Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Namchukia kwa sababu ameamua kuwa raia wa Kenya na aendelee na Ukenya wake. Kwa msingi huu yumkini akawa na kesi za kujibu akiingia Tanzania
 
Nina damu nyingi sana za wakenya! Kila kitu kenya hivi mara vile,
Akiongea na tv kutoka kenya! Mara fyoko fyoko vile.


Watu wakaona huyu ngoja tumle kichwa kwenye box la kura!
 
Naona Lisu angekuwa rais Ikulu angehamishia Nairobi
 
Kwamba "Who has been exiled after fleeing the country." Au siyo?

Lisu fled the country. When was this exile issued?

Sooner or later tutasikia yupo Tz. Mwandishi mmoja ajitahidi kuuliza kama anajua kuna title inasema alipigwa exile.
 
Hivi Lissu alifukuzwa Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…