NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
hata asiposema Dunia inajua na itabaki kwenye historia.Sawa, ila haki yake ni kuusema huo ukweli, iko siku hatua zitachukuliwa.
Umeelewa lakini au unaharisha mavi?Afungue yeye case au serekali kama ilivyo ada?
Hakuna aliye juu ya sheria nchini una hakika? Bashite unaonaje yeye?
JOHNKEKE, kadanganye watoto wa Kindergarten na huu UTOPOLO wako!! Tundu Lissu alishambuliwa kwa amri ya Magufuli, mbona ushahidi wa video clip upo?Huyu naye kama akili haziko sawa vile!
Magufuli angetaka kumuondoa, angemuondoa kitaalamu kwa ugonjwa wa BP au cancer. State ina njia zilizonyooka za kuondoa watu ikitaka. Ben Saanane kwa watu wanaochunguza mambo kidole kinamwelekea Mbowe. Kambi yao wenyewe imeshatoa maelezo ambayo uki connect unajua ni Mbowe tu.
Kibiti inawezekana, lakoni it was necessary evil. Kwa stage tuliyofikia, na aina ya ugaidi uliokuwa ukiendelea unaohusisha mauaji mengi, tena ukishangiliwa na wanasiasa uchwara wa upinzani, ilihitajika mbinu ya kusimamisha mauaji once andfor all. Na kwa hili la kudhibiti magaidi wa aina hiyo Tanzania inastahili sifa sana.
Kutekwa kwa Dewji na Magu wapi na wapi? Maelezo ya aina mbili yaliyotolewa na baadhi ya wachunguzi kwangu bado yana nguvu kuhusu kutekwa Dewji; Watekaji kwa ajili ya fedha, ikumbukwe kipindi hicho wimbi la utekaji mabilionea na kudai fedha lilitokea nchi zte za kusini ikiwemo Afrika ya Kusini, Zimbabwe, Malawi nk. Lakini bado kuna wanaoamini mkono wa CHADEMA kwenye utekaji ili kuchafua nchi. Utekaji kama wa Dewji na Roma mkatoliki unaeldweka zaidi na maelezo ya kuchafua nchi kuliko eti walikuwa tishio kwa Magufuli!
Mkiishiwaga hoja mnakimbilia matusi.Umeelewa lakini au unaharisha mavi?
sio Maguri ni Magufuli acha ubwege.
alikua anaogopa kivuli chake tu.Sasa ilikuwaje akaondoka kwa Escort ya mabalozi?
n
ndio maana nikauliza anaomba usalama upi?!? alindwe na jeshi lenye silaha 24/7?!? au tamko tu la Mhe.Rais?!?
Mr Lissu, wewe siyo special hadi upewe royal treatment. Wewe ni SAWa na Mtanzania mwingine yoyote mbele ya sheria. You’re not entitled to any extraordinary concessions under Tanzanian law simply because you happen to be a survimg victim of some politically motivated assassination attempt from a bygone regime. Stop playing the victim card at every opportunity! You’re just one lucky dude to be alive today out of the 400 who you claim were murdered by JPM. But that doesn’t in any way make you special.
Nadhani hata sasa yapo, tena SSH anayependa zaidi macho yao kuliko JPM!Wakati anagombea Urais alikuwa na ulinzi maalum na kulikuwa na macho makali ya mabeberu kwake.
Nyie kenge mlikuwa mnasema bashite ndio alifanya huu mchongo afu leo mmegeuka mnasema kipilimba
Watanzania tungekosea sana mpa urais mtu kama huyu, amepigwa risas 2017, 2020 kaja nchini kwenye kampen za uchaguz mkuu, kazunguka nchi nzima, baada ya kushindwa kakimbia nchi kwa madai kuwa usalama wake uko hatarin, kama kweli alikuwa anawindwa yeye kwann hakumalizwa wakat wa kampein? Siasa unazofanya lisu ztabak mtandaon hatokuja kuwa na nguvu kama alioipata lowasa au dr SlaaaMh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.
Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.
Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.
Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.
Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.
Tundu lisu Muongo TU ,wala hakupigwa risasi,Yale makovu ni ya ugonjwa wa tetekuwanga
Unasema hivyo kwa sababu wewe na wenzako huko CCM hujawahi kuonana na kifo uso kwa uso, kifo cha kulazimisha kama Tundu Lissu tena kwa risasi 16 za SMG na AK47Hahahaaaa! Lisu anatafuta kiki tu!
Samahani lakini makamanda.
Kwa jinsi utawala uliopita ulivyokua nnauhakika hata Mama Samia Suluhu hakifahamu hicho "kikosi kazi" aka "wasiojulikana".Ndio maana kumbe amekuwa akimuomba Rais Mh Mama Samia Suluhu atoe japo tamko tu. Inaonekana hali si nzuri sana.
Mungu atulinde watanzaia.
Mungu Mbariki Rais Samia
Nadhani hata sasa yapo, tena SSH anayependa zaidi macho yao kuliko JPM!
wewe kubali tuu kuchukua nafasi ya bwege,Bwege alikua mbunge tena mpambanaji kwelikweli akiwa Bungeni.B
Bwege mwenyewe idiot. Mbona nimeandika Magufuri.
Kama ni jasiri na asiyeogopa arudi nchini la sivyo mwachie Mungu! Kuhusu mimi kuwa na mahaba na Rais Samia hilo la kwangu pia ujue mimi hata Mama Samia huwa namkosoa sana tu fuatilia michango yangu!Mahaba yako kwa Samia yasikufanye uone alichokifanya Lissu ni kosa. Halafu sijaona Samia akitajwa hapo, maana aliyekuwa Rais wakati huo anajulikana.
So, badala ya kumwona Lissu kama mropokaji, mtazame kama mtu jasiri na asiyeogopa. Pia, upendo ni vitendo sio story za alinacha, anayekupenda angekupeni Katiba mpya mara moja, anajali madaraka yake tu.
Mlio karibu na Lissu mkanyeni Amshukuru Mungu wake, na uongizi wa Sasa SSH kumpa Mkono wa heri inatosha.
Kutaja hivyo majina ya taasisi nyeti na majina viongozi kumtafuta mchawi haina maana.
Taasisi Ni kubwa kuliko uhai wa yeyote. Zinafanya mengi makubwa yasiyopimika kwa amani na salama ya taifa letu.
Japo binafsi nasikitika kwa yote ila katika maisha Kuna "DO "and " DON'T"