Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Akishinda anafanyao kazi vipi?Watu wenyewe sasa! Unataka awaaminije wakati mambo meusi ndiyo hayo yanaonekana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishinda anafanyao kazi vipi?Watu wenyewe sasa! Unataka awaaminije wakati mambo meusi ndiyo hayo yanaonekana?
Mkuu, atalazimika kuifumua injini na kuisuka upya. Kwani spea Mchina haleti tena - au DP World wamempiga spana pale bandarini?Akishinda anafanyao kazi vipi?
Kumbe hata huko kuna kura feki? Ha ha ha😁Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa
"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.
Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura, watakapogundua kwamba mambo ya upande wao hayako sawa na mhusika amenidokeza kwamba, vyovyote itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki.
Tafadhari hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa huru na wa haki".
Hivi mbowe akishindwa atakuwa na kazi gani tena ya kufanya chadema badala ya kwenda kulea wajukuu!Akishinda anafanyao kazi vipi?
Katiba inambakisha kama mjumbe wa bodi. Kwa yeye atakua kama mzee wa chama na supervisor na anaweza kaimu cheo hiko muda wwte ambapo huyu mwenyekiti husika atazingua au kuacha madaraka yake.Hivi mbowe akishindwa atakuwa na kazi gani tena ya kufanya chadema badala ya kwenda kulea wajukuu!
Sio havina mpango boss, hamna chama kilichoweza kutwaa nafasi ya CCM Tanzania. Back then vilisumbua tu not kutwaa Tanzania.mtu kama tundu lissu miaka yote kuhangaika na chadema ni hasara sana kwake.
amechelewa sana kujua kama hv vyama havina mpango wowote wa kushika dola.
hivi vyama vipo kwaajili ya upinzani tu sio kushika dola ndy maana hadi leo eti chadema wanajisifu ni chama kikuu cha upinzani.
ujinga mtupu huu.
aliye kwambia ccm inapendwa na watu ni nani?Sio havina mpango boss, hamna chama kilichoweza kutwaa nafasi ya CCM Tanzania. Back then vilisumbua tu not kutwaa Tanzania.
Ccm ni kitu kikubwa na kinapendwa na wengi sana kuwazidi vyama pinzani.
Yaani vyma pinzani ndio vitu watu ila hata kwa umoja wake haviizidi CCM
Jamaa limeshakuwa lipumbavu sana! Hakuna wizi wa kura bali atapigwa asubuhi na mapema!Lissu aache kutafuta huruma za kijinga
Na wewe uuache kukanusha vitu bila ushahidiLissu aache kutafuta huruma za kijinga
We unawaamini? Kuna mbongo wa kuaminika leo hii? Keupe kekundu kaa chonjo saa mbaya ati😅Huyu ndio Tundu Lissu hawaamini hata watu anaotaka kuwaongoza! Ahahahahaha!!!
Unaumia ukiwa wapi? Maumivu yakizidi tumia cofta bossJamaa limeshakuwa lipumbavu sana! Hakuna wizi wa kura bali atapigwa asubuhi na mapema!
Mimi ni ccm na naipenda, mimi ni mnyama, au box?aliye kwambia ccm inapendwa na watu ni nani?
ninacho jua mimi vyama vyote ni matawi ya ccm kuwahadaa watu.
Ndugu Tundu Lissu ANATAPATAPA ...Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa
"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.
Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura, watakapogundua kwamba mambo ya upande wao hayako sawa na mhusika amenidokeza kwamba, vyovyote itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki.
Tafadhari hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa huru na wa haki".
Ha ha ha kipaji chake cha uongo ni kikubwa mno kuliko uwezo wake mzuri wa taaluma ya sheria....Lissu kila kitu kadokezwa na watu wakubwa itoshe kusema lissu ni muongo wa karne!