Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

😅😅😅😅 amerudi DAR....
Tunduma ni Moja ya sehemu rahisi sana kupata mtaji Kwa mgeni, ukifika sehemu kama muajiriwa Mungu akakufungulia njia ukaoata mtajiL lazima uangalie wapi ulianzia Maisha urudi ukaendeleze ulivyoacha mwanzoni, Dar ukienda ukiwa tayari umejipanga utapapenda. Broe nenda Kariakoo wale Wakinga wote wamepata Mitaji Tunduma then ndio wakahamia Dar es salaam. Maeneo ya miji kama Tunduma ukipata Hela inabidi uhame miji kama hiyo watu wote wanajuwana nani kapata Hela nani yupo Juu, Hivi vitu vinaleta Wivu na Wivu unaelekea kuanza kuwendwa Kwa Wahanga , kukwepa hayo unajiondoa taratibu
 
Bro hata zikiwa vzr meli zote lzm zifike dsm Ndio karibu kulko msumbiji

Angalia hta ramani ya china to dsm na china to mozambiq
Hujui hata unachoongea.

Kutoka Beira-Lubumbasi ni jirani kuliko Dar-Kubumbashi.

Kutoka Beira-Lusaka ni jirani kuliko Dar-Kusaka

Kwa hiyo only advantage ipo Sasa hivi ni usalama mdogo njia ya Msumbiji, miundombinu Duni ya Barabara na uwekezaji mdogo hapo Beira Port.

Mwisho tunakoelekea hizo Changamoto zikitatuliwa umuhimu wa Tunduma utapungua.

Na Kwa taarifa tuu ni kwamba kabla Zimbabwe haijaharibiwa na Mugabe,Wazambia walikuwa wanafuata mizigo Yao Harare baada ya uchuykiharibika pande Ile ndio wakageukia Tanzania na ndio chanzo Cha Tunduma kukua haraka miaka ya kuanzia 2010 Hadi Sasa.
 
Sahihi TRA 2022 walikusanya kodi kariakoo bilioni 300 je Tunduma walikusanya ngapi?
 
Mzunguko wa pesa Tunduma ni wa kiwango Cha juu🤣🤣🤣
Kama haupo hapa kwenye orodha hii basi hamna hela huko
 
we ndio umeielezea tunduma kwa mapana.ni mji ambao unamalori mengi kuliko miji yote tz ukitoa dar.kiti moto ni kama kuku tu huku.lodge hujaa kalibu siku zote.ni mji mmoja upo bize sana.kumkuta mtu ameshika million 30 mkononi na yupo kwenye msongamani wa watu nijambo la kawaida kabisa.ni boda machachali kuliko zote tz.naikubali sana tunduma

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wafanyabiashara wa Tunduma wengine wanaagiza mzigo Toka china na Dubai, ni wachache wanakuja kuchukulia dar. Mji ule unahudumia wakongo na wazambia Kwa kiasi kikubwa sana
 
Kkoo habari ingine mazee
Africa inasemekana Ethiopia ndo Wana soko linakaribiana na kkoo
Tunduma mbona hotel za maana hazifiki hata 10?..
Anyway Tunduma ni mji wa magendo toka Enzi za Nyerere
watu tunaongelea bei kuwa chini na tunaongelea bolder sio miji mikuu.kwa hyo na wewe kwa uzoefu wako unataka kulinganisha mji wa tunduma na dar.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…