Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kinana juzi alikuwa akipiga siasa mikoani kama kawa,ila Lissu kimya hata kutoa dondoo ndogo ndogo kwenye page yake hakuna.Lazima mtu apumzike, mbona Kinana yupo kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinana juzi alikuwa akipiga siasa mikoani kama kawa,ila Lissu kimya hata kutoa dondoo ndogo ndogo kwenye page yake hakuna.Lazima mtu apumzike, mbona Kinana yupo kimya?
Do not be silly, wewe ni mweka hazina wa chadema kuwa una ushahidi wa hilo?Msomi Tundu Lissu anatarajiwa kurejea nchi wakati wowote ili aweze kuendelea na ziara zake mikoani ambazo ndio amekuwa akizutumia kama chanzo kikuu cha mapato yanayotokana na michango ya wananchi wanaohudhuria mikutano yake.
Imekuwa ni tabia ya huyu msomi kukusanya hii michango na kurejea ugaibuni. Karibu sana Msomi.
Vepe Mwamba bado hajarejea tu?,Msomi Tundu Lissu anatarajiwa kurejea nchi wakati wowote ili aweze kuendelea na ziara zake mikoani ambazo ndio amekuwa akizutumia kama chanzo kikuu cha mapato yanayotokana na michango ya wananchi wanaohudhuria mikutano yake.
Imekuwa ni tabia ya huyu msomi kukusanya hii michango na kurejea ugaibuni. Karibu sana Msomi.
Wakuu naomba mniambie huyu tundu lisu ni nani mana namsikiaga tu. Na anakuja kufanya Nini Tanzania wakati ni raia wa ubeligiji na watoto wake wapo huko. Hivi sisi hstuna akili mpata tumsubili mbeligji?Msomi Tundu Lissu anatarajiwa kurejea nchi wakati wowote ili aweze kuendelea na ziara zake mikoani ambazo ndio amekuwa akizutumia kama chanzo kikuu cha mapato yanayotokana na michango ya wananchi wanaohudhuria mikutano yake.
Imekuwa ni tabia ya huyu msomi kukusanya hii michango na kurejea ugaibuni. Karibu sana Msomi.
Karibu mpambanaji.Msomi Tundu Lissu anatarajiwa kurejea nchi wakati wowote ili aweze kuendelea na ziara zake mikoani ambazo ndio amekuwa akizutumia kama chanzo kikuu cha mapato yanayotokana na michango ya wananchi wanaohudhuria mikutano yake.
Imekuwa ni tabia ya huyu msomi kukusanya hii michango na kurejea ugaibuni. Karibu sana Msomi.