KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Mimi natumia DSTV, na siko nyumbani, sijui nini kinaendeleaAzam je? 🐼
Maagizo toka juuHii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45.
Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
asante sanaHii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45.
Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
Mimi nafuatilia hapa Kenya bila mbambamba 😄Mimi natumia DSTV, na siko nyumbani, sijui nini kinaendelea
AnaonekanaMtandao wa kijamii anaonekana? Sina access na tv kwa sasa nipo sweden
Jiunge na DSTV APP, waambie wakutumie namba card yako kisha sign up uendelee na vipindi ONLINEMimi natumia DSTV, na siko nyumbani, sijui nini kinaendelea
Anaonekana
Wewe tizama utakuja kuhadithia hakuna jipya story ni zile zile paukwa pakawa nitawaita bara barani siku ikifika hawaonekani!Hii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45.
Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
Star times ni kampuni ya Azam? Sikulijua hili.Tokea lini azam akawa RC
Samaleko
Lakini uchumi wao unapaa, huku kwenu majanga.Xi Jinping hivi ndivyo CCP ya China inavyotawala watu wake