Tundu Lissu yuko ITV akihojiwa na kipindi cha Dakika 45, Star Times wamekata matangazo

Maagizo toka juu
 
Wewe tizama utakuja kuhadithia hakuna jipya story ni zile zile paukwa pakawa nitawaita bara barani siku ikifika hawaonekani!
 
Lissu: Raisi anapata wapi Mapesa yote haya ya kuhonga viongozi wa dini kama haibi pesa?kwa mshahara upi kama sio mauchafu yao wanayofanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…