ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 447
labda kwenye vibanda vya wanywa pombe za kienyeji kwenye vichochoro vya kuingia black ila sio hapo bolder au stand ya zamanWewe naona unapitaga ndani ya gari tu watu wenye mpo ndani ya gari lazima mpigwe bei iyo ipo sehemu yote.
Tunduma Kuna machaka ugari maharage na mboga za majani jero tu [emoji16] unapewa na advantage ya kachumbari ya free.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app