa na wapiga kura 400 waliojitokeza kama 100 tu...na vituo vyote vilivyokuwa jirani hali ilikuwa hivyo....wengine hata hao 100 hawakufika kuna kituo jirani walipata watu76 kati ya 380... matokeo yalipotangazwa oviusly ccm ndio walikuja kupiga kura walishinda ila figure zikapikwa(ndio wizi niliouona) au udanganyifu... kama kweli mmepata wapiga kura na wamepiga na mna mawakala safi wizi unatokea wapi?
 
Sasa maswali kama haya ni ya kuniuliza mimi kweli!! Si ukawaulize wapinzani ambao miaka nenda wanakubali kirahisi tu kuibiwa kura zao na hao walimu!!
Mwambie shangazi yako (mwalimu) aache kuiba kura ataishia pabaya
 
Kwa kikokotoo hiki. Tundu acha walimu wasimamie uchaguzi. Hiyo nimekuibia siri
 
NECTA imewakataa walimu wa msingi kusimamia mtihani wa la saba. Hii necta Waliona mbali
 
Mkuu ni wewe au umepokonywa simu anatumia chizi?? Hujui mawakala wa upinzani huwa wanatolewa na polisi Kwa nguvu kwenye chumba cha kupiga kura?? Ukionekana hutaki rushwa unasimamia kura vizuri za upinzani zisiibiwe unaambiwa una vurugu unasukumwa nje, sasa kusema vituo vingi havina mawakala wa upinzani nakuona hujitambui
 
Walimu ni kundi oga sana ktk utumishi wa umma wanatumika na ccm kwa kuwa ni waoga na maskini wa kipato

Laiti wangejua nguvu yao tungeshapata ukombozi zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…