uchumi wa plastic na editting nyingLakini uchumi wao unapaa, huku kwenu majanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchumi wa plastic na editting nyingLakini uchumi wao unapaa, huku kwenu majanga.
miviga ona alivyoandika hiyo salamuTokea lini azam akawa RC
Samaleko
Hujui maana ya kupaa.Lakini uchumi wao unapaa, huku kwenu majanga.
acha uoptoshaji gentleman,Hii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45.
Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
Kwa hoja makini za Lissu zile. Lazima Star times wakate matangazo kuwalinda mabwana wao CCMStar times ni kampuni ya Azam? Sikulijua hili.
Nimepotosha nini?acha uoptoshaji gentleman,
STartimes wana tatizo la kiufundi kwa baadhi ya chaneli hususani chaneli za ndani ITV n.k tangu mchana wa leo, nimewapigia na waneniarifu hivyo 🐒
CC:- kipara kipyaMaagizo toka juu
Mwenyekiti huu sio wakati wa kuwakumbatia vyombo vya Habari kwani ni lengo la kukukwamisha kwa kupeleka Habari zako huko kwa mpinzani wqko na kukupangia jinsi ya kukukabili.Hii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45.
Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
🤣🤣🤣🤣No Reforms, No Erections.
Mzee hiyo uliyoandika sio ile ya uchaguzi hiyo ni ile ya kusimamisha Dushelele.No Reforms, No Erections.
Ila nyie watu mna dhambi sana, hivi umewasiliana nao ukajua tatizo nini'?!!!! Mbona mnapenda Sasa kusingizia watu!!! Channel kadhaa za startimes Leo hazipatikani muda mrefu tu.....itv, startv, za kihindi kadhaa, za watoto kadhaa n.k Kwa dhambi hz si ajabu kuwaona mkiwa hamfanikiwi.Kwa hoja makini za Lissu zile. Lazima Star times wakate matangazo kuwalinda mabwana wao CCM
Unafikiri hajui?!!! Pengine ni udikishaji ujumbe wa kisanii tu huo.Mzee hiyo uliyoandika sio ile ya uchaguzi hiyo ni ile ya kusimamisha Dushelele.
Mnateseka Bure nyie waovu, hakuna hata mwenye time nanyi ya kuzuia hilo......mnajistukia tu. Tatizo lipo muda tu na kwa channels nyingi tu. Mungu awaokoe kutoka kwenye kifungo hicho Cha nafsi!!Maagizo toka juu=udikteta. Udikteta una historia ndefu - toka Hitler hadi Idd Amin- hadi Apertheid ...nk. na huwa hauna mwisho mzuri shauri ya damu za watu wasio hatia zlizomwagka. Na walio madarakani watakazna kuficha udikteta wao kw jinsi wanavoweza lkn iko siku. Ni kama mtu alievimbiwa anavojarbu kuficha hali yake... Ole wke akiingia hadharani kama vile kanisani, msikitini, darasani ...nk. ushuzi una tabia ya kuumbua, iko siku...
Kuna lipi jipya mkuu!
Tuliishawazoea kutishia kwa wingi mitandaoni. Lini uliwahi kuandamana kabla? PUMBAVU!!!Nipo hapa namfuatilia LIVE. Namuunga mkono, Nipo tayari kufanya lolote, NO REFORM, NO ELECTION! Bila mabadiliko ya tume, hakuna uchaguzi kufanyika! CCM wamezoea kucheza na akili za watu kwa miaka zaidi ya 60 sasa! It has to end, Mwisho umefika.
Spana mpyaKuna lipi jipya mkuu!