Pre GE2025 Tundu Lissu: Wamepanga kuingiza kura feki uchaguzi wa ndani (CHADEMA)

Pre GE2025 Tundu Lissu: Wamepanga kuingiza kura feki uchaguzi wa ndani (CHADEMA)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama kutakua na muendelezo wa lissu baada ya chaguzi hizi. Akiwa ndani ya chadema, kama mwenyekiti au cheo chochote, Naamini lissu kama sio kuuliwa kutumia mtutu basi nitapata taarifa ya kufa kwake.
Huyu jamaa sio mzima na hadi sasa sijajua nia yake ni ipi? Sijawahi ona hili kwenye siasa za Tanzania likivuma kwa muda mwingi.
Naamini kiti hapati, na akikipata hafiki uchaguzi. Nimeandika hapa jf.
 
Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa

"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.

Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura, watakapogundua kwamba mambo ya upande wao hayako sawa na mhusika amenidokeza kwamba, vyovyote itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki.

Tafadhari hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa huru na wa haki".
Kumbe hata huko kuna kura feki? Ha ha ha😁
 
mtu kama tundu lissu miaka yote kuhangaika na chadema ni hasara sana kwake.

amechelewa sana kujua kama hv vyama havina mpango wowote wa kushika dola.

hivi vyama vipo kwaajili ya upinzani tu sio kushika dola ndy maana hadi leo eti chadema wanajisifu ni chama kikuu cha upinzani.

ujinga mtupu huu.
 
Hivi mbowe akishindwa atakuwa na kazi gani tena ya kufanya chadema badala ya kwenda kulea wajukuu!
Katiba inambakisha kama mjumbe wa bodi. Kwa yeye atakua kama mzee wa chama na supervisor na anaweza kaimu cheo hiko muda wwte ambapo huyu mwenyekiti husika atazingua au kuacha madaraka yake.
Mbowe atakua top seniour leader. Of which ndio yeye atakua hamna mzee mwingine zaidi yake pale.
 
mtu kama tundu lissu miaka yote kuhangaika na chadema ni hasara sana kwake.

amechelewa sana kujua kama hv vyama havina mpango wowote wa kushika dola.

hivi vyama vipo kwaajili ya upinzani tu sio kushika dola ndy maana hadi leo eti chadema wanajisifu ni chama kikuu cha upinzani.

ujinga mtupu huu.
Sio havina mpango boss, hamna chama kilichoweza kutwaa nafasi ya CCM Tanzania. Back then vilisumbua tu not kutwaa Tanzania.
Ccm ni kitu kikubwa na kinapendwa na wengi sana kuwazidi vyama pinzani.
Yaani vyma pinzani ndio vitu watu ila hata kwa umoja wake haviizidi CCM
 
Sio havina mpango boss, hamna chama kilichoweza kutwaa nafasi ya CCM Tanzania. Back then vilisumbua tu not kutwaa Tanzania.
Ccm ni kitu kikubwa na kinapendwa na wengi sana kuwazidi vyama pinzani.
Yaani vyma pinzani ndio vitu watu ila hata kwa umoja wake haviizidi CCM
aliye kwambia ccm inapendwa na watu ni nani?

ninacho jua mimi vyama vyote ni matawi ya ccm kuwahadaa watu.
 
Ukute na hizi ni sarakasi cha CHADEMA ili paonekane pana demokrasia.
Siasa huwa siiamini sana, kuna sinema nyingi sana kwenye siasa hizi. 😁
 
Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa

"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.

Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura, watakapogundua kwamba mambo ya upande wao hayako sawa na mhusika amenidokeza kwamba, vyovyote itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki.

Tafadhari hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa huru na wa haki".
Ndugu Tundu Lissu ANATAPATAPA ...

Aache visingizio.....ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom