KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #41
Mwenyekiti huu sio wakati wa kuwakumbatia vyombo vya Habari kwani ni lengo la kukukwamisha kwa kupeleka Habari zako huko kwa mpinzani wqko na kukupangia jinsi ya kukukabili.
Fanya kazi na Chama pekee.
kusema STartimes wamekata matangzo ni upotoshaji wa kiwango cha juu mno πNimepotosha nini?
Hawajakata matangazo?kusema STartimes wamekata matangzo ni upotoshaji wa kiwango cha juu mno π
hawajakata matangazo πHawajakata matangazo?
Xi Jinping hivi ndivyo CCP ya China inavyotawala watu wake
Dawa ya vituo vya habari hasa tv vinavyodumaza uhuru wa waTanzania kupata habari kwa misingi ya demekrasia na freedom of speech ni kwa sisi raia kuvisusia. Mimi tyr kingamuzi cha star times nimetupilia mbali. They are cowards. Wanataka sote tulishwe hoja za upande mmoja tu na kuangalia tamthilia. Shame on Star Times TVHii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45.
Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
Azam je? πΌ
Kwani kila mtu ana Azam?Azam je? πΌ
Hii elimu inatakiwa isambaeNipo hapa namfuatilia LIVE. Namuunga mkono, Nipo tayari kufanya lolote, NO REFORM, NO ELECTION! Bila mabadiliko ya tume, hakuna uchaguzi kufanyika! CCM wamezoea kucheza na akili za watu kwa miaka zaidi ya 60 sasa! It has to end, Mwisho umefika.
BORA HUKO AZAM SIM APP UNALIPIA NA WAKATI PIA KINGAMUZ UMELIPAJiunge na DSTV APP, waambie wakutumie namba card yako kisha sign up uendelee na vipindi ONLINE
Rombo Tv.πKwani kila mtu ana Azam?
Toa ujinga wako hapa kwenye mambo ya msingiRombo Tv.π
ni kweli hakika Lisu anatisha,kila anachogusa ccm papatupapatuHii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45.
Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
siyo kweli ilianza jioni saa 12acha uoptoshaji gentleman,
STartimes wana tatizo la kiufundi kwa baadhi ya chaneli hususani chaneli za ndani ITV n.k tangu mchana wa leo, nimewapigia na waneniarifu hivyo π
China na Saudi Arabia ukisema huiamini serikali unajitafutia matatizo, watakunyonyoa.
kama ambavyo saa100 amewafanya majizi huko ccm hata hamjitambui anawapeleka anajipigia tuLissu anawaseti nyumbu ili apige pesa zao, wajinga ndio waliwao.
Are you serious? No Reforms, No ERections!!No Reforms, No Erections.