Tunduli Lissu kurejea wakati wowote kuanzia kesho Oktoba 6, 2023

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Msomi Tundu Lissu anatarajiwa kurejea nchi wakati wowote ili aweze kuendelea na ziara zake mikoani ambazo ndio amekuwa akizutumia kama chanzo kikuu cha mapato yanayotokana na michango ya wananchi wanaohudhuria mikutano yake.

Imekuwa ni tabia ya huyu msomi kukusanya hii michango na kurejea ugaibuni. Karibu sana Msomi.
 
Kwa taarifa yako, Huyu na Dr Slaa ndio wapinzani pekee wanaoendesha siasa bila kuhongwa. Uthibitisho ni huo wa kuchangiwa na wananchi kama ilivyokuwa kwa Nyerere enzi hizo.

Wewe ni Nguruwe
 
Bwana Makupa sikuoni kwenye Mikeka ya mama nini shida?
 
Mbwabwajaji tu
 

Kutwa kumchulia. Ila hatudanganyiki!
 
alienda kucharge betri kwa illuminati wake? au
 
Mpaka KIA inakuwa giza kama huku IsungaNgwada.....ikili zenu zimefika Mwisho MTUPISHE!!!!
 

Crap from a poor brain.
 
Wanauza nchi kwa Waarabu hatuwaoni.
 
Rasha rasha zake za kisiasa huwa zinachangamsha kweli, kulikoni yupo kimya namna hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…